Kuna vijana wengi wa kiume in their late 20's wenye mwonekano smart, kazi nzuri, kipato, gari, lakini hawajaoa

Kuna vijana wengi wa kiume in their late 20's wenye mwonekano smart, kazi nzuri, kipato, gari, lakini hawajaoa

Hi,

Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.

Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.

All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..

Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.

Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
Huuu ubeberu
 
Kipindi kizuri ambacho unatakiwa uoe mwanamke ni wakati ambao hauna pesa unajitafuta ni jambo jema kabisa pesa inaweza isiwepo lakini amani na furaha mkaipata we na mkeo
Yaani pesa isiwepo halafu kuwe na amani na furaha? Kwangu mimi HAIWEZEKANI.. Nasisitiza HAIWEZEKANI. Mimi huwa nikiwa sina hela mfukoni, Mpesa au kwenye bank account huwa nahisi joints za mikono na miguu hazifanyi kazi na tumbo linajaa gesi. Sasa hii hali ikinikuta niko na mke ananitegemea si ndo balaa zaidi? Ili kupunguza umaskini ninashauri watu waoe wakiwa wako vizuri kiuchumi na wote wawili muwe mna vyanzo vya mapato sio mke mama wa nyumbani. MASKINI WASIONEWE HURUMA KWENYE MAPENZI
 
Kiranga ameelezea swala la Uhuru wa watu kuamua jinsi wanavyotaka kuishi bila kuingiliwa.

Hivyo viungo kazi zake zinaweza kufanyika bila hata KUOA au KUOLEWA.
Hawa raia hawa ndiyo maana hata viongozi wa kisiasa wanawaburuza.

Hawajui uhuru ni nini, hawajui haki ya mtu kujiamulia mambo yake mwenyewe ni nini.

Wanafikiri kama ng'ombe ng'ombe tu waliozoea kupelekwa pelekwa kwa mafungu mafungu tu.

Hawajui individuality ni nini.
 
Hi,

Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.

Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.

All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..

Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.

Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
Hao ulio watag ndio watu uliokuwa unawazungumza, chamsingi usi generalized mambo
 
Nyie ni wa kikiristo full stop.
Waislamu mahari Juzuu 1 & Msahafu 1 unachomwa ubani binti anaenda

Wakristu kishika uchumba, mahari, makolokolo mengine mkaja wa Bibi, Koti la Babu, fungu la mashangazi na wajomba, majembe, ng'ombe 10 walionona hapo bado sherehe zao za kumuaga binti wao wanataka ulipie wewe na mahari usiache hata 100 umalizie yote

Acha vijana wagome kuoa
 
Back
Top Bottom