changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Kwa maoni yangu naona kama Kramo kwa upande wa mashindano ya klabu bingwa anaweza kucheza, kwasababu zifuatazo:
Ukiangalia katika ligi kuu ni wachezaji wote 12 wameshatumika ambao ni
Ayoub
Cha Melone
Babacar
Saidoo
Chama
Onana
Jobe
Freddy
Inonga
Kanoute
Ngoma
Luis
Kama hao wachezaji 12 wametumika, ina maana mchezaji wa 13 ni Kramo ambaye hakusajiliwa kwaajili ya ligi kuu bali atakuwa yupo upande wa mashindano ya kimataifa. Hivyo ni sahihi kwake kucheza klabu bingwa na kwavile mfumo wa klabu bingwa hauna limitation za idadi za wachezaji wa kigeni maanake Kramo anaweza kuingizwa kwenye mfumo.
Ukiangalia katika ligi kuu ni wachezaji wote 12 wameshatumika ambao ni
Ayoub
Cha Melone
Babacar
Saidoo
Chama
Onana
Jobe
Freddy
Inonga
Kanoute
Ngoma
Luis
Kama hao wachezaji 12 wametumika, ina maana mchezaji wa 13 ni Kramo ambaye hakusajiliwa kwaajili ya ligi kuu bali atakuwa yupo upande wa mashindano ya kimataifa. Hivyo ni sahihi kwake kucheza klabu bingwa na kwavile mfumo wa klabu bingwa hauna limitation za idadi za wachezaji wa kigeni maanake Kramo anaweza kuingizwa kwenye mfumo.