Kuna umuhimu wa kuripoti JKT kwa wahitimu wa Form 6?

[emoji28][emoji28][emoji28], we ngoja DC uchwara tu huyu,

Acha nione hii weeknd,
Kuna clip nlisikia kuna dada analalamika,kuwa huko wanatandikwa sana [emoji1]
Ukijifanya hutaki wanakupa adhabu mpaka mwenyewe unawalegezea

Ova
 
Kuna clip nlisikia kuna dada analalamika,kuwa huko wanatandikwa sana [emoji1]
Ukijifanya hutaki wanakupa adhabu mpaka mwenyewe unawalegezea

Ova
πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Acha wapelekewe moto tu, maana wengi hawajielewi na full viburi nasemaje

Gono na ukimwi uendelee kutembezwa tu, πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Kwani walilazimishwa kuenda huko πŸ˜πŸ˜›πŸ˜›
 
Muwashie moto hadi akimbie humu [emoji28][emoji28]
Nikimbie jf? Nimeijua Jf 2008, nipo second year UD. nikajiunga 2009 naweka modem kwenye laptop naunga net naingia jf. Nikaipotezea, baadae sana nikajiunga tena
huyo 2008 muulize alikuwa wapi, kama sio analamba kamasi
 
Unataka kupigana vita sio yako? Huyo cute wife amenitangaza mimi ni adui yake wa kudumu bila sababu zozote, ananionea sana Ila watu hamuoni
 


Kifupi JKT ni kambi rasmi za mateso zilizowekwa kwa mujibu wa sheria. Huko kuna kila aina ya uchafu.

Lakini Kuacha kwenda ni kinyume cha sheria na sijui adhabu yake au consequences zake kwako zitakuwa zipi.
 
Wewe ulienda na kipi Cha ziada ulichopata?
 
Nikimbie jf? Nimeijua Jf 2008, nipo second year UD. nikajiunga 2009 naweka modem kwenye laptop naunga net naingia jf. Nikaipotezea, baadae sana nikajiunga tena
huyo 2008 muulize alikuwa wapi, kama sio analamba kamasi

Tupe ID yako ya 2009 tuione
 
Unataka kupigana vita sio yako? Huyo cute wife amenitangaza mimi ni adui yake wa kudumu bila sababu zozote, ananionea sana Ila watu hamuoni
Ww ndo ulimuanza mkuu, nakumbuka vizuri kwenye ile thread yake ya mzungu

We tulia dawa ikuingie maana unajikuta mvuta bangi sasa, sisi wengin bangi ni chakula kwetu kuwa makini

Nikianza mapigo yangu hutopenda, na nilikuonya mkuu, we endelea kumtukana nimekaa πŸ‘‰πŸ‘‰
 
Unataka kupigana vita sio yako? Huyo cute wife amenitangaza mimi ni adui yake wa kudumu bila sababu zozote, ananionea sana Ila watu hamuoni

Wewe paka mapepe nikuonee?! Unajua Kantri wewe ni zaidi ya kichaa [emoji1787][emoji1787]

Km uliweza kupost papa la mkeo ulilomnyoa vuzi ndio nikuonee wewe shindikana?
 

Woyoooooooooooo aya njoo wewe chizi fresh Countrywide uje unyweshwe dawa zako [emoji1787]
 
Kwa badae ili uajiriwe hasa kwenye nafasi serekali I lazima itakua ni mojawapo ya kigezo

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kwa badae ili uajiriwe hasa kwenye nafasi serekali I lazima itakua ni mojawapo ya kigezo

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Sio kweli sababu wanachukua mostly wenye div 1&2 na waliopitia advanced level vp kuhusu ambao serikali iliwachagua kwenye vyuo vya kati moja kwa moja
 
Hata ingekua na madhara gani kweny ajira, mtoto au ndugu yangu wa kike hawezi kwenda JKT, wakiume kama ana afya na ye mwenyewe karidhia anaweza akaenda
Nakubaluana nawe, mimi nilienda mwaka mmoja enzi zile, watoto wa kike walikuwa wanapata tabu sana, hasa afande akikutaka utateseka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…