Kuna viongozi sijawasikia muda katika Vyombo vya Habari tofauti na kipindi cha nyuma. Wewe umemkumbuka nani?

Kuna viongozi sijawasikia muda katika Vyombo vya Habari tofauti na kipindi cha nyuma. Wewe umemkumbuka nani?

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Awamu ya 5 kuna viongozi waliwika sana hasa kwenye Vyombo vya Habari na mitandao mbali mbali ya kijamii ambao haipiti siku bila kuwaona au kuwasikia ila kwa sasa imekuwa tofauti wapo kimya mpaka kuona kama awapo katika awamu hii ya 6.

Wewe unamkumbuka nani? Mimi Mhe. Prof Palamaganda Kabudi mzee sijamsikia muda
 
Msomi wa Madudu Pr. School Kilosa
 
Professor Paramagamba kabudi, napenda alivyokuwa anaongea kwa kujiamini tena kwa msisitizo,siku akigombea u raisi nitakwenda kupiga kura!!

Dr mpango nimemis alivyokuwa waziri wa fedha nilikuwa napenda speech zake,siku hizi yupo yupo tu!

Ummy mwalimu mahiri na mchapakazi enzi zake akiwa waziri wa afya kapiga kazi sana,halafu alikuwa na namna flani hivi ya kuongea kwa kujiamini!

Professor Ndalichako,sijui kapotelea wapi huyu bi mkubwa,in short napenda watu wanaojiamini ambao hawana kona kona nyiiingi kwenye maneno na mambo yao.

Big up kwenu niliowaorodhesha hapo juu.
 
Ahahahaa 🤓 kila zama na kitabu chake?.
 
Nampenda sana ndalichako hana mambo mengi makikikiki ya ajabu, yeye anapiga kazi tu
 
Awamu ya 5 kuna viongozi waliwika sana has a kwenye vyombo vya habari na mitandao mbali mbali ya kijamii ambao haipiti siku bila kuwaona au kuwasikia ila kwa sasa imekuwa tofauti wapo kimya mpk kuona kama awapo katika awamu hii ya 6 .wewe unamkumhuka nani mimi mh Prof paramaganda kabudi mzee sijamsikia muda
Usizonjee
 
Dr Abbas, alifikia hatua ya kumfuatilia na kujibu kila anachoongea jk (lengo kujipendekeza kwa wendazake sababu nae alikuwa mtu wa namna hiyo i.e kumponda j.k) mpaka jk akafikia hatua ya kushangaa nini kimempata bwana mdogo!! Sasa yupo dorooooo
 
Back
Top Bottom