Kuna Upigaji mkubwa sana kwenye Miradi ya Ujenzi hasa Barabara

Kuna Upigaji mkubwa sana kwenye Miradi ya Ujenzi hasa Barabara

Awamu hii hata flyover ni quality mbovu ukilinganisha awamu iliyopita
Magufuli ndo alikua bingwa wa barabara mbovu.... barabara nyingi zilizojengwa akiwa waziri na baadae Rais ni chini ya kiwango. Yule jamaa alikua mpigaji basi tu hii nchi ina vichwa vya panzi wengi sana.
 
Picha ulizoziweka hapo nyingi ni highway sio Barbara za vijijini za TARURA. Ingawa issues za usimamizi mbovu pia limo.
 
Katika fuatilia zangu, nimegundua kuwa kuna upigaji mkubwa sana kwenye miradi ya ujenzi hasa majengo mbalimbali na barabara nchini Tanzania.

Kiukweli barabara nyingi nchini zinajengwa chini ya kiwango, kuanzia upana , hadi ubora wa barabara husika na kamwe huoni wakandarasi wakichukuliwa hatua jambo linaloashiria kandarasi husika kupatikana kwa njia ya rushwa.

Nimejaribu kufuatilia namna barabara za wenzetu kwenye mataifa ya hapa hapa Afrika zinavyojengwa mfano Afrika Kusini, Algeria, Ivory Coast, Kenya na hata Morocco na kusema kweli nimekuja kugundua barabara zetu zinajengwa kwa viwango duni sana na kwa gharama kubwa sana tofauti na wenzetu.

Ukitazama barabara nyingi zinazojengwa na Tarura hazina hata sehemu za Watembea kwa miguu (Pedestrians) na nyingi hazifungwi hata taa za kuona usiku kwa watembea kwa miguu na inasemekana fedha hizo huwa zinatengwa kwenye bajeti za ujenzi wa barabara husika.

Tanzania tuna kazi kubwa sana kwa kweli hasa katika uadilifu wa watu wetu na uzalendo wa wstu wetu katika kufanya mambo wakiangalia maslahi ya Taifa badala ya maslahi yao binafsi.View attachment 3097223View attachment 3097224View attachment 3097225
Viongozi waliopatikana kwa wizi wa kura lazima wataendeleza na kuusimamia wizi
 
Wananchi wa kawaida wengi wanakwambia angekuwepo hayati magufuli dsm nzima kungekua na lami.

Hata huu mradi wa majitaka unaoendelea ungekuwa na quality.hizi mwendokasi zinazoendelea kujengwa ilihali mabasi hakuna nazo zingekuwa na high quality kama ile aliyojenga strabag ila hawa wachina wanaokula ugali wa buku 3 washakuwa waswahili.
Na ukitaka kujua wachina matapeli kwenye ujenzi google sakata la pwc china. Pwc scandal china utaujua utapeli wa ma contractor na developer wa kichina
 
Wananchi wa kawaida wengi wanakwambia angekuwepo hayati magufuli dsm nzima kungekua na lami.

Hata huu mradi wa majitaka unaoendelea ungekuwa na quality.hizi mwendokasi zinazoendelea kujengwa ilihali mabasi hakuna nazo zingekuwa na high quality kama ile aliyojenga strabag ila hawa wachina wanaokula ugali wa buku 3 washakuwa waswahili.
Na ukitaka kujua wachina matapeli kwenye ujenzi google sakata la pwc china. Pwc scandal china utaujua utapeli wa ma contractor na developer wa kichina
Wachina ni wahuni namba moja duniani.

Wanazipiga sana nchi zinazoendekeza rushwa kwa kuwajengea miradi ya hovyo isiyo na ubora ya chini ya kiwango.

Kiukweli barabara tunazotengenezewa na wachina hapa Tanzania ni vituko na takataka tu!

Utaziona bora kama umekulia kijijini na hujawahi toka nje ya Tanzania ambapo ndo wanajenga barabara zenye viwango. Kama umefika mataifa yanayojua namna ya kutumia vizuri kodi za wananchi katika miradi ya maendeleo barabara zetu utaziona ujinga tu
 
Nimejaribu kufuatilia namna barabara za wenzetu kwenye mataifa ya hapa hapa Afrika zinavyojengwa mfano Afrika Kusini, Algeria, Ivory Coast, Kenya na hata Morocco na kusema kweli nimekuja kugundua barabara zetu zinajengwa kwa viwango duni sana na kwa gharama kubwa sana tofauti na wenzetu.
siku ukiyajua yanayoendelea huko kwenye hayo maujenzi ya kibongo unaweza kulia na kuzimia.....anyway MUNGU atusaidie
 
siku ukiyajua yanayoendelea huko kwenye hayo maujenzi ya kibongo unaweza kulia na kuzimia.....anyway MUNGU atusaidie
Weka wazi humu ndugu. Inabidi wajue kuwa tunajua madudu wanayoyafanya. Na kwa kuwa Jinai haiozi kuna siku wajue watapandishwa tu kizimbani kujibu mashtaka.
 
Weka wazi humu ndugu. Inabidi wajue kuwa tunajua madudu wanayoyafanya. Na kwa kuwa Jinai haiozi kuna siku wajue watapandishwa tu kizimbani kujibu mashtaka.
niliwahi kuandika humu kwenye mojawapo ya thread zangu na pia nilishawahi kukomenti mara kadhaa.....inasikitisha! Ndio maana wafanyakazi wetu wananyanyaswa na wachina mno na hakuna mtu wa kufanya kitu. Nikukumbushe tu, unajua kuwa viongozi wengi sio wote wengi wanajaziwa mafuta na wachina? DC, OCD na wengine,, akihitaji dieasel anapewa bure na mchina? Kwa ufupi, hakuna kitu cha bure mchina atakupa, ndio maana siku zile kwa mfano DC Gondwe aanpiga mkwara jamaa walikua wanacheka tu....inaumiza.
 
Katika fuatilia zangu, nimegundua kuwa kuna upigaji mkubwa sana kwenye miradi ya ujenzi hasa majengo mbalimbali na barabara nchini Tanzania.

Kiukweli barabara nyingi nchini zinajengwa chini ya kiwango, kuanzia upana , hadi ubora wa barabara husika na kamwe huoni wakandarasi wakichukuliwa hatua jambo linaloashiria kandarasi husika kupatikana kwa njia ya rushwa.

Nimejaribu kufuatilia namna barabara za wenzetu kwenye mataifa ya hapa hapa Afrika zinavyojengwa mfano Afrika Kusini, Algeria, Ivory Coast, Kenya na hata Morocco na kusema kweli nimekuja kugundua barabara zetu zinajengwa kwa viwango duni sana na kwa gharama kubwa sana tofauti na wenzetu.

Ukitazama barabara nyingi zinazojengwa na Tarura hazina hata sehemu za Watembea kwa miguu (Pedestrians) na nyingi hazifungwi hata taa za kuona usiku kwa watembea kwa miguu na inasemekana fedha hizo huwa zinatengwa kwenye bajeti za ujenzi wa barabara husika.

Tanzania tuna kazi kubwa sana kwa kweli hasa katika uadilifu wa watu wetu na uzalendo wa wstu wetu katika kufanya mambo wakiangalia maslahi ya Taifa badala ya maslahi yao binafsi.View attachment 3097223View attachment 3097224View attachment 3097225
Ni hatari sana
 
niliwahi kuandika humu kwenye mojawapo ya thread zangu na pia nilishawahi kukomenti mara kadhaa.....inasikitisha! Ndio maana wafanyakazi wetu wananyanyaswa na wachina mno na hakuna mtu wa kufanya kitu. Nikukumbushe tu, unajua kuwa viongozi wengi sio wote wengi wanajaziwa mafuta na wachina? DC, OCD na wengine,, akihitaji dieasel anapewa bure na mchina? Kwa ufupi, hakuna kitu cha bure mchina atakupa, ndio maana siku zile kwa mfano DC Gondwe aanpiga mkwara jamaa walikua wanacheka tu....inaumiza.
Wachina watu wa hovyo sana.
 
Wananchi wa kawaida wengi wanakwambia angekuwepo hayati magufuli dsm nzima kungekua na lami.

Hata huu mradi wa majitaka unaoendelea ungekuwa na quality.hizi mwendokasi zinazoendelea kujengwa ilihali mabasi hakuna nazo zingekuwa na high quality kama ile aliyojenga strabag ila hawa wachina wanaokula ugali wa buku 3 washakuwa waswahili.
Na ukitaka kujua wachina matapeli kwenye ujenzi google sakata la pwc china. Pwc scandal china utaujua utapeli wa ma contractor na developer wa kichina
Magu alipokua rais ndie aliewanyima strabag tender ya phase 2,wahindi sijui wachina aliowaleta brt phase 2 wamejenga stand mbaya na hata barabara ndio ya ovyo kupita maelezo
 
Kuanzia kimara hadi kibaha kiukweli hii ina kiwango cha hali ya juu mwamba alikua strick san
 
Back
Top Bottom