Kuna Upigaji mkubwa sana kwenye Miradi ya Ujenzi hasa Barabara

Sisi tupo nchi za jina baya alilosema mzee trumpet,sii tunajua kula kama mchwa pekee,uzalendo,uadilifu kwetu hauna thamani,na kuwa mwadilifu unatengeneza maadui,hata wakukutoa roho.
 
Barabara zina ubora hafifu, ndio sababu ya kujaza mizani kila wilaya, ndio sababu barabara za kwenu vumbi City ziko kama matuta ya viazi vitamu, barabara hazizingatii watembea kwa miguu na waendesha baiskeli na ni nyembamba sana pia.
Sio kweli,ubora uko vizuri ila madai yake mengi yanahusiana na usanifu duni na aging roads na sio kujengwa chini ya kiwango ndio maana hajathibitisha.
 
CCM ndio Ina wataalamu? Au ndio TanRoads/Tarura? Kutojua adui ni kupoteza pambano.
Nyie ndiyo mnaendesha nchi hii Kwa kilakitu na sekta zote zipo chini yenu ndiyo maana tunawalaumu nyie
ChoiceVariable ulipost Uzi juu ya maandalizi wa ujenzi wa barabara za DAR chini ya tarura...Je Hadi sasa huo mradi umeishia wapi?

Tuliambiwa kuna miradi mingi ya barabara hasa zile za kuunganisha wilaya Kwa wilaya Kwa lami je Hadi Leo ziko wapi?
 
CCM ni chama kama Chadema tuu hawana wataalamu wa Barabara,hiyo ni kazi ya serikali so taasisi za serikali ndio zilaumiwe.

Mradi upo hao ila taratibu za pesa ndio zinasubiliwa kutoka WB.

Pesa ya WB Huwa Ina michakato Mingi sana ya Kisenge na semina zisizoisha.
 
Ccm na serikali huwezi kuvitenganisha....
 
Unaelewaje unavyosikia barabara imejengwa kwenye viwango vya juu ya ubora?

Unasema hakuna shida kwenye ujenzi ila shida ni design, nenda Dodoma kagua barabara inayotoka kwa Waziri Mkuu hadi Shule ya Martin Luther alafu njoo na hizo hoja zako ili ujione ulivyo mjinga.
 
Shida inakuwa ni design sio wajenzi.
 
Wilaya ya ubungo inaongoza kwa kuwa na barabara mbovu,watu wamepania huu uchaguzi wa serikali za mitaa,ccm labda waibe ndio washinde,hamna anaewataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…