Kwenye kundi la kuzaa watoto wengi naomba tuwatoe wazee wetu waliozaliwa 1950's maana wao kulikuwa na mashamba ya kukidhi mahitaji
Tujadili kuhusu kizazi cha 1960's-2024's
👉Aslimia kubwa ya wengi wanaomiliki mali wanaishia kuzaa watoto maximum watatu ni
u-busy?, uoga wa kuwagombanisha watoto siku mzazi akitangulia?
👉Asilimia kubwa ya masikini wanazaa watoto wanne na kuendelea nini sababu? Ni ufahari, uzazi mzuri?,
Naomba kuwasilisha
Tujadili kuhusu kizazi cha 1960's-2024's
👉Aslimia kubwa ya wengi wanaomiliki mali wanaishia kuzaa watoto maximum watatu ni
u-busy?, uoga wa kuwagombanisha watoto siku mzazi akitangulia?
👉Asilimia kubwa ya masikini wanazaa watoto wanne na kuendelea nini sababu? Ni ufahari, uzazi mzuri?,
Naomba kuwasilisha