Kuna uwezekano Aubin Kramo hajui kuwa jina lake limeondolewa kwenye wachezaji wa Simba

Kuna uwezekano Aubin Kramo hajui kuwa jina lake limeondolewa kwenye wachezaji wa Simba

Hawana uchungu, wameweka maslahi mbele na hili halikuanza Leo lipo enzi na enzi.
Bakhresa alijiondoa Simba baada ya kushikiwa kisu na mwanachama kisa alitaka kuwajengea Simba hostel, Kuna kipindi Simba ilipata mwekezaji wa kuwajengea Msimbazi lakini aliondoka baada ya kumleta mpiga picha apige picha ya jengo akapigwa na watu waliokuwa wanashindea klabuni kisa wanadai uongozi ulitaka kuuza jengo.
Jengo la Simba lilijengwa mbavuni waliosema wameweka msingi wa ghorofa saba kumbe ni ghorofa tatu wahusika wapo.
Jengo la Simba lilimegwa kwa nyuma na kuuzwa lakini husikii lolote wahusika wapo.
Malkia wa nyuki alijiondoa. Baada ya kugundua viongozi walikuwa wanakula pesa za mishahara ya wachezaji mhusika yupo Tena akiongea watu watu .wanamsifia..
Wachezaji bomu wameanza kuletwa muda mrefu mfano pape ndiew aliyekuja na hirizi, mchezaji aliyesajuliwa kuziba nafasi ya Samatta akaishia kucheza mechi moja Tena walisema alikuwa akimweka Samatta benchi. Kuna yule Gyan yupo Singida walimsajili dola laki moja alikuja Kama forward wakambadilisha kuwa beki.
Bus la Simba limeuzwa kinyemela.
Mbna Kuna uozo dizaini hiii.
 
Simba walipomleta.kipa mbrazil Kuna mwanachama wa Simba aliniambia yule mchezaji hatadumu mwaka nikambishia akaniambia wewe hujui zile biashara za watu na bado sikuamini mpaka niliposikia mikataba umesitishwa sababu ya majeraha kambini.
Huyo mchezo Simba upo muda mrefu, ndio maana Kuna makocha wazuri wanaonekana hawafai kumbe tunaeawekea wachezaji magumashi.
Hivi klabu ya Simba na ukubwa wake inaweza kusajili mchezaji bila kumpima afya, na lile benchi lote kazi yake ni nini?
Kwa hili la upimaji wa Afya umenikumbusha usajili wa Kramo. Wiki mbili kabla ya usajili wake kuna mwana JF aliongelea majeraha ya Kramo lakini akapuuzwa.
 
Hawana uchungu, wameweka maslahi mbele na hili halikuanza Leo lipo enzi na enzi.
Bakhresa alijiondoa Simba baada ya kushikiwa kisu na mwanachama kisa alitaka kuwajengea Simba hostel, Kuna kipindi Simba ilipata mwekezaji wa kuwajengea Msimbazi lakini aliondoka baada ya kumleta mpiga picha apige picha ya jengo akapigwa na watu waliokuwa wanashindea klabuni kisa wanadai uongozi ulitaka kuuza jengo.
Jengo la Simba lilijengwa mbavuni waliosema wameweka msingi wa ghorofa saba kumbe ni ghorofa tatu wahusika wapo.
Jengo la Simba lilimegwa kwa nyuma na kuuzwa lakini husikii lolote wahusika wapo.
Malkia wa nyuki alijiondoa. Baada ya kugundua viongozi walikuwa wanakula pesa za mishahara ya wachezaji mhusika yupo Tena akiongea watu watu .wanamsifia..
Wachezaji bomu wameanza kuletwa muda mrefu mfano pape ndiew aliyekuja na hirizi, mchezaji aliyesajuliwa kuziba nafasi ya Samatta akaishia kucheza mechi moja Tena walisema alikuwa akimweka Samatta benchi. Kuna yule Gyan yupo Singida walimsajili dola laki moja alikuja Kama forward wakambadilisha kuwa beki.
Bus la Simba limeuzwa kinyemela.
Aisee [emoji119]
 
Kichwa cha habari kinatosha kusema kile ninachotaka kusema na nimekuwa direct sana kwenye ujumbe wangu bila kupindisha maneno. Sikuacha mwanya wa mtu kupata maana tofauti au zaidi ya kile nilichoandika kama ulivyofanya wewe.

Mchezaji anaweza kusema yuko tayari na amepona lakini akaambiwa aendelee kufanya recovery. Hivi Kramo amefanyiwa matibabu yake lini? Wewe unaamini bado hajapona? Achana na sasa, unaamini wakati wa dirisha dogo alikuwa hajapona?

Najua hautaki kuyasikia haya hasa kipindi hiki kuelekea mechi ngumu ila jiandae kisaikolojia. Kuna ukweli wa kinachoendelea pale na kila mtu anauona ila watu wanaogopa kuongea ili wasionekane kama kina Mchome.

Turudi kwenye swali kuu la mada hii, Kramo anajua kuwa jina lake liliondolewa katika mashindano yote?
Majeraha ya awamu ya kwanza aliuguzwa na madaktari wa Club.

Majeraha ya awamu ya pili, Kramo aliomba ruhusa aende akatibiwe kwao.

Na kama utakumbuka utaona katika hicho kipindi kulikuwa na muda mfupi sana kufikia dirisha dogo.

Kramo aliwasili Tanzania ikiwa zimebaki siku chache dirisha la usajili kufunguliwa.

Na ndio huo muda ambao Club ilikuwa inahitaji kupata ingizo jipya kwenye dirisha dogo.

Kumbuka ingizo jipya ilikuwa ni mchezaji ambaye angeenda moja kwa moja kutegemewa kwenye kikosi na sio mchezaji ambaye Club ingependa kumuona akiwa second option.

Sasa kwa wakati huo tuliambiwa Kramo amepona kwa asilimia 90 ila kulingana na eneo alilopata majeraha katika mwili, madaktari watamfanyia uangalizi kujua kama ataweza kuingia moja kwa moja au apewe muda wa recovery.

At that moment Simba isingeweza kumudu kubaki na Kramo kama sehemu ya kikosi kwasababu muda uliopo hautoshi kwa Club kuendelea kumsubiria mchezaji afanye recovery wakati kuna mashindano muhimu mbele yao na wanahitaji mchezaji.

Yalikuwa ni maamuzi ambayo yangeweza kufanyika kumbakiza Kramo kwenye kikosi bila kumuondoa, ila yalikuwa ni maamuzi ambayo yana risk kubwa.
 
Kramo aliondolewa Jina kwenye NBC ila caf champions league Jina lipo, Maana caf hakuna idadi ya wachezaji wa kigeni. Tulishakua na Junior Lokosa pia miaka kama 3 ilopita alikua kasajiliwa caf ila hachezi ligi kuu
Watu mnaoamini kuwa Kramo bado amesajiliwa walau CAF mpo wengi sana ila kwa mujibu wa maelezo ya hivi karibuni ya Ahmed Ally, Kramo hajasajiliwa kwenye NBC wala CAF, na mimi nimetumia jicho langu la kiFBI na kiCIA na kuunganisha dots fulani kung'amua kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba Kramo hana taarifa kuwa jina lake liliondolewa.

Nimeomba mwandishi yoyote wa habari ajitolee kumuuliza hilo swali Kramo mwenyewe na akisema anajua au akitoa jibu linalotoa muelekeo kuwa anajua, niko tayari kutoa 100K.
 
Asante shabiki unayejitambua. Juzi kuna Mtu kakurupuka kaweka Uzi wake humu akiwa hajui haya yote. Pale Simba pale! Kuna shida si kidogo. Kuna michongo na mitikasi mpaka Wachezaji wanajiona hawafai wanajiondoa. Nachelea kusema hata issue ya Ulevi inawezekana ilitokana na kunyimwa 10%. Sina shida Mangungu maana na yeye ni ceremonial figure. Tatizo la Simba linaanzia Kwa Jaribu Tena. Huyu usipomnyenyekea uwanjani utapasikia tu. Naongea Kwa ushahidi nilionao Kwa issue ya Kakolanya alipoumia Manula. Saidoo mtaendelea kuwa naye mwakani labda muitishe Uchaguzi upya mwaka huu.
Sasa mkuu, wakifanya hivyo au wanaofanya hivyo malengo yao ni nini? Maana ya kuleta wachezaji wabovu mana yake nini? Wapate tu hizo 10%? Hawataki SIMBA ipate mafanikio? Je hawaoni simba kuchukua ubingwa ligikuu na kuingia nusu fainali ni mafanikio hata kwao kupitia hao wachezaji wao wanaowachukulia 10% zao sio kwamba wangekua wanahakikisha simba inapata vikombe vya ubingwa kwanza mana wanapofeli hao wachezaji watakosa motisha na kuondoka
Au ndio hawana uchungu wao hawajali simba ishinde isishinde mtajua wenyewe, wao wachezaj wao akipata mshahara, anatoa 10% anampa mwanachama husika, maisha yanaendelea
Sababu zinaweza kuwa kadhaa ila hiyo ya 10% ambayo wengi wanaiongeleaga hata kama ipo binafsi nadhani inabeba uzito mdogo katika tatizo zima la Simba kuliko sababu zingine ambazo naomba nisizitaje.

Ni rahisi kumuendesha na kumcontrol mtu ambaye anajua yuko pale si kwa uwezo wake kuliko yule anayeamini ana uwezo wa kufanya kazi na kushika nafasi hiyo bila kubebwa. Pay attention kwenye maeneo mengine ya jamii utagundua hilo.
 
Majeraha ya awamu ya kwanza aliuguzwa na madaktari wa Club.

Majeraha ya awamu ya pili, Kramo aliomba ruhusa aende akatibiwe kwao.

Na kama utakumbuka utaona katika hicho kipindi kulikuwa na muda mfupi sana kufikia dirisha dogo.

Kramo aliwasili Tanzania ikiwa zimebaki siku chache dirisha la usajili kufunguliwa.

Na ndio huo muda ambao Club ilikuwa inahitaji kupata ingizo jipya kwenye dirisha dogo.

Kumbuka ingizo jipya ilikuwa ni mchezaji ambaye angeenda moja kwa moja kutegemewa kwenye kikosi na sio mchezaji ambaye Club ingependa kumuona akiwa second option.

Sasa kwa wakati huo tuliambiwa Kramo amepona kwa asilimia 90 ila kulingana na eneo alilopata majeraha katika mwili, madaktari watamfanyia uangalizi kujua kama ataweza kuingia moja kwa moja au apewe muda wa recovery.

At that moment Simba isingeweza kumudu kubaki na Kramo kama sehemu ya kikosi kwasababu muda uliopo hautoshi kwa Club kuendelea kumsubiria mchezaji afanye recovery wakati kuna mashindano muhimu mbele yao na wanahitaji mchezaji.

Yalikuwa ni maamuzi ambayo yangeweza kufanyika kumbakiza Kramo kwenye kikosi bila kumuondoa, ila yalikuwa ni maamuzi ambayo yana risk kubwa.
Unajaribu kuhalalisha kile kilichofanyika bila kujibu hoja ya msingi ya uzi huu ambayo ni swali, Kramo anajua kuwa jina lake liliondolewa katika mashindano? Na haujajibu swali langu lingine, wewe unaamini kwamba Kramo amesajiliwa au hajasajiliwa katika mashindano ya CAF maana umeniambia kule juu sijamuelewa Ahmed ila haukujibu swali langu.

Unasema kwenye dirisha dogo ilikuwa ni risk kumbakisha Kramo ambaye tayari alikuwa kwenye recovery ya muda mrefu na alionyesha utayari wa kuitumikia timu ila unaona ilikuwa sawa kumbakisha Bocco ambaye ni kama hakuwa kwenye mipango tena ya Benchikha? Hivi ile nafasi inayoshikiliwa na Bocco ambayo sasa hivi iko wazi si afadhali hata tungekuwa tumemrudisha Kyombo akawa backup nzuri ya hao kina Freddy? Inakuwaje hilo haulioni ila unaona Kramo angeziba nafasi wakati ni wazi alikuwa tayari kuitumikia timu? Unajua athari kwa wachezaji wengine za kuwatenga na kuwaacha wachezaji waliopitia majeraha kama ambavyo Phiri na Kramo wamefanyiwa?
 
Barbakar
Saidoo
Fredi
Luis
Kamati ya Usajiri wa Simba iwaondoe dilisha kubwa.

Ni wachezaji wastaafu kwa sasa.
Aikili inataka kucheza mwili unakataa.
Hao Tandika wako wengi tu wa kucheza Bonanza.
Chasambi anawazidi mala elfu
Luis bado ni mchezaji mzuri sana na sielewi kwa nini apewi muda zaidi
 
Hawana uchungu, wameweka maslahi mbele na hili halikuanza Leo lipo enzi na enzi.
Bakhresa alijiondoa Simba baada ya kushikiwa kisu na mwanachama kisa alitaka kuwajengea Simba hostel, Kuna kipindi Simba ilipata mwekezaji wa kuwajengea Msimbazi lakini aliondoka baada ya kumleta mpiga picha apige picha ya jengo akapigwa na watu waliokuwa wanashindea klabuni kisa wanadai uongozi ulitaka kuuza jengo.
Jengo la Simba lilijengwa mbavuni waliosema wameweka msingi wa ghorofa saba kumbe ni ghorofa tatu wahusika wapo.
Jengo la Simba lilimegwa kwa nyuma na kuuzwa lakini husikii lolote wahusika wapo.
Malkia wa nyuki alijiondoa. Baada ya kugundua viongozi walikuwa wanakula pesa za mishahara ya wachezaji mhusika yupo Tena akiongea watu watu .wanamsifia..
Wachezaji bomu wameanza kuletwa muda mrefu mfano pape ndiew aliyekuja na hirizi, mchezaji aliyesajuliwa kuziba nafasi ya Samatta akaishia kucheza mechi moja Tena walisema alikuwa akimweka Samatta benchi. Kuna yule Gyan yupo Singida walimsajili dola laki moja alikuja Kama forward wakambadilisha kuwa beki.
Bus la Simba limeuzwa kinyemela.
Aiseee mkuu kama mtu anakuletea maendeleo tena kwa makubaliano mazuri unamshikia kisu nimenyoosha mikono juu...
Hao wanaokaaa nje na wahuni wanaoshika visu ni wanachama hao wenye 51% ?
Nimeamini sasa simba ina uwezo wa kufika mbali ila shida ni hao wenye 51% na kiongoz wao try again.
 
Unajaribu kuhalalisha kile kilichofanyika bila kujibu hoja ya msingi ya uzi huu ambayo ni swali, Kramo anajua kuwa jina lake liliondolewa katika mashindano? Na haujajibu swali langu lingine, wewe unaamini kwamba Kramo amesajiliwa au hajasajiliwa katika mashindano ya CAF maana umeniambia kule juu sijamuelewa Ahmed ila haukujibu swali langu.

Unasema kwenye dirisha dogo ilikuwa ni risk kumbakisha Kramo ambaye tayari alikuwa kwenye recovery ya muda mrefu na alionyesha utayari wa kuitumikia timu ila unaona ilikuwa sawa kumbakisha Bocco ambaye ni kama hakuwa kwenye mipango tena ya Benchikha? Hivi ile nafasi inayoshikiliwa na Bocco ambayo sasa hivi iko wazi si afadhali hata tungekuwa tumemrudisha Kyombo akawa backup nzuri ya hao kina Freddy? Inakuwaje hilo haulioni ila unaona Kramo angeziba nafasi wakati ni wazi alikuwa tayari kuitumikia timu? Unajua athari kwa wachezaji wengine za kuwatenga na kuwaacha wachezaji waliopitia majeraha kama ambavyo Phiri na Kramo wamefanyiwa?
Unavyosema kwamba nahalalisha kwani kuna kitu gani ambacho kimebatilishwa na wewe una huo ushahidi?

Kwasababu as far as we argue, ni kwamba unaongelea speculation ambayo haijawa proved.

Labda nikuulize wewe. Swala la Kramo kujua au kutokujua kuwa hayupo kwenye kikosi tunalithibitisha vipi?

Yani kwamba unajenga hoja kuonesha kuwa Simba wametoka public kwenye media kufikisha taarifa kwa mashabiki kuhusu swala la Kramo kuondolewa kwenye kikosi.

Lakini Simba hao hao wamemficha Kramo asiweze kujua kuwa hayupo kwenye kikosi?

Kama Simba ingetaka kumficha Kramo asijue kuwa ameondolewa kwenye sehemu ya kikosi unafikiri wangethubutu kutoka public kuwatangazia mashabiki wao kuwa Kramo ni excluded kwenye kikosi?
 
Unavyosema kwamba nahalalisha kwani kuna kitu gani ambacho kimebatilishwa na wewe una huo ushahidi?

Kwasababu as far as we argue, ni kwamba unaongelea speculation ambayo haijawa proved.

Labda nikuulize wewe. Swala la Kramo kujua au kutokujua kuwa hayupo kwenye kikosi tunalithibitisha vipi?

Yani kwamba unajenga hoja kuonesha kuwa Simba wametoka public kwenye media kufikisha taarifa kwa mashabiki kuhusu swala la Kramo kuondolewa kwenye kikosi.

Lakini Simba hao hao wamemficha Kramo asiweze kujua kuwa hayupo kwenye kikosi?

Kama Simba ingetaka kumficha Kramo asijue kuwa ameondolewa kwenye sehemu ya kikosi unafikiri wangethubutu kutoka public kuwatangazia mashabiki wao kuwa Kramo ni excluded kwenye kikosi?
Kuna swali unalikwepa na nakuuliza kwa mara ya tatu, kwa ufahamu wako Kramo amesajiliwa Simba katika mashindano ya CAF au hajasajiliwa?
 
Kuna swali unalikwepa na nakuuliza kwa mara ya tatu, kwa ufahamu wako Kramo amesajiliwa Simba katika mashindano ya CAF au hajasajiliwa?
Tatizo unapenda majibu mepesi.

Kwanza umeshaonesha wasiwasi na taarifa za Club, kitu ambacho ni ngumu sana mimi na wewe kuafikiana upi mbadala sahihi wa sources za kupata taarifa za wachezaji ikiwa kama tutaamua kupuuza vyanzo rasmi vya Club.

Nikikujibu kupitia references za Club unasema wanaongopa, maana yake kuna vyanzo vyako ambavyo unaviamini tofauti na Club.

Vyanzo ambavyo unaviamini nauhakika kwa asilimia kubwa ni hearsay ndio iliyotawala kama msingi miuu wa taarifa.

Ndio maana nimekuambia ili nikupatie majibu yatayofanya uridhike unashauri zitumike references gani kama sources??

Kwamba nimfate mchezaji mwenyewe nimuulize? Hell no!

Kwasababu sitaki maswala ya speculation na assumptions za kuunga unga itaonekana kama ni mjadala wa kijiwe cha kahawa ambapo hoja sio kipaumbele.

Na hoja ya msingi ambayo mpaka sasa umeshindwa kuitambua ni hii.

Wewe unadai kuwa Kramo hajui kama yupo kwenye kikosi.

Na wakati huo huo unakubali kuwa Simba imetoa tamko hadharani kuwa Kramo sio sehemu ya kikosi.

Sasa jiulize tu

Kama unafikiria Simba imemuondoa Kramo bila yeye kujua, ni ipi point ya Simba kwenda hadharani kutangaza kuwa Kramo hayupo kwenye kikosi cha Simba huku ikijua wazi kufanya hivyo kutaweza kufanya habari hizo zimfikie Kramo??
 
Tatizo unapenda majibu mepesi.

Nikikujibu kupitia references za Club unasema wanaongopa, maana yake kuna vyanzo vyako ambavyo unaviamini tofauti na Club.

Vyanzo ambavyo unaviamini nauhakika ni hearsay ndio msingi wake wa taarifa.

Ndio maana nimekuambia ili nikupatie majibu yatayofanya uridhike unashauri zitumike references gani kama sources??

Kwasababu sitaki maswala ya speculation na assumptions za kuunga unga itaonekana ni mjadala wa kijiwe cha kahawa sasa.

Na hoja ya msingi ambayo mpaka sasa umeshindwa kuitambua ni hii.

Wewe unadai kuwa Kramo hajui kama yupo kwenye kikosi.

Na wakati huo huo unakubali kuwa Simba imetoa tamko hadharani kuwa Kramo sio sehemu ya kikosi

Sasa jiulize tu

Kama unafikiria Simba imemuondoa Kramo bila yeye kujua, ni ipi point ya Simba kwenda hadharani kutangaza kuwa Kramo hayupo kwenye kikosi cha Simba huku ikijua wazi kufanya hivyo kutaweza kufanya habari hizo zimfikie Kramo??
Hahaha, hilo swali linahitaji jibu la sentensi moja kama siyo neno moja tu kama kweli una nia ya kulijibu. Mbona swali rahisi tu ila unafanya mambo yanakuwa mengi, nimekwambia "kwa ufahamu wako" kwa hiyo wewe tumia vyanzo vyovyote unavyoamini na hauhitaji kuniambia umetumia vyanzo gani kunijibu swali hilo. Na hapa naongelea mashindano ya CAF.

Nakuuliza kwa mara ya nne, KWA UFAHAMU WAKO, Kramo amesajiliwa na Simba katika mashindano ya CAF?
 
Hahaha, hilo swali linahitaji jibu la sentensi moja kama siyo neno moja tu kama kweli una nia ya kulijibu. Mbona swali rahisi tu ila unafanya mambo yanakuwa mengi, nimekwambia "kwa ufahamu wako" kwa hiyo wewe tumia vyanzo vyovyote unavyoamini na hauhitaji kuniambia umetumia vyanzo gani kunijibu swali hilo. Na hapa naongelea mashindano ya CAF.

Nakuuliza kwa mara ya nne, KWA UFAHAMU WAKO, Kramo amesajiliwa na Simba katika mashindano ya CAF?
Mkuu huyo zezeta hataweza kukujibu ilo swali, hebu achana nae maana ni miongoni mwa walamba miguu ya kina Tray Again, mambo ya kipuuzi yanafanyika klabuni lakini linasifia tu
 
Hahaha, hilo swali linahitaji jibu la sentensi moja tu kama kweli una nia ya kulijibu. Mbona swali rahisi tu ila unafanya mambo yanakuwa mengi, nimekwambia "kwa ufahamu wako" kwa hiyo wewe tumia vyanzo vyovyote unavyoamini na hauhitaji kuniambia umetumia vyanzo gani kunijibu swali hilo. Na hapa naongelea mashindano ya CAF.

Nakuuliza kwa mara ya nne, KWA UFAHAMU WAKO, Kramo amesajiliwa na Simba katika mashindano ya CAF?
Don't ask me about "ufahamu wangu"

Ufahamu wangu sio ishu.

Hapa hatujadili opinions tunajadili facts

Facts ni kwamba wachezaji wa kigeni hawapaswi kuzidi 12.

Simba imetoa taarifa ya kumuondoa Kramo kwenye kikosi. Lakini anaendelea kubaki kama mwajiri wa Simba kutokana na contract yake.

Tukiangalia idadi ya wachezaji wakigeni mpaka sasa ni 13, ambao 12 ni currently players ambao muda wowote wanacheza.

Na huyo mmoja ndio Kramo ambaye taarifa zimedai kuwa ameondolewa kwenye kikosi.

Na mchezaji kuondolewa jina lake kwenye orodha ya wachezaji wageni ili kupisha mtu mwingine, sina hakika sana kama ni jambo ambalo linaweza kufanywa na Club bila mchezaji muhusika kuhusishwa. Nadhani maswala ya kusaini lazima yafanyike ambapo ni lazima muhusika awepo

Kwa hiyo sioni option yeyote inayoweza kuonesha Kramo hajui kuwa hayupo kwenye kikosi
 
Mkuu huyo zezeta hataweza kukujibu ilo swali, hebu achana nae maana ni miongoni mwa walamba miguu ya kina Tray Again, mambo ya kipuuzi yanafanyika klabuni lakini linasifia tu
Unafanya biashara ya kuuza mayai?

Ni Try Again sio Tray Again.

Ulianza kujifunza kuchamba kabla ya kujifunza kuandika.
 
Don't ask me about "ufahamu wangu"

Ufahamu wangu sio ishu.

Hapa hatujadili opinions tunajadili facts

Facts ni kwamba wachezaji wa kigeni hawapaswi kuzidi 12.

Simba imetoa taarifa ya kumuondoa Kramo kwenye kikosi. Lakini anaendelea kubaki kama mwajiri wa Simba kutokana na contract yake.

Tukiangalia idadi ya wachezaji wakigeni mpaka sasa ni 13, ambao 12 ni currently players ambao muda wowote wanacheza.

Na huyo mmoja ndio Kramo ambaye taarifa zimedai kuwa ameondolewa kwenye kikosi.

Na mchezaji kuondolewa jina lake kwenye orodha ya wachezaji wageni ili kupisha mtu mwingine, sina hakika sana kama ni jambo ambalo linaweza kufanywa na Club bila mchezaji muhusika kuhusishwa. Nadhani maswala ya kusaini lazima yafanyike ambapo ni lazima muhusika awepo

Kwa hiyo sioni option yeyote inayoweza kuonesha Kramo hajui kuwa hayupo kwenye kikosi
Kwa hiyo facts hizo zinakwambia kaondolewa kwenye mashindano yote ya ndani pamoja na CAF au ni mashindano ya ndani pekee?
 
Kwa hiyo facts hizo zinakwambia kaondolewa kwenye mashindano yote ya ndani pamoja na CAF au ni mashindano ya ndani pekee?
Hayupo kote kwa maana hawezi kucheza mechi yeyote eidha ya ligi au CAF kwasababu sio sehemu ya kikosi.
 
Back
Top Bottom