Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Watu wakisikia Usalama wa Taifa wanadhani ni dude flani lenye watu shupavu, geniuses, patriotic etc.
Ilipaswa iwe hivo, huwezi kuwa nakakikundi ka watu wanajiita uslma hata hawajui lolote kwenye mambo ya kupekenyua hata tech za kilimo, silaha, wao kutwa kutengeneza drama na wehu wenzao wa chadomo
 
I
Kila mtanzania ni usalama wa taifa

Hata wewe ni usalama wa taifa

JF yote ni usalama na ndio maana kila post huku inafanyiwa kazi Kwa namna yake

Hata waropokaji wote ni usalama because they help the system to operate
Iko vile bandugu kwa wenye Akili !
Lakini kwa wale wengine wanaokula makombo ya mafisadi huwa wanapenda kuwadhuru wale waropokaji wanaoropoka Ukweli Daima 😳🙌

Au nasema uongo ndugu zanguni ??!
Ndio maana kila siku huwa tunafanya maombi na kusema kwamba -:
Washindwe na walegezwe na maCardiovascular na ma Prostate Cancerous ya kila Aina wale wanaowachukia raia wema wa Inji hii 🙏🙏🙏 !
 
Wameratibu wizi wa kura na kuchakachua matokeo ili CCM ipate ushindi wa kishindo 99%. Kwa sasa wamekuwa usalama wa viongozi na CCM iendelee kubaki madarakani.
Kama CCM kubaki madarakani ni moja ya security stability ya this county, hivyo kuhakikisha lazima CCM ishinde inakuwa ni jukumu lao. Hili niliwahi kuliandikia Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano? yule Mpemba alikuwa kila siku anashinda lakini hatangazwi.
P
 
Ilipaswa iwe hivo, huwezi kuwa nakakikundi ka watu wanajiita uslma hata hawajui lolote kwenye mambo ya kupekenyua hata tech za kilimo, silaha, wao kutwa kutengeneza drama na wehu wenzao wa chadomo
Mkuu we acha hii nchi ina ajabu sana. Kuna siku niko pale COSTECH nikashangaa kuna mfanyakazi kaajiriwa tena kitengo kina deal na masuala ya kumbukumbu, hajui jinsi ya kudownload document toka kwenye email na kuisave kwenye flash.
Nikasema hapa kama tunategemea kupata maajabu labda tusubiri miaka mia.
 
K

Kama ni kweli iko hivyo itakuwa so sad 😞 !
Lakini sidhani kuwa hivyo. !
We huoni hadi wanagombea wake club. Sometimes matukio yao watu hadi wanayashtukia. Kutembea na magari toleo jipya yana plate namba za zamani. Raha yao ni pale wawe na weledi wa kufanya kazi kwenye shadow. Yani kazi zinafanyika na hakuna anayeshtuka kama zimefanyika.
Mfano CIA walivyomobilize watu kuandamana marekani wakidai waondoe jeshi vietnam, kumbe ni mpango ili wasiondoke kwa aibu waliondoe kwa madai kuwa raia wameandamana wanataka jeshi lirudi home kumbe maandamano wameyachochea wao.
 
Usalama wa Taifa wapo wengi sana na si ajabu. Wengine ni bodaboda, wakulima, walimu, wafanyakazi wa serikali, mapadre, wachungaji, mashekhe etc. Kazi yao wengi mnao wajua ni kupeleka tu taarifa kuhusu mambo mbali mbali mengine ya maana na mengine yanakuwa hayana hata maana. Kuna watu kwenye idara za serikali huwa wanaombwa kufanya kazi hiyo ya kukusanya taarifa na kuziwasilisha lakini hakuna lolote special kuanzia mishahara, mafunzo, elimu etc.
Watu wakisikia Usalama wa Taifa wanadhani ni dude flani lenye watu shupavu, geniuses, patriotic etc. Ni hao hao walimu wenzenu, wakulima wenzenu, bodaboda wa kawaida, Watumishi wa Mungu etc. Ndiyo maana hata hapa jukwani unaweza kuta kila member anawafahamu walau watu watano wa Usalama wa Taifa. Ila ifahamike kuwa wapo Usalama wa Taifa original ambao wana mafunzo na wameajiriwa rasmi kwa ajili ya kazi hiyo tofauti na hawa ambao mleta mada kawalenga ambao kimsingi ndio wengi.
Iko vile !
 
We huoni hadi wanagombea wake club. Sometimes matukio yao watu hadi wanayashtukia. Kutembea na magari toleo jipya yana plate namba za zamani. Raha yao ni pale wawe na weledi wa kufanya kazi kwenye shadow. Yani kazi zinafanyika na hakuna anayeshtuka kama zimefanyika.
Mfano CIA walivyomobilize watu kuandamana marekani wakidai waondoe jeshi vietnam, kumbe ni mpango ili wasiondoke kwa aibu waliondoe kwa madai kuwa raia wameandamana wanataka jeshi lirudi home kumbe maandamano wameyachochea wao.
Unazani bwana mwashambwa anaweza kuwa na akili kama hiyo..? 😃
 
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Zamani nilikuwa nikisikia mtu ni usalama wa taifa nilikuwa namuona wa maana kweli. Lakini baada ya kujua ukweli kuwa nao ni walamba miguu ya viongozi, naona hata kinyaa nikisikia mtu akitaja hao usalama wa taifa.
 
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Nchi ipo mikononi mwa Wanajeshi
Tunatawaliwa kijeshi
 
Kwa vile kazi zao ni siri, sisi tusio Tiss hatuwezi kujua ila tunawapima kwa matokeo, ukiona tangu tumepata uhuru, serikali haijawahi kupinduliwa, CCM haijawahi kushindwa, kiungozi aliyeuwawa kwa risasi ni Karume na Dr. Kleruu tuu, then Tiss wanafanya kazi nzuri sana.
P
Hadi ccm kutokushindwa nayo ni mafanikio yankujivuania mkuu?
 
Back
Top Bottom