Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote ni usalama wa ccm kama weweHata Wewe ni usalama wa Taifa
Kuwa Mzalendo 😀
Sema usalama wa maccnKuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Wengine ni akina nani?Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Ila mara nyingine unaweza kutoa taarifa halafu................Wengine ni akina nani?
Kwangu , watanzania wote ni Usalama wa Taifa, sema kuna wachache wanalipwa mshahara na sisi hatulipwi lakini tukiona uhalifu ama mtu anataka kutenda uhalifu tunatoa taarifa Polisi, kwahiyo sote ni usalama.
Ingekuwa enzi zetu.......kijiweni kwetu ningesema....mama tupimie pombe nyingine.....Usalama wa Taifa wapo wengi sana na si ajabu. Wengine ni bodaboda, wakulima, walimu, wafanyakazi wa serikali, mapadre, wachungaji, mashekhe etc. Kazi yao wengi mnao wajua ni kupeleka tu taarifa kuhusu mambo mbali mbali mengine ya maana na mengine yanakuwa hayana hata maana. Kuna watu kwenye idara za serikali huwa wanaombwa kufanya kazi hiyo ya kukusanya taarifa na kuziwasilisha lakini hakuna lolote special kuanzia mishahara, mafunzo, elimu etc.
Watu wakisikia Usalama wa Taifa wanadhani ni dude flani lenye watu shupavu, geniuses, patriotic etc. Ni hao hao walimu wenzenu, wakulima wenzenu, bodaboda wa kawaida, Watumishi wa Mungu etc. Ndiyo maana hata hapa jukwani unaweza kuta kila member anawafahamu walau watu watano wa Usalama wa Taifa. Ila ifahamike kuwa wapo Usalama wa Taifa original ambao wana mafunzo na wameajiriwa rasmi kwa ajili ya kazi hiyo tofauti na hawa ambao mleta mada kawalenga ambao kimsingi ndio wengi.
Duh!Hata TAL ni usalama wa Taifa
Kila raia au mwananchi anayejielewa lazima alinde usalama wa taifa lake iwe directly au indirectly.Hata Wewe ni usalama wa Taifa
Kuwa Mzalendo 😀
Believe it or not.Hata TAL ni usalama wa Taifa
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Ndio wasiojulikana hao.Nyerere alisema UVCCM ni usalama wa Taifa 😃😃😃
Mi simo mkuu.Ameen
Isije ikawa na wewe ni miongoni mwao 🙂
Tiss wetu mentally wapo kutulinda na ndicho wanachojitahidi(usalama nje na ndani)Hivi mbona mnautukuza sana huo usalama wa Taifa?
Wangekuwa wa maana kwa rasilimali hizi tusingekuwa nà raia waonalala nyumba moja na mbuzi.
TISS is overrated, nothing more.
Kada ya TISS wengine wanafanya kazi za hatari, wakiwa undercover, kumtaja jina ni ku blow his cover hivyo kuna hatarisha maisha yake.Asante kwa elimu. Nilikuwa sijui hili. Je kina.madhara gani? Naomba elimu zaidi..
Ni kama unavyoambiwa huyu mpelelezi na ukamtaja?
Njaa itakuua na hawakuoniMkuu Mundu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
I can just imagine, kama sisi tuliajaliwa jicho la tatu, ma Tiss tunawajua kwa kuwaona tuu sura, je tungewataja ma Tiss wote tunaowajua, tungebaki salama?
Huwezi kutoboa boti mnayasafiria. Ikizama mnakufa wote!, au kulikata tawi la mti uliolalia!.
Kwa taarifa yako ma TISS ni wengi kuliko unavyodhania hata Sultani naye ni Tiss, hata Mkuu nanilii pia ni Tiss
Ila sio kila Tiss ni Tiss
Kuna Tiss wa aina 3.
NB. Mimi nina damu ya TISS kwenye veins zangu kwa wazazi wangu wote wawili, na tumezaliwa 8, haiwezekani sisi wote nane tukawamo!. Kunidhania mimi ni mmoja wao rukhsa na angalia hapa ninavyoisifia ofisi yangu TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
- Staff hawa ni waajiriwa, wafanyakazi wa Tiss, ni watumishi wa mishahara, hawa staff wako wa aina mbili, kuna open staff, hawa wanajulikana kama DGIS na maofisa wote wa TISS wanaojulikana kama RSO, ma DSO etc, hawa kuwataja hakuna tatizo, ila kuna ma SS, secret service, hawa hawatakiwi kujulikana, na ikitokea ukawajua, huruhusiwi kuwataja!.
- Viongozi wote, wateuliwa wote na watendaji wote, hawa ni ma Tiss kwa mujibu wa positions zao, wakiwemo mabenki yote yana mtu wa kitengo cha FIU hawa ni ma TISS, taarifa ya FIU lazima ipite kwa bank manager hivyo mameneja wote wa financial institutions zote ni ma Tiss.
- Informers, hawa ni watu wa kawaida wanakuwa recruited kuripoti Tiss na kulipwa posho tuu, huku wakiendelea na shughuli zao.
Hapa namtishia bosi wangu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
Na kunapotokea matishio ya kiusalama, badala ya kuripoti ofisini, mimi naripoti jf Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?
P.
Kumbe🥱Kada ya TISS wengine wanafanya kazi za hatari, wakiwa undercover, kumtaja jina ni ku blow his cover hivyo kuna hatarisha maisha yake.
P