Kuna viashiria vikubwa vya uvunjifu wa amani siku zijazo…

Safi sana, na ndio maana nchi yetu imetulia sana. Kwanza sisi wananchi kwanini tuwafuatilie viongozi ili iweje kwa mfano, hata kama wanaiba kwani kaniibia mimi mwananchi.

Nchi raha sana hii kutawali.
Kwa waizi kama wewe na wajinga ni raha sana kutawala.
 
Hata wakati wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,hakuwachekea wavunjifu wa amani.Aliwaonyesha chamoto,hata wenzake aliodai nao uhuru,hakuwachekea,cha moto walikiona
umesema vyema wakati wa Nyerere leo ni nyakati nyingine kabisaa na kuna mambo huendana na nyakati, nyakati ikifika imefika! lazima yatokee
 
Pole masikini, unaweza kutazama usione au ukatazama na kuona, muulize Joshua na Kareb kwenye Agano la kale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…