Huko wapelekwe watoto wa masikiniThink wisely, Miezi mi3 ni michache sana. Kama hauna cha msingi cha kufanya nyumbani na una afya yako njema, nenda huko. Ni kuzuri kuna faida utajua siku ya mwisho. pia kuna advantage ya cheti utakachopata kitakusaidia kwenye mbele huko.
Bado watu hawaelewi hilo swalahata ajira unatemwa wanachukuliwa wale waliojitolea miaka 2,3 wale wa miezi sijui 3 unapigwa chini
Sijui sijaelewa au sijui sioni vizuri, unasema ulipita jkt? Hii Jkt?
Kusoma na kuandika ni sehemu ndogo sana ya kuondoa ujinga kichwani mwa binadam, ni sawa na watu wengi wa Afrika walivyoaminishwa kuwa kujua kingereza ni kuelimika, yaani wakiona mtu anakingeleza basi huyu ana elimu na hii ikaleta dharau kwa lugha za wazawa na kuziita jina moja baya sana "VERNACULAR" ....ushaona mwafrika akishindwa kuongea kingereza anaonekana boya....lakini mchina, mfaransa, mjapani, mkorea na wengineo ni kawaida....nikirudi kwenye hoja yako ....kwa sasa tuna wajinga wengi sana na wabaya kuliko wa zama zile hawa waliojificha katika usomi....lakini hawawezi kupambana na mazingira yao na kutatua changamoto zao....wa zam zile waliweza sana kupambana na mazingira yao katika huo unaouona kama ujinga.Mbona kuna kundi kubwa la wasiojua kusoma na kuandika wa zama hizo kuliko zama hizi?
Sizani kama Kuna kazi za uhamiaji wanataka chet Cha jkt Cha mujibu wa Sheria uwaga wanataka wale wakujitolea kabisa full miaka 3Mimi nilichaguliwa lakini sikwenda, madhara niliyoyapata Ni kushindwa kuapply kazi Kama za ujamiaji nk. Ila Mimi pia Ni mkakamavu sikuona sababu ya kwenda JKT
Hii ni Sawa kabisaHata ingekua na madhara gani kweny ajira, mtoto au ndugu yangu wa kike hawezi kwenda JKT, wakiume kama ana afya na ye mwenyewe karidhia anaweza akaenda
Wakufunzi ndio wanatengeneza mazingira mtoto wa kike weka mbali na jkt nduguNasikia wakufunzi huko wanawagonga sana watoto wa kike na kuwaambukiza UKIMWI!
Hivi ni wakufunzi ndio huwa wanatengeneza mazingira au watoto wa kike wenyewe ndio wanajirahisisha?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Nilipita JKT mgambo Kabuku Tanga.
Upoooo??
Tutolee huo uchuroNilipita JKT mgambo Kabuku Tanga.
Upoooo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilipita kwa Mujibu.Tutolee huo uchuro
JKT ni jeshi imara na lenye weledi
Kila niktaka kukuacha naona unajaa kwenye 18 [emoji23][emoji23][emoji23]Coca siku moja umkaze huyu ili akuheshimu
Umechafua sana watu ukaona hujachoka, umeanza kuchafua na jeshi. Kuna kitu naamini unakitafuta. Basi subiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilipita kwa Mujibu.
Wee DC uchwaraaa.
Jeshi imara LA kina Afande Rama au?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jkt Haina maana yoyote, ni kuchoshana TU mpaka naandika hapa Tiyari nishaexperience, ni upuuzi mtupu, heri ifutwe tuu, Mimi sitokaa nishauri mtu apoteze mda wa kwenda jkt.Habari zenu Wana JF,
Naomba msaada kufahamu madhara ya kuacha kuripoti wito wa kujiunga na JKT kwa wale waliomaliza A level.
Je, cheti cha kumaliza mafunzo ya JKT huwa kinahitajika kwa ambaye anataka kufanya maombi vyuo vikuu vya Serikali kama UDSM, Tanzania Institute of Accountancy na IFM, kwa mfano?
Lakini la ziada: kama mhusika hatafanya maombi ya mkopo kupitia HESLB ataathirika namna gani?
Asanteni kwa msaada.
Hamna kitu, usidanganye watu wewe, watu walopitia huko wanahayo mavyeti lakini hayajasaidia chochote, mfyuuuuuuuuuNenda JKT kijana, hicho cheti kina umuhimu wake hata kama sio kwa kufanya application ya chuo
Usiongee kama mwakilishi wa jumuiya, sema wewe umeona hakija kusaidia usiseme watuHamna kitu, usidanganye watu wewe, watu walopitia huko wanahayo mavyeti lakini hayajasaidia chochote, mfyuuuuuuuuu
Kila niktaka kukuacha naona unajaa kwenye 18 [emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo wewe na huyo cocastic, nawafumua mishono yote hiyo tena situmii mundende