WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kwa waizi kama wewe na wajinga ni raha sana kutawala.Safi sana, na ndio maana nchi yetu imetulia sana. Kwanza sisi wananchi kwanini tuwafuatilie viongozi ili iweje kwa mfano, hata kama wanaiba kwani kaniibia mimi mwananchi.
Nchi raha sana hii kutawali.