Kuna uwezekano mkubwa sana Simba kushinda. Yanga ni mtihani

Wacha wee.
 
Ni maoni ndiyo lakini ulitumia lugha za kejeli Kwa timu ya yanga na ukajifanya mungu mtu unayejua yote yajayo ndo maana uliongea kwa kusisitiza na nilipojaribu kukusahuri kwamba huo ni mpira unadunda uwe na heshima nao Bado ulishipaza shigo lako.
Ila unajua mimi ni mkubwa sana kwako nikikuachia laana huchomoki.

Niombe msamaha kabla Yesu hajafufuka kesho
 
Sisi: Andaeni Timu yenu
Wao: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yanga Kapangiwa Mamelodi
Sisi: Jamani andaeni Timu Yenu
Wao: ubuthu-botho
Sisi: Jamani angalieni
Wao:Yanga Wamepangiwa Mamelodi
Sisi: Andaeni Timu yenu
Wao: Sisi tunawamudu hawa tushacheza nao Sana.
Sisi: Haya Bhana.[emoji23][emoji23]
 
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣 hahahaha mafi matupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…