Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Uhusiano Kati ya MUNGU na mwanadamuDini n nn ??maana mm cjui??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhusiano Kati ya MUNGU na mwanadamuDini n nn ??maana mm cjui??
Unakulaga kitimoto,nijibuHayo mashindano ya Quran ni ya msingi kuliko mchezo wa mpira, ni jambo jema kuliko hata maadhimisho ya kitaifa yanayofanyika hapo.Takbiiiir
Binafsi ni mkatoliki kindaki ndaki lakini napingana na mtoa mada, huwezi kulinganisha mchezo na jambo jema linalomhusisha Mwenyezi Mungu na kuwaongoza watu ktk njia ya haki na unyoofu.
Humu Kuna kila aina ya akili[emoji23][emoji23][emoji23]Jf nimeivulia mikonoo dadekiii
Simba hawana uwanja ule ni wa mudy ndio maana unaitwa moo arena.Kwani Simba si Wana uwanja wao Bunju? Ah I'm sorry kumbe haujaisha
Kanjibai mjanja sanaSimba hawana uwanja ule ni wa mudy ndio maana unaitwa moo arena.
Utakuja kupata akili baadaye sana..!Simba hawana uwanja ule ni wa mudy ndio maana unaitwa moo arena.
Mjanja sana halafu ameinunua timu kwa bilioni 2..ndio maana anabadilisha viongozi kila siku anawaweka wale wa kila kitu yanasema yessss bossKanjibai mjanja sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjanja sana halafu ameinunua timu kwa bilioni 2..ndio maana anabadilisha viongozi kila siku anawaweka wale wa kila kitu yanasema yessss boss
Patam apoNa ikumbukwe kuwa haya mashindano ya quran hayana kiingilio
Sijui ni wapi uliona ule ni maalum kwa mpira wa miguu.Yaani uwanja ni wa mpira wa miguu, halafu unaunga mkono kutumika kwa ajili ya mashindano ya Quran, badala ya mchezo wa mpira wa miguu!
Kwani hakuna maeneo rasmi ya kufanyia hayo mashindano? Mfano kwenye viwanja vya misikiti, ukumbi maalum uliokodiwa kwa shughuli hiyo! Kwa nini iwe tu kwenye viwanja vya mpira wa miguu?
Naapa mbele za Mungu ninavyoandika hapa ndio niko nakipiga, kitmoto mnavuUnakulaga kitimoto,nijibu
Akikujibu nitag mkuu[emoji1787]Unakulaga kitimoto,nijibu
Ooohh ooooohhhh tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]