Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Waacheni vijana msiwalazimishe kwenda kuteseka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshtuka kwamba ndoa ni utapeli.Hi,
Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.
Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.
All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..
Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.
Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
Jisemee wewe peke yako na ndugu zako wa kikiristo .Wanaume role model wetu kwa sasa ni Yesu.
ili wakuingize kingi 🤣🤣🤣🤣Ukiwa vizuri hata wanawake waliopinda waakaa mkao wa kuolewolewa n wewe.
Akijua unapenda ndini atajifanya mlokole.
Akijua unapenda miziki anajifanya msanii.
Akijua unapenda simba, atanunua na jezi inadvance ili akae kisimbasimba.
Yeah 😉🤗🤗unasubiri mwanaume sahihi sio,
atakuja wakati wa bwana sio🤣
Shida vijana wa sikuizi waongo waongo.. wameweka ngono Kama darajaila lee kwa jinsi ulivyo huwezi kosa mume
ni wewe tu
Kikristo. Sio kikiristo, sisi sio wakiristo ni wakristo!! Waislam wote mnashida hii. Yesu ndio kila kitu.Jisemee wewe peke yako na ndugu zako wa kikiristo .
hadi kanisani wameisha?Shida vijana wa sikuizi waongo waongo.. wameweka ngono Kama daraja
Wapo wengi Sana.. Shida ni kwamba mnapishana tu nyakati,, unakutana na mtu Yuko serious anataka ndoa inabidi uachane nae tu cause ukizingatia Kuna baadhi ya malengo hujatimiza na anajua.. Asa hapa ukijichanganya unaweza kujikuta umetumika na unaachwa anaenda kuchukuliwa ambaye Yuko tayari kwa ndoa kwa wakati huo.. Atakudanganya Yuko tayari kusubiri while not 😂😂😂hadi kanisani wameisha?
duh, mambo yamebadilika
mada ngumu sana hiiWapo wengi Sana.. Shida ni kwamba mnapishana tu nyakati,, unakutana na mtu Yuko serious anataka ndoa inabidi uachane nae tu cause ukizingatia Kuna baadhi ya malengo hujatimiza na anajua.. Asa hapa ukijichanganya unaweza kujikuta umetumika na unaachwa anaenda kuchukuliwa ambaye Yuko tayari kwa ndoa kwa wakati huo.. Atakudanganya Yuko tayari kusubiri while not 😂😂😂
Sio ngumu Wala.. Ila tu inahitaji ukomavu wa akili kung'amua mambo, hasa sisi wadada maana ni wepesi Sana kudanganyikamada ngumu sana hii
ngumu sana