Me mbona sioni chochote au kwa kuwa nashinda bar kutwa nzima...naona raia wanakula konyagi,k vant,smart,safari,kilimanjaro,Heineken, savana,caste lite na serengeti...na mara moja moja wanapopata hela wanachoma chama na kucheza mziki...naona wanasikitika tu hawana hela...ila mambo ya sijui mapinduzi au kuandamana ni stories tu kusogesha siku maisha yasonge