Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla hamjaoa vijana zungukeni dunia. Mke wako anaweza kuwa Bahamas halafu uko busy unasumbuana na wadada wa kijiji cha Tanzania.Hi,
Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.
Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.
All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..
Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.
Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
Tunaomba tukupe nafasi ya uenezi kwenye hii kampeni 😂😂😂waliooa hawasex na wanawake tofauti?
unaweza usioe au usiolewe na ukawa umetulia na mpenzi mmoja maisha yanaenda
ukumbuke sex sio ndoa..
alafu mimi sio kataa ndoa 😀
KapukulileMimi ni kapuku bado ila ninachojua ni kwamba sio lazima kuoa/kuolewa.
Kukàa bila kuoa au kuolewa NI Laana.Hi,
Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.
Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.
All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..
Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.
Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
Wapo wanaume wanafurahia ndoa zao na hawana vipato vya uhakika mfano walinzi na walimu ndoa zao zinadumu sanaNdoa bila pesa ni jehanamu katika dunia kila colour utaiona
Kwani kuoa lazima? Naona uzi kama unawanyanyapaa watu ambao wametumia haki zao za kikatiba za kutooa mpaka pale watakapojisikia wako tayari.Hi,
Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.
Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.
All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..
Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.
Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
Hizi ni fikra za kuwanyanyapaa watu waliomua mambo yao wenyewe ambayo wewe hayakuhusu.Kukàa bila kuoa au kuolewa NI Laana.
Suala sio kupenda hapa.Hizi ni fikra za kuwanyanyapaa watu waliomua mambo yao wenyewe ambayo wewe hayakuhusu.
Wewe unayependa kuoa/ kuolewa utajisikiaje mtu akikwambia kuwa kuoa/kuolewa ni laana?
Ila Mimi nimeona wengi wenye pesa ndio wanafurahia maisha Yao na wake zao hao unaosema sijawahi kuwaona kiufupi usijipe moyobpesa ndio amanWapo wanaume wanafurahia ndoa zao na hawana vipato vya uhakika mfano walinzi na walimu ndoa zao zinadumu sana
Kiranga ameelezea swala la Uhuru wa watu kuamua jinsi wanavyotaka kuishi bila kuingiliwa.MB.o.o na ku.ma Zina kazi yake usimfanye Mungu mjinga.
Kuoa sio sifa. Waache wale kwanza pisi kali. Zama hizi kuoa mapema sio dili. Stress za ndoa mapema za nini. Saivi miaka ideal ya kuoa ni kuanzia 33 mpaka 40.Hi,
Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.
Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.
All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..
Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.
Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali