Kuna uwezekano mkubwa sana Simba kushinda. Yanga ni mtihani

Kuna uwezekano mkubwa sana Simba kushinda. Yanga ni mtihani

Katika maandalizi yanayoendelea kwa Simba na Yanga kuelekea mechi zao dhidi ya Al Ahly na Mamelod inaonyesha Simba wana nafasi kubwa sana ya kushinda mechi yao tena kwa idadi kubwa ya magoli hapa nyumbani.
1. Inaonyesha wachezaji wao wamedhamiria sana safari hii kufika nusu fainali.
2. Wachezaji wa Simba wameonyesha wanajiamini kuifunga Al Ahly. Hili ni jambo mujimu sana katika mapambano
3. Viongozi wa Simba wana amini timu yao inaweza kuitoa Al Ahly
4. Mashabiki wa Simba safari hii wanaonekana kujiamini zaidi na kuipa nguvu timu yao. Hili ni jambo kubwa sana psychologically.
5. Al Ahly wanaonekana kuihofia Simba.

Kwa upande wa Yanga ni hali tofauti kwasababu kuanzia wachezaji , Mashabiki na viongozi wanaonekana kuwa na hofu kucheza na Mamelod. Tayari psychologically Mamelod sundown wameshashinda game zote mbili tena kwa idadi kubwa ya magoli. Yanga kuanzia mashabiki na viongozi wanaonekana wanyonge sana. Hata kwa wachezaji wa Yanga inaonyesha kuihofia sana Mamelod na ndio maana baadhi ya wachezaji wao wameona wajipe injury ili kuikwepa mechi na kukwepa lawama.

La mwisho ambalo limemaliza confidence kwa Yanga ni propaganda zilizokuwa zinatolewa na mashabiki wa Simba kuizungumzia game ya Yanga na kuiogopesha zaidi Yanga. Ikumbukwe mechi ya Simba Vs Al Ahly haizungumzwi sana kama ya Yanga Vs Mamelod. Na kwa hili hakika propaganda zimeshafanikiwa kuidhoofisha Yanga na ITAFUNGWA.

Yanga hawajifunzi ku counter propaganda, kipindi kile waliwekewa kibegi cha jezi ya Simba hadi mlima Kilimanjaro nao wakaenda na beat ya kibegi wakasahau mambo yao. Sasa leo hii wameingizwa kwenye beat za propaganda kwenye social media na tayari wamekuwa wanyonge na kuwapa confidence Mamelod.

Simba wapo vizuri sana kwenye psychological warfare
haya sasa; utabiri wako umekamilika nusu kuhusu ushindi wa Simba, ngoje tusubiri nusi nyingine hapo kesho wakati Yanga ikiingia dimbani.
 
Katika maandalizi yanayoendelea kwa Simba na Yanga kuelekea mechi zao dhidi ya Al Ahly na Mamelod inaonyesha Simba wana nafasi kubwa sana ya kushinda mechi yao tena kwa idadi kubwa ya magoli hapa nyumbani.
1. Inaonyesha wachezaji wao wamedhamiria sana safari hii kufika nusu fainali.
2. Wachezaji wa Simba wameonyesha wanajiamini kuifunga Al Ahly. Hili ni jambo mujimu sana katika mapambano
3. Viongozi wa Simba wana amini timu yao inaweza kuitoa Al Ahly
4. Mashabiki wa Simba safari hii wanaonekana kujiamini zaidi na kuipa nguvu timu yao. Hili ni jambo kubwa sana psychologically.
5. Al Ahly wanaonekana kuihofia Simba.

Kwa upande wa Yanga ni hali tofauti kwasababu kuanzia wachezaji , Mashabiki na viongozi wanaonekana kuwa na hofu kucheza na Mamelod. Tayari psychologically Mamelod sundown wameshashinda game zote mbili tena kwa idadi kubwa ya magoli. Yanga kuanzia mashabiki na viongozi wanaonekana wanyonge sana. Hata kwa wachezaji wa Yanga inaonyesha kuihofia sana Mamelod na ndio maana baadhi ya wachezaji wao wameona wajipe injury ili kuikwepa mechi na kukwepa lawama.

La mwisho ambalo limemaliza confidence kwa Yanga ni propaganda zilizokuwa zinatolewa na mashabiki wa Simba kuizungumzia game ya Yanga na kuiogopesha zaidi Yanga. Ikumbukwe mechi ya Simba Vs Al Ahly haizungumzwi sana kama ya Yanga Vs Mamelod. Na kwa hili hakika propaganda zimeshafanikiwa kuidhoofisha Yanga na ITAFUNGWA.

Yanga hawajifunzi ku counter propaganda, kipindi kile waliwekewa kibegi cha jezi ya Simba hadi mlima Kilimanjaro nao wakaenda na beat ya kibegi wakasahau mambo yao. Sasa leo hii wameingizwa kwenye beat za propaganda kwenye social media na tayari wamekuwa wanyonge na kuwapa confidence Mamelod.

Simba wapo vizuri sana kwenye psychological warfare
Kijana wa Rage umeukimbia Uzi, kimoja Cha kuku kimekulaza Chali🤣🤣🤣
 
"uwezekano mkubwa sanaaa"
20240329_231148.jpg
 
Katika maandalizi yanayoendelea kwa Simba na Yanga kuelekea mechi zao dhidi ya Al Ahly na Mamelod inaonyesha Simba wana nafasi kubwa sana ya kushinda mechi yao tena kwa idadi kubwa ya magoli hapa nyumbani.
1. Inaonyesha wachezaji wao wamedhamiria sana safari hii kufika nusu fainali.
2. Wachezaji wa Simba wameonyesha wanajiamini kuifunga Al Ahly. Hili ni jambo mujimu sana katika mapambano
3. Viongozi wa Simba wana amini timu yao inaweza kuitoa Al Ahly
4. Mashabiki wa Simba safari hii wanaonekana kujiamini zaidi na kuipa nguvu timu yao. Hili ni jambo kubwa sana psychologically.
5. Al Ahly wanaonekana kuihofia Simba.

Kwa upande wa Yanga ni hali tofauti kwasababu kuanzia wachezaji , Mashabiki na viongozi wanaonekana kuwa na hofu kucheza na Mamelod. Tayari psychologically Mamelod sundown wameshashinda game zote mbili tena kwa idadi kubwa ya magoli. Yanga kuanzia mashabiki na viongozi wanaonekana wanyonge sana. Hata kwa wachezaji wa Yanga inaonyesha kuihofia sana Mamelod na ndio maana baadhi ya wachezaji wao wameona wajipe injury ili kuikwepa mechi na kukwepa lawama.

La mwisho ambalo limemaliza confidence kwa Yanga ni propaganda zilizokuwa zinatolewa na mashabiki wa Simba kuizungumzia game ya Yanga na kuiogopesha zaidi Yanga. Ikumbukwe mechi ya Simba Vs Al Ahly haizungumzwi sana kama ya Yanga Vs Mamelod. Na kwa hili hakika propaganda zimeshafanikiwa kuidhoofisha Yanga na ITAFUNGWA.

Yanga hawajifunzi ku counter propaganda, kipindi kile waliwekewa kibegi cha jezi ya Simba hadi mlima Kilimanjaro nao wakaenda na beat ya kibegi wakasahau mambo yao. Sasa leo hii wameingizwa kwenye beat za propaganda kwenye social media na tayari wamekuwa wanyonge na kuwapa confidence Mamelod.

Simba wapo vizuri sana kwenye psychological warfare
Maelezo meeeengi mnaishia kuwekwa cha mbunge
 
Katika maandalizi yanayoendelea kwa Simba na Yanga kuelekea mechi zao dhidi ya Al Ahly na Mamelod inaonyesha Simba wana nafasi kubwa sana ya kushinda mechi yao tena kwa idadi kubwa ya magoli hapa nyumbani.
1. Inaonyesha wachezaji wao wamedhamiria sana safari hii kufika nusu fainali.
2. Wachezaji wa Simba wameonyesha wanajiamini kuifunga Al Ahly. Hili ni jambo mujimu sana katika mapambano
3. Viongozi wa Simba wana amini timu yao inaweza kuitoa Al Ahly
4. Mashabiki wa Simba safari hii wanaonekana kujiamini zaidi na kuipa nguvu timu yao. Hili ni jambo kubwa sana psychologically.
5. Al Ahly wanaonekana kuihofia Simba.

Kwa upande wa Yanga ni hali tofauti kwasababu kuanzia wachezaji , Mashabiki na viongozi wanaonekana kuwa na hofu kucheza na Mamelod. Tayari psychologically Mamelod sundown wameshashinda game zote mbili tena kwa idadi kubwa ya magoli. Yanga kuanzia mashabiki na viongozi wanaonekana wanyonge sana. Hata kwa wachezaji wa Yanga inaonyesha kuihofia sana Mamelod na ndio maana baadhi ya wachezaji wao wameona wajipe injury ili kuikwepa mechi na kukwepa lawama.

La mwisho ambalo limemaliza confidence kwa Yanga ni propaganda zilizokuwa zinatolewa na mashabiki wa Simba kuizungumzia game ya Yanga na kuiogopesha zaidi Yanga. Ikumbukwe mechi ya Simba Vs Al Ahly haizungumzwi sana kama ya Yanga Vs Mamelod. Na kwa hili hakika propaganda zimeshafanikiwa kuidhoofisha Yanga na ITAFUNGWA.

Yanga hawajifunzi ku counter propaganda, kipindi kile waliwekewa kibegi cha jezi ya Simba hadi mlima Kilimanjaro nao wakaenda na beat ya kibegi wakasahau mambo yao. Sasa leo hii wameingizwa kwenye beat za propaganda kwenye social media na tayari wamekuwa wanyonge na kuwapa confidence Mamelod.

Simba wapo vizuri sana kwenye psychological warfare
Wewe sio mungu
20240329_234323.jpg
 
Daaah!! Sawa bwana. Kumbuka hayo ni maoni tu jamaa yangu na SIKUKUTUKANA
Ni maoni ndiyo lakini ulitumia lugha za kejeli Kwa timu ya yanga na ukajifanya mungu mtu unayejua yote yajayo ndo maana uliongea kwa kusisitiza na nilipojaribu kukusahuri kwamba huo ni mpira unadunda uwe na heshima nao Bado ulishipaza shigo lako.
 
Sawa tuonane saa tano usiku tu leo.

Angalizo:
Tusiweke visingizio baada ya mechi. Mara refa , mara swaumu, mara hiki na kile.
Umekuwa mpole inawezekana hata daku hujala,haya andaa jezi yako ya Masandawana maana wiki zote mliikamia mechi ya Yanga mtazani yenu,mkasahau mechi yenu.

Ila sizani kama mtakuwa mmeshangaa kwani nyie ni wazee wa robo Mwakarobo, kilicho tokea leo mlikitegemea.
 
Kabla ya mechi,ulijipa uhakika wa asilimia mia.

NIKUAMBIE TU KUWA SIMBA ANASHINDA LEO NA MAMELOD ANASHINDA KESHO.

NAJUA INAKUUMA NDIO MAANA MAKASIRIKO NI MENGI.

Baada ya kunyooshwa umekuwa mpole,eti maoni........ tatizo lenu mmeanza kuupenda mpira bila kuujua mpira.

Daaah!! Sawa bwana. Kumbuka hayo ni maoni tu jamaa yangu na SIKUKUTUKANA
 
Back
Top Bottom