Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Umechelewa kufahamu hilo, it has been this way kwa muda mrefuKuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Lakini back in the days walikuwa for the country, kwa sasa wako for the party