Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Hadithi za abunuasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadithi za abunuasi
Wewe utakuwa taahira mileleUtakuja kupata akili baadaye sana..!
Si waende kwa azamNaamini hakuna uwanja wa Dini,
Wanaweza kutumia hata huo wa Mkapa ila sasa kwanini siku hiyo ya game?
Mkuu uwanja kama ule unajengwa kwa shughuli za kijamii ikiwemo michezo, matamasha,shughuli za kisiasa nk.Ule ni uwanja wa michezo bhana. Hivyo hayo matamasha yenu ya injili na hayo mashindano ya Quran, mnalazimisha tu kufanyia humo.
Kwani kuna mtu kasema lisifanyike? Suala ni mahali linapofanyikia kwa siku hiyo sio mahali sahihi sababu hiyo sehemu kwanza ni kwa ajili ya michezo na siku hiyo kuna mchezo. Je utaunga mkono ikiamuliwa wakafanyie shuleni na masomo yaahilishwe?Hayo mashindano ya Quran ni ya msingi kuliko mchezo wa mpira, ni jambo jema kuliko hata maadhimisho ya kitaifa yanayofanyika hapo.Takbiiiir
Binafsi ni mkatoliki kindaki ndaki lakini napingana na mtoa mada, huwezi kulinganisha mchezo na jambo jema linalomhusisha Mwenyezi Mungu na kuwaongoza watu ktk njia ya haki na unyoofu.
Tumsifu yesu kristo...
Kanisa la kisinodi.....
Mwana kondoo ameshinda...
Salam aleykum...
Kwa nini ya Kishki hauyafagilii na kuyakubali ya Mama Sururu ? nipe info maana nilishawahi kumsikia Ostadh wangu ambaye alishawahi kutoa Moja ya washindi Ktk mashindano ya Kishki akisema kama ulivyosema ila sikupata kudadisi vizuri.HAYO MASHINDANO YANAKUWAGA HAPO MIAKA YOTE...JAPO MIMI SIYAFAGILII MASHINDANO YANAYOENDESHWA NA HUYU KISHKI...LABDA YA HUYU MAMA AISHA SURURU...
KISHKI AMEKAA KISANII SANII SANA...NA NDIO MAANA ALLAAH KAMPA MTIHANI YAMEGONGANA NA MECHI...
WAKATI WANAPANGA HAYO MASHINDANO...CAF WALIKUWA HAWAJAPANGA TAREHE YA MECHI YA SIMBA YA ROBO FAINALI...KWAHIYO HAPO KISHKI NA UONGOZI WA UWANJA HAUNA KOSA...CAF NDIO WAMEINGILIA RATIBA YA UWANJA...
NA KUNA MPUUZI MMOJA HAPO JUU...ETI WAISLAM NA WAKRISTO WANAZIMIANA KIKI KAMA SIJUI MONAIZI NA NANI SIJUI...
NIKUPE TU TAARIFA...WAISLAAM TUNAPOPANGA MAMBO YETU HUWA HATUANGALII WAKRISTO WAMEPANGA NINI WATASEMA NINI...HAYATUHUSU YA WAKRISTO...KUWA NA AKILI YA KIUTU UZIMA...
KISHK NI MSANII...SIRI ILIYOPO NI KWANZA ANATANGAZA SHULE ZAKE...ALHIKMA BOYS N GIRLS,Kwa nini ya Kishki hauyafagilii na kuyakubali ya Mama Sururu ? nipe info maana nilishawahi kumsikia Ostadh wangu ambaye alishawahi kutoa Moja ya washindi Ktk mashindano ya Kishki akisema kama ulivyosema ila sikupata kudadisi vizuri.
Kilichotikea hawa wa mashindano ya qur an walipewa uwanja kabla ya ratiba ya mechi kutangazwa, pili kuhusu kumaliza saa saba ni miaka yote iko hivyo maana kuna swala ya saa saba lazima wakasaliNaamini hakuna uwanja wa Dini,
Wanaweza kutumia hata huo wa Mkapa ila sasa kwanini siku hiyo ya game?
Wakatoliki hamna ujanja wa kukusanya watu 60000+ kwa pamoja, wote mko busy kwenye mabaaNdiyo maana najivunia kuwa Mkatoliki. Tukiwa na shughuli zetu, tunafanyia kwenye makanisa yetu, au kwenye viwanja vinavyo zunguka hayo Makanisa.
Sasa hawa wenzetu, sijui wanakosea wapi!
Kwani kipi kilianza!? Kunankimoja kimekuja ghafra..!? Simba na Wasauzi ilijulikana kabla, mashindano hayo vipi!?Mtu mmoja huko Twitter akatweet hizi dini mbili zina kutafutiana na kuzimana Kiki km diamond na harmonize
Wakristo wakati wanasherekea sikukuu Yao ya pasaka, waislamu wanakuja kuizima Kwa mashindano ya Qur'an
Nikacheka sn..Ila tungekuwa na viwanja zaidi ya kimoja vyenye hadhi ya mkapa hii ratiba isingeingiliana
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app