Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mzee ukisema ulikosea wala hutapungukiwa na kitu, just admit hili bango ni kama ule utabiri wako wa Simba vs Yanga, you won't lose a thing.
Kwanini unataka kunilazimisha ili kufurahisha genge lisilo na takwimu mitandaoni? Wote mko na simu zenu huko mliko hakuna hata mmoja mwenye data za covid Tanzania
Niletee current data KUWA TANZANIA HAKUNA COVID nitaomba radhi bila kupepesa macho


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka nitakupitia.. tukapige kura pamoja.. JJJJJJJ PPPPPPP MMMMMMM anza kuiota.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAPA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?




Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini unataka kunilazimisha ili kufurahisha genge lisilo na takwimu mitandaoni? Wote mko na simu zenu huko mliko hakuna hata mmoja mwenye data za covid Tanzania
Niletee current data KUWA TANZANIA HAKUNA COVID nitaomba radhi bila kupepesa macho


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu na wewe waletee current data kuwa kuwa kuna covid Tanzania.
 
Kwanini unataka kunilazimisha ili kufurahisha genge lisilo na takwimu mitandaoni? Wote mko na simu zenu huko mliko hakuna hata mmoja mwenye data za covid Tanzania
Niletee current data KUWA TANZANIA HAKUNA COVID nitaomba radhi bila kupepesa macho


Sent using Jamii Forums mobile app
Maji ya shingo.
Tuletee current Data KUWA TANZANIA KUNA COVID.
 
Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla

Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha kueneza virus wa corona.. Kusafiri, na kuhama sehemu moja kwenda nyingine.. Mizunguko ya siku nzima tunakutana na watu anuwai.

Toka kila sehemu.. Jioni tunarudi majumbani kwetu je tunakuwa tumesalimika kiasi gani?

Kukipambazuka tunaelekea makazini kwetu inawezekana kabisa wewe uko salama na umezingatia taratibu zote za kinga lakini je vipi jirani yako? Jana alipita wapi? Alikutana na nani? Je yuko salama? Je kazingatia tahadhari zote za kinga?

Muda unakimbia kwa kasi sana... Jiandae sasa, weka akiba ya chakula ndani, maji na kila chenye umuhimu... Tunaweza tusimalize wiki kabla hatujatangaziwa habari mbaya ya TOTAL LOCK DOWN... Hujachelewa anza sasa

Jr[emoji769]
Dah! Utabiri mwingine bhana!!!!!
 
Hiyo sio kazi yangu wala lengo la hii mada

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kuwaambia wengine waweke data kuwa hakuna covid 19 Tz ni kazi yao?! Lengo la mada yako ilikuwa kututahadharisha na ujio wa lockdown,kinyuma na maelezo ya wizara ya afya Tz, yaani wewe ulikuwa unajua hali ambayo inatukabili kinyume na wizara inavyodai. Ila muda umetueleza wizara walikuwa sahihi na wewe ulikuwa hujui usemacho. Waliofufua mada hii wanakuomba tu ukubali wakati unaandika hii mada ulifikiri unajua kumbe hujui na hujui kama hujui. Hamna ubaya kwenye hilo kwani wengi wetu tunachemkaga mambo mbalimbali kwenye maisha na jamii kwa jumla.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom