huu ychaguzi shida kweli, sasa hii ni hoja gani ya kijinga hiviKwenye kundi la kuzaa watoto wengi naomba tuwatoe wazee wetu waliozaliwa 1950's maana wao kulikuwa na mashamba ya kukidhi mahitaji
Tujadili kuhusu kizazi cha 1960's-2024's
👉Aslimia kubwa ya wengi wanaomiliki mali wanaishia kuzaa watoto maximum watatu ni
u-busy?, uoga wa kuwagombanisha watoto siku mzazi akitangulia?
👉Asilimia kubwa ya masikini wanazaa watoto wanne na kuendelea nini sababu? Ni ufahari, uzazi mzuri?,
Naomba kuwasilisha