Mwanamme akiwa na + na mwanamke ana - kupata mtoto wa kwanza uwezekano upo ila baada ya hapo wasahau aidha mimba kuharibika ikifika miezi mitatu au mtoto kuzaliwa tu na kufariki.
Mimi nina positive na wife ana negative kila mimba ikifika miezi saba mke anachoma chanjo inayoitwa ANT-D INJECTION. Gharama yake ni kuanzia laki moja na nusu hadi laki mbili kutegemeana na eneo lako lakin hizi injection kuna ambazo zinauzwa hadi laki tatu na anachoma mbili.
Ya kwanza ni mimba ikifikisha miezi saba na ya pili ni masaa 72 baada ya kujifungua.
Kwani bila kufanya hivyo sahau kuhusu kuwa na familia.