Tetesi: Kuna viongozi wanaolipwa na serikali ya Misri ili tusitumie maji ya ziwa Victoria

mh huogopi sandarusi?
Hivi tumefika hapa kweli?
 
Ukweli utabaki pale pale kuwa Misri can't enjoy the benefits of having access to the sea, while blocking a country like Tanzania from profiting from the fact that it sits at the source of the Nile
 
Walewale mliokunywa uji wa mgonjwa
 
Bac wote wa kupongezwa sio cooz lowasa yupo upnzn aszungumzwe kwa mazuri ni ujnga wa zaid ya knyumbu mhm tujuzane kama kwel watu wanalipwa na Egypt kama wamaajliwa hawahujum nch sio hoja hata kdogo hapa tunataka kujua ishu ya lugum iliishia WAP na wale waliochukua hela za kutengengeneza share hewa za jesh LA police b63 alizsema babaetu mwen yewe akiongea na maafsa WA police sio udaku!
 
Mbona unamungunya maneno ?Waziri wa mambo ya nchi za nje alietoka alipinga kutumia maji ,je alitaka kuwa raisi wa Tanzania au wa Misri?
Njaa na uroho wa kujilimbikizia mali tu sijui hawajui ipo siku watakufa nakuicha dunia[emoji57]
 
Kwa hiyo?
 
Ndiyo maana mleta uzi kakueleza kuwa kuna viongozi wa siasa nchini mwetu wapo kwenye payroll la Misri kupiga hela, ili kuhakikisha kwamba wazawa hatufurukuti "kuyanywa" maji ya ziwa hilo.
Kila mtakapojaribu kufurukuta kubuni miradi mbalimbali ya umwagiliaji ama kuyavuta kwa masafa marefu yafaidishe waTz walio wengi, wao hudhoofisha kwa kutumia madaraka ama ushauri wa blahblah, ili mradi jambo hilo lisifanyike.
Haiwezekani tukabweteka kulialia na visingizio lukuki vya mvua kutonyesha, wakati tumezungukwa na maji ya maziwa makuu na bahari ya hindi.
Wayahudi na Wafilisti wanafanya kilimo kikubwa cha umwagiliaji kwa kuyapoza maji chumvi ya bahari ya mediterenian, kulikoni sisi?
Nataka kuyasadiki maneno ya mtoa uzi kulingana na ukimya wa wanasiasa juu ya utumiaji wa rasilimali maji yatuzungukayo kuiepusha nchi na baa la njaa. Kwanini kimya?
 

Mkuu Domokaya:
Sasa umeanza kufunguka. ....Kudos....
Je ni vyema ufe njaa na familia yako kutokana na ukame wakati mto unao tiririsha maji unapita mbele ya nyumba yako kwa sababu ya hao hao walio tuletea vitu vya kusadikika.
Sisi hatukuwepo na wala hatuku husishwa kwenye huo unao itwa mkataba.
Je huo mkataba ulihusisha mabadiliko ya tabia nchi.
Mkataba si msahafu, ni wakati wa kukusanya fikra/nguvu za pamoja ili tujenge hoja timilifu.
 
Kaeleza vizuri hizo agreement za kitumwa za mwaka '29 zilivyo na mbadala wa kuzipangua.
Sasa wewe inaonekana ni wale anaotuhabarisha kuwa ni wafaidika mahsusi ama ni masalia wao, kwaajili ya kukwamisha ama kuvuruga "mpango mzima".
Haiwezekani ukakuta msibani watu wanalia, wewe ukaanza kucheka! Lazima wakutilie mashaka juu ya afya ya akili zako.
 
Wewe ni mtanzania au wamisri
 

Mwiba hutolewa pale ulipoingilia! Hayo ndio maneno ya kusema, hoja ijengwe taratibu zifuatwe mkataba urekebishwe na si kusambaza uongo na kuwasingizia watu mambo ya kizushi. Mkataba umeingiwa mwaka 1929 wazandiki wanataka kutuaminisha waliosababisha ni waziri wa mambo ya nje wa awamuiliyopita na maafisa wa serikali. Huu ni uongo, tena uongo wa kiinga, wa kipumbavu na wa kilofa
 

Kuna muda huwa najiuliza kama kuna watu wengine hufikiri hata kidogo. Hiyo Geneva convention inayotaka tukatae mikataba iliyoingiwa na wakoloni ime classify ni mikataba ya aina gani? Kama huo utaifa tu ni mikataba ya kikoloni sasa tunaweza tukakataa nini? Tupo commonwealth halafu tukatae mikataba iliyoingiwa na waingereza. Aaaaa, ngoja nifanye mengine, maana kama huwezi kufikiri halafu ukataka uweze kufikiri kwa kusema tu 'mimi najua kufikiri' bila kujifunza kufikiri kamwe hutoweza kufikiri. Mungu atutetee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…