Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Umepatia kwa asilimia 80% NI USALAMA WA WAHUNI MAFISADI WA CCM 100%...wewe kama siyo muhuni na fisadi wa ccm au upo ccm ila unachukia wahuni na mafisadi basi hao usalama wa wahuni na mafisadi wanakuja kukumaliza kwa namna mbalimbali.
Na hawakuzagi mitaji, ni kifo tu
 
Umechelewa kufahamu hilo, it has been this way kwa muda mrefu

Lakini back in the days walikuwa for the country, kwa sasa wako for the party
Wengine masnitch tu wengine hisia za watu. Mimi wakati ninasoma chuo watu walikuwa wanaamini mimi ni usalama wa taifa tu kisa nilikuwa muda mwingi nimesafiri nakuja tu kufanya test na UE na siku ambapo kuna presentation. Sijui nani alianzisha hizo story na watu wakaziamini. Kumbe mimi nilikuwa lazima niwe home kutokana na majanga fulani.
 
Mkuu Mundu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.

I can just imagine, kama sisi tuliajaliwa jicho la tatu, ma Tiss tunawajua kwa kuwaona tuu sura, je tungewataja ma Tiss wote tunaowajua, tungebaki salama?
Huwezi kutoboa boti mnayasafiria. Ikizama mnakufa wote!, au kulikata tawi la mti uliolalia!.

Kwa taarifa yako ma TISS ni wengi kuliko unavyodhania hata Sultani naye ni Tiss, hata Mkuu nanilii pia ni Tiss
Ila sio kila Tiss ni Tiss

Kuna Tiss wa aina 3.
  1. Staff hawa ni waajiriwa, wafanyakazi wa Tiss, ni watumishi wa mishahara, hawa staff wako wa aina mbili, kuna open staff, hawa wanajulikana kama DGIS na maofisa wote wa TISS wanaojulikana kama RSO, ma DSO etc, hawa kuwataja hakuna tatizo, ila kuna ma SS, secret service, hawa hawatakiwi kujulikana, na ikitokea ukawajua, huruhusiwi kuwataja!.
  2. Viongozi wote, wateuliwa wote na watendaji wote, hawa ni ma Tiss kwa mujibu wa positions zao, wakiwemo mabenki yote yana mtu wa kitengo cha FIU hawa ni ma TISS, taarifa ya FIU lazima ipite kwa bank manager hivyo mameneja wote wa financial institutions zote ni ma Tiss.
  3. Informers, hawa ni watu wa kawaida wanakuwa recruited kuripoti Tiss na kulipwa posho tuu, huku wakiendelea na shughuli zao.
NB. Mimi nina damu ya TISS kwenye veins zangu kwa wazazi wangu wote wawili, na tumezaliwa 8, haiwezekani sisi wote nane tukawamo!. Kunidhania mimi ni mmoja wao rukhsa na angalia hapa ninavyoisifia ofisi yangu TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Hapa namtishia bosi wangu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe

Na kunapotokea matishio ya kiusalama, badala ya kuripoti ofisini, mimi naripoti jf Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

P.
mkuu hawa tiss, kazi gani kubwa wamefanya ambazo tunaweza jivunia
 
Mkuu Mundu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.

I can just imagine, kama sisi tuliajaliwa jicho la tatu, ma Tiss tunawajua kwa kuwaona tuu sura, je tungewataja ma Tiss wote tunaowajua, tungebaki salama?
Huwezi kutoboa boti mnayasafiria. Ikizama mnakufa wote!, au kulikata tawi la mti uliolalia!.

Kwa taarifa yako ma TISS ni wengi kuliko unavyodhania hata Sultani naye ni Tiss, hata Mkuu nanilii pia ni Tiss
Ila sio kila Tiss ni Tiss

Kuna Tiss wa aina 3.
  1. Staff hawa ni waajiriwa, wafanyakazi wa Tiss, ni watumishi wa mishahara, hawa staff wako wa aina mbili, kuna open staff, hawa wanajulikana kama DGIS na maofisa wote wa TISS wanaojulikana kama RSO, ma DSO etc, hawa kuwataja hakuna tatizo, ila kuna ma SS, secret service, hawa hawatakiwi kujulikana, na ikitokea ukawajua, huruhusiwi kuwataja!.
  2. Viongozi wote, wateuliwa wote na watendaji wote, hawa ni ma Tiss kwa mujibu wa positions zao, wakiwemo mabenki yote yana mtu wa kitengo cha FIU hawa ni ma TISS, taarifa ya FIU lazima ipite kwa bank manager hivyo mameneja wote wa financial institutions zote ni ma Tiss.
  3. Informers, hawa ni watu wa kawaida wanakuwa recruited kuripoti Tiss na kulipwa posho tuu, huku wakiendelea na shughuli zao.
NB. Mimi nina damu ya TISS kwenye veins zangu kwa wazazi wangu wote wawili, na tumezaliwa 8, haiwezekani sisi wote nane tukawamo!. Kunidhania mimi ni mmoja wao rukhsa na angalia hapa ninavyoisifia ofisi yangu TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Hapa namtishia bosi wangu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe

Na kunapotokea matishio ya kiusalama, badala ya kuripoti ofisini, mimi naripoti jf Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

P.
Sawa twisti
 
Wengine masnitch tu wengine hisia za watu. Mimi wakati ninasoma chuo watu walikuwa wanaamini mimi ni usalama wa taifa tu kisa nilikuwa muda mwingi nimesafiri nakuja tu kufanya test na EU na siku ambapo kuna presentation. Sijui nani alianzisha hizo story na watu wakaziamini. Kumbe mimi nilikuwa lazima niwe home kutokana na majanga fulani.
Back 2000s hawa jamaa walikuwa na uhitaji sana, walikuwa wakipita vyuoni kufanya recruitment. I was one of them, i reject them knowing hiyo kazi ina complication kama zote, i wanted something else

But yes kuna hizo fununu pia, si unajua wabongo wape heading tu story watamalizia
 
mkuu hawa tiss, kazi gani kubwa wamefanya ambazo tunaweza jivunia
Kwa vile kazi zao ni siri, sisi tusio Tiss hatuwezi kujua ila tunawapima kwa matokeo, ukiona tangu tumepata uhuru, serikali haijawahi kupinduliwa, CCM haijawahi kushindwa, kiungozi aliyeuwawa kwa risasi ni Karume na Dr. Kleruu tuu, then Tiss wanafanya kazi nzuri sana.
P
 
Back 2000s hawa jamaa walikuwa na uhitaji sana, walikuwa wakipita vyuoni kufanya recruitment. I was one of them, i reject them knowing hiyo kazi ina complication kama zote, i wanted something else

But yes kuna hizo fununu pia, si unajua wabongo wape heading tu story watamalizia
Siku hizi nadhani sifa ya kuwafanyia kazi uwe mfia chama si mfia nchi.
 
Back
Top Bottom