Heavy Metal
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 881
- 2,077
Hahahahaha daaah umeua mkuu.!Mods wakae karibu ...
Soon Kuna ngumi humu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha daaah umeua mkuu.!Mods wakae karibu ...
Soon Kuna ngumi humu,
Mbona hujaweka "Bwana Asifiwe .......Hayo mashindano ya Quran ni ya msingi kuliko mchezo wa mpira, ni jambo jema kuliko hata maadhimisho ya kitaifa yanayofanyika hapo.Takbiiiir
Binafsi ni mkatoliki kindaki ndaki lakini napingana na mtoa mada, huwezi kulinganisha mchezo na jambo jema linalomhusisha Mwenyezi Mungu na kuwaongoza watu ktk njia ya haki na unyoofu.
Tumsifu yesu kristo...
Kanisa la kisinodi.....
Mwana kondoo ameshinda...
Salam aleykum...
Nani sasa ajiheshimu? Mimi au ninyi mnaoleta udini!!Jiheshimu mkuu....
Wapo watu ambao Kwao Quran na Bible ni porojo kama porojo zingine.
Heshimu interest za watu, usidhani unavyofagilia dini kila mtu yupo hivyo.
Hapana mkuu, niambie mvaa suti mambo vipi?
Mpo wengi wewe na nani
Nyie hamjafunga wala nini..si kwa malumbano hayaa..afu unasemaje umefunga wkt unashindilia diko la kutosha ambalo unaeza kaa hata siku nne bila kula?Ndio maana hawa watu hawaendelei mkuu,,,
Killboy na mlivyo wachache sasa mnatuletea shobo, je! Mngelikua wengi zaidi ya waislamu!!!! Bora mkaushe tu, waisilamu hamuwawezi.
Huu mwezi wametuandama sana hawa wagalatia na vithread vyao vya udini
Nyie mmeendelea kwa lipi?Ndio maana hawa watu hawaendelei mkuu,,,
Killboy na mlivyo wachache sasa mnatuletea shobo, je! Mngelikua wengi zaidi ya waislamu!!!! Bora mkaushe tu, waisilamu hamuwawezi.
Huu mwezi wametuandama sana hawa wagalatia na vithread vyao vya udini
Nikwambie tu ....Nani sasa ajiheshimu? Mimi au ninyi mnaoleta udini!!
الحمد الله: وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
And never will the Jews or the Christians approve of you until you follow their religion. Say, “Indeed, the guidance of Allah is the [only] guidance.” If you were to follow their desires after what has come to you of knowledge, you would have against Allah no protector or helper
Nikwambie tu ....
Sijasoma
Nyie hamjafunga wala nini..si kwa malumbano hayaa..afu unasemaje umefunga wkt unashindilia diko la kutosha ambalo unaeza kaa hata siku nne bila kula?
Lugha ya mtaani!'chakula'Diko ndio nini mzehe?
Hawatakuwa radhi mayahudi na manaswara hadi mfate mila zaoNikwambie tu ....
Sijasoma