MONEY IS NOT EVERYTHING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 424
- 765
Ulijuaje kama huyu ni usalama wa taifa?Tupe sababu sita zilizokusaidia ukajiridhisha kweli huyu ni usalama wa taifa bila kumtaja jina.usiturishe matango pori
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachero wa mchongo unapajua Chuo kikuu Cha UVCCM - Ihemi au unataka kuleta ujuwaji wa Kwenye Mbege?Kwa heshima ya muasisi wa taia hili hahawahi kutamka kauli kama hizo, hajawahi kukaa na watu wenye mizaha.
Unapolitaja jina nyerere usiliweke kwenye kundi au kulihusisha na wapumbavu
Je wanataka kuiondoa CCM madarakani ??! 😳😱Hata TAL ni usalama wa Taifa
Ambayo nayo ni sehemu ya Taifa 🙌👍👏Hata mimi ni usalama wa familia yangu
That’s it !Umechelewa kufahamu hilo, it has been this way kwa muda mrefu
Lakini back in the days walikuwa for the country, kwa sasa wako for the party
Ila kwa recruitment ya siku hizi hawa jamaa wameidhalilisha sana hiyo Idara,nakumbuka enzi za Mwalimu wazee wetu walikuwa huko lakini ni mwiko kabisa kutaja hilo jina lakini siku hizi kuna utoto mwingi sana wengi wanajitambulisha wenyewe,kidogo tu wametoa vibastola vyao na kuchimba mikwala. Nakumbuka kaka yangu alikwenda chuoni kule ufukweni lakini sikujua aliniambia amepata kazi Zambia hivyo anaacha kazi aliyokuwa anafanya nilikuja kujua baadae sana aliporudi baada ya miezi sita,hii ni kuonyesha kuwa kulikuwa na usiri mkubwa sana kuwa mtumishi wa Idara. Miaka ile hata Mkurugenzi mkuu wa Idara alikuwa hatambulishwi hadharani.Mkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
P.
Ndiwoooo!Hata hii jf ni uswalaamaaa wa twaifaaa
Tofautisha kati ya uzalendo na usalama wa taifaKuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifat
Tukae kwa kutulia tu ! Na maombi kwa sana tu !Kwa hiyo sisi tufanya nini
Ova
Ni kweli mleta maada aondoe jina. Lakini pia kiusalama hivi siyo vitu vya kujadili.Mkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
I can just imagine, kama sisi tuliajaliwa jicho la tatu, ma Tiss tunawajua kwa kuwaona tuu sura, je tungewataja ma Tiss wote tunaowajua, tungebaki salama?
Huwezi kutoboa boti mnayasafiria. Ikizama mnakufa wote!, au kulilata tawi la mti uliolalia!.
Kwa taarifa yako ma TISS ni wengi kuliko unavyodhania hata Sultani naye ni Tiss, hata Mkuu nanilii pia ni Tiss
Ila sio kila Tiss ni Tiss
Kuna Tiss wa aina 3.
NB. Mimi nina damu ya TISS kwenye veins zangu kwa wazazi wangu wote wawili, na tumezaliwa 8, haiwezekani sisi wote nane tukawamo!. Kunidhania mimi ni mmoja wao rukhsa na angalia hapa ninavyoisifia ofisi yangu TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
- Staff hawa ni waajiriwa, wafanyakazi wa Tiss, ni watumishi wa mishahara
- Viongozi wote, wateuliwa wote na watendaji wote, hawa ni ma Tiss kwa mujibu wa positions zao, wakiwemo mabenki yote yana mtu wa kitengo cha FIU hawa ni ma TISS, taarifa ya FIU lazima ipite kwa bank manager hivyo mameneja wote wa financial institutions zote ni ma Tiss.
- Informers, hawa ni watu wa kawaida wanakuwa recruited kuripoti Tiss na kulipwa posho tuu, huku wakiendelea na shughuli zao.
P.
Hili ndilo la msingiMfumo umejichimbia Hadi usipodhania.
Kuwa macho Chunga mdomo.
Kila mtanzania ni usalama wa taifaKuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Pascal Mayalla naomba unifundishe jinsi ya ku-meditate.Mkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
I can just imagine, kama sisi tuliajaliwa jicho la tatu, ma Tiss tunawajua kwa kuwaona tuu sura, je tungewataja ma Tiss wote tunaowajua, tungebaki salama?
Huwezi kutoboa boti mnayasafiria. Ikizama mnakufa wote!, au kulilata tawi la mti uliolalia!.
Kwa taarifa yako ma TISS ni wengi kuliko unavyodhania hata Sultani naye ni Tiss, hata Mkuu nanilii pia ni Tiss
Ila sio kila Tiss ni Tiss
Kuna Tiss wa aina 3.
NB. Mimi nina damu ya TISS kwenye veins zangu kwa wazazi wangu wote wawili, na tumezaliwa 8, haiwezekani sisi wote nane tukawamo!. Kunidhania mimi ni mmoja wao rukhsa na angalia hapa ninavyoisifia ofisi yangu TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
- Staff hawa ni waajiriwa, wafanyakazi wa Tiss, ni watumishi wa mishahara
- Viongozi wote, wateuliwa wote na watendaji wote, hawa ni ma Tiss kwa mujibu wa positions zao, wakiwemo mabenki yote yana mtu wa kitengo cha FIU hawa ni ma TISS, taarifa ya FIU lazima ipite kwa bank manager hivyo mameneja wote wa financial institutions zote ni ma Tiss.
- Informers, hawa ni watu wa kawaida wanakuwa recruited kuripoti Tiss na kulipwa posho tuu, huku wakiendelea na shughuli zao.
P.
Usalama wa taifa au usalama wa ccm na mafisadiKuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Just imagine, tuandamane pengine?🤣Kwa hiyo sisi tufanya nini
Ova