Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?

 
Wanaomuchukia Polepole ni_
CHADEMA ambao walipigwa kitu kizito kichwani enzi za Polepole wakaambulia Mbunge mmoja.

Wale wanaokula mezani kwa Hangaya na wavia teuzi.
Wananchi wa kawaida
wanamukubari Sana.
 
Mimi pia nashindwa kuwaelewa watu wanaomponda HP. Tatizo lake ni nini hasa? Nadhani watu wanamuona kama version ya JPM, Nadhani walokuwa na hasira na JPM wanaona wamalize hasira zao kwa HP. Ila huyu anaweza wasumbua iwapo watataka kushughulika nae, ata wademsha kweli maana akili kiasi fulani na HANA CHA KUPOTEZA. Niseme tu ukweli amejiposition vizuri na ana simphasize na wafuasi wa JPM.
 
Shetani alisha kaa nanyi tangu bustani ya eden,
Hamuwezi kutambua kitu kizuli mpaka kitakapo ondoka na mkajikuta kwenye maumivu ndo mnakumbuka uzuri mlio ukataa.
Mungu anasema njooni kwangu huku ndiko palipo salama, nyie mnabisha eti ooh huko hakuana starehe mara wewe mungu ni mukoloni unatubana saana,
Mungu anarudia nyie huko mtaungua moto na nyie mnamwambi aah wapi unatuzuga.
Mkishaenda na kukuta moto mnaanza kilio ooh tusamehe mara nini lakini muda sio rafiki tena.
Sasa ndo nyie.
Mnamuona polepole mpuuzi lakini hajaomba kula pesa ya wananchi kifisadi anacho taka rasilimali za wanachi zitumike vizuri na msukumo wa wananchi kujitawala kiuchumi na haki kwa kila mtu.

Bali mnataka wahuni wawabane na kuwaambia unanijua mimi nani😳😳😳
 


Mwalimu Nyerere angekuwa kama huyu chakubanga ambaye hata Corona anafikiri ni siasa kama watu wa vijiweni😂😂😂
 
Mkuu hii generation ni ya kizazi pompompo wazee wa oyaa oyaa kushoto twende kulia twende wala isikushangaze sana [emoji16]
Ni jamii inayotazama nani kaongea na sio nini kimeongelewa.
Mfano hoja nyepesi tu viongozi wawe wazalendo wamtii Mungu wajali maslahi ya watu wasifanye uhuni kwenye raslimali za nchi mbona ni simple content tu na ipo direct TATIZO IMEZUNGUMZWA NA NANI? Polepole aaaah basi haifai hiyo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaijua V8 wewe V8,ndo tunazotembelea
 
Unaijua V8 wewe V8,ndo tunazotembelea
 
wahuni tu ndo hawamwelewi

Low iq
 
JamiiForums fanya kupin hii comment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…