johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli Polepole ni Nyerere wa nyakati hizi.
Mungu wa mbinguni ambariki sana!
Mungu wa mbinguni ambariki sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo yeye alikuwa anapiga hesabu za Tsh 1.5trl? Akijikuta CAG!Ukishirikiana nao automatically umekubaliana nao. Polepole hawezi kuwa sehemu ya mafisadi.
Wakati wa Nyerere hakukuwa na vieitee we dogo.Swali la nyongeza:
Je Nyerere aliwahi kujisifia kutembea na Vieitee??
Polepole ni mjamaa mnafiki. Anatetea ujamaa huku akiishi kibepari. Sikuwahi ona bashiru na polepole awakuwahi hata siku moja kupinga au kukataa matumizi ya v8 walizopewa. Thus tunasema ujamaa una unafiki ndani yake.Swali la nyongeza:
Je Nyerere aliwahi kujisifia kutembea na Vieitee??
Tunaagalia hoja zenye maslahi kwa nchi, huwezi kumlinganisha pole pole na Makamba au Nape. Ingawa Nape na Makamba wanao muda wa kutubu na kujirudi ila kwa akili zao finyu hawawezi ona.polepole ni mchumia tumbo tuu kama wachumia tumbo wengine Polepole halisi tulishamzika siku nyingi... hapa saiv hana upepo anataka kuludi kwenye uwanaharakati
Kama ni kuokotwa hakuna ambaye hakuokotwa, hata Kikwete wako kuna mahali aliokotwa pia, hivyo hiyo siyo hoja, ni lazima uwe na pa kuanzia na ili uokotwe ni lazima uokoteke pia.huyu hana tofauti na bashite, aliyesaidiwa na rizmoko na jk kupewa cheo, aliokotwa tu, lakini mwishoni akajifanya mzalendo sana kiburi kilipokuwa juu, akamsingizia rizmoko kuwa anauza madawa. hata kama alikuwa anauza, usaliti kwa mtu aliyekusaidia wa namna hii ni kwa mtu ambaye hana maana na haaminiki, anaweza kumsaliti hata mzazi wake wa kumzaa.
ila ninachowapendea watz ni kuwa, wana ugonjwa wa kusahau mno, polepole yule wa bunge la katiba, aliyebadilika akawa nyoka wa kijani kwenye uenezi na uchaguzi, leo anabadilika anataka kuwa kondoo anaonewa huruma na atapata wafuasi. wameshasahau na yeye akiamua atawashangaza tena kwa kituko kingine.
Kuna wengine wameokotwa zaidi ya wengine mzee, na pia mtu asiyekumbuka alikotoka sio wa kuaminiwa, anaweza kukusaliti hata wewe unayekuja kumwamini mara ya pili. Peware. Kama alitusaliti kwa vile alivyotoka bunge la katiba na kuendesha mijadala mingi, akatusaliti kabisa alipokuwa mwenezi, sasaivi ameona hana mwelekeo na hatashinda ubunge na hana future CCM anakuja kwako na wewe unampokea, utakuwa umekosa wa kumwamini basi.Kama ni kuokotwa hakuna ambaye hakuokotwa, hata Kikwete kuna mahali alipkotwa pia, hivyo hiyo siyo hoja, ni lazima uwe na pa kuanzia na ili uokotwe ni lazima uokoteke pia.
Ukishatoka kwenye mfumo unaludi kuwa na akiliTunaagalia hoja zenye maslahi kwa nchi, huwezi kumlinganisha pole pole na Makamba au Nape. Ingawa Nape na Makamba wanao muda wa kutubu na kujirudi ila kwa akili zao finyu hawawezi ona.
Mmeshasahau kigeugeu alichotufanyia tangu kwenye bunge la katiba, akaja kwenye uenezi na mnayajua aliyoyafanya na bashiru, na sasa anataka kumkwamisha mama mnashangilia, na mtamwamini. watz mna ugonjwa wa kusahau na aliyewaloga kafa.Kiukweli Polepole ni Nyerere wa nyakati hizi.
Mungu wa mbinguni ambariki sana!
watu tunasahau sanaaMmeshasahau kigeugeu alichotufanyia tangu kwenye bunge la katiba, akaja kwenye uenezi na mnayajua aliyoyafanya na bashiru, na sasa anataka kumkwamisha mama mnashangilia, na mtamwamini. watz mna ugonjwa wa kusahau na aliyewaloga kafa.
Mtoa mada naona unazeeka vibaya,
Acha kumfananisha baba wa taifa na vitu vya kipumbavu[emoji20]
Siyo hivyo mkuu. Unajua Mwl Nyerere aliwahi sema katiba yetu ikipata rais mzalendo ni nzuri sana (Dkt Magufuli aliitendea haki).Ukishatoka kwenye mfumo unaludi kuwa na akili