blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Alafu watoto waje kumuita Babu sio!??Late 20's ndoa ni kwa wanawake
Mwanaume anatakiwa aoe kwenye late 40's au early 50's
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu watoto waje kumuita Babu sio!??Late 20's ndoa ni kwa wanawake
Mwanaume anatakiwa aoe kwenye late 40's au early 50's
Sasa wee uliona wapi mapenzi bila ngono jamani? Wee ngono muhimuShida vijana wa sikuizi waongo waongo.. wameweka ngono Kama daraja
Kuna ukweli fulani hapo.Vijana wanagonga malaya vibaya mno. Akitoka kazi anaingia Telegram anaita Mwajuma kitako anamtumia Bolt/uber anakuja geto anasuuza anamlipa anaondoka. Huduma za mke anazipata Telegram. Akifikisha 38-40's ndio ataanza kuona umuhimu wa mke na familia
Tatizo hamueleweki😂😂Sasa wee uliona wapi mapenzi bila ngono jamani? Wee ngono muhimu
Huuu ubeberuHi,
Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.
Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.
All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..
Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.
Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
Samahani Dada una bonge la tako, vipi umeolewa tayari?waliooa hawasex na wanawake tofauti?
unaweza usioe au usiolewe na ukawa umetulia na mpenzi mmoja maisha yanaenda
ukumbuke sex sio ndoa..
alafu mimi sio kataa ndoa 😀
Yaani pesa isiwepo halafu kuwe na amani na furaha? Kwangu mimi HAIWEZEKANI.. Nasisitiza HAIWEZEKANI. Mimi huwa nikiwa sina hela mfukoni, Mpesa au kwenye bank account huwa nahisi joints za mikono na miguu hazifanyi kazi na tumbo linajaa gesi. Sasa hii hali ikinikuta niko na mke ananitegemea si ndo balaa zaidi? Ili kupunguza umaskini ninashauri watu waoe wakiwa wako vizuri kiuchumi na wote wawili muwe mna vyanzo vya mapato sio mke mama wa nyumbani. MASKINI WASIONEWE HURUMA KWENYE MAPENZIKipindi kizuri ambacho unatakiwa uoe mwanamke ni wakati ambao hauna pesa unajitafuta ni jambo jema kabisa pesa inaweza isiwepo lakini amani na furaha mkaipata we na mkeo
Huyo Mungu uliyemtaja huwezi kuthibitisha yupo.S
Suala sio kupenda hapa.
Hebu nenda chumbani kavue nguo zako zote halafu Anza kuangalia kazi za viungo VYAKO vya mwili.
MB.o.o na ku.ma Zina kazi yake usimfanye Mungu mjinga.
Hawa raia hawa ndiyo maana hata viongozi wa kisiasa wanawaburuza.Kiranga ameelezea swala la Uhuru wa watu kuamua jinsi wanavyotaka kuishi bila kuingiliwa.
Hivyo viungo kazi zake zinaweza kufanyika bila hata KUOA au KUOLEWA.
focus kijanaSamahani Dada una bonge la tako, vipi umeolewa tayari?
Nyie ni wa kikiristo full stop.Kikristo. Sio kikiristo, sisi sio wakiristo ni wakristo!! Waislam wote mnashida hii. Yesu ndio kila kitu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nioe aje anipangie maisha wakat nyap zinaoza mtaan
Hao ulio watag ndio watu uliokuwa unawazungumza, chamsingi usi generalized mamboHi,
Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.
Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.
All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..
Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.
Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
Ndio focus na kibunda vipi ushaelewa au unajitafuta watu tulete mkebe tuweke Mali ndani?focus kijana
Utamuelewea huko huko ndani ya ndoa olewaTatizo hamueleweki😂😂
Waislamu mahari Juzuu 1 & Msahafu 1 unachomwa ubani binti anaendaNyie ni wa kikiristo full stop.