Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Umechelewa kufahamu hilo, it has been this way kwa muda mrefuKuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa π― ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Unawataja tuu...kwani wao nani.....mbona huko kwenye mabaa wanajitaja wenyewe..... mafunzo yao miaka hii yamekuwa FAKE.....Na ndio maana ya JF na sababu ya kutumia fake username, especially kwa hawa wasiokua na msaada wowote kwa Umma, tuwajue tu sisi ndio tunaowalipa kwa kodi zetu
Wapi alisema? When? And how?Nyerere alisema UVCCM ni usalama wa Taifa πππ
Kwa ajili ya matumbo yao na service ya viuno vyaoUmechelewa kufahamu hilo, it has been this way kwa muda mrefu
Lakini back in the days walikuwa for the country, kwa sasa wako for the party
Atajua mwenyeweKuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa π― ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa
Ukishakuwa publick figure tayari uko exposed. Including your background.Mkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
P.
Kweli alivhofanyΓ sio sawa kabisa....kosa pia tena jinai .....nadhani haelewi anachokifanya....na pia sio sifa....kabisaMkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
P.
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa π― ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
hata wewe ni mmojawao!Mkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
P.
Ihemi Kwa Chifu Mkwawa πWapi alisema? When? And how?
Usalama wa taifa wakati wa nyerere ni tofauti na huu unaoitwa usalama wataifa wakati wa RAIA FEKI KUSHIKA HATAMUNyerere alisema UVCCM ni usalama wa Taifa πππ
I don't think they are, labda waite waangamizi wa taifa, utakuwaje usalama kama unateka na kuwapoteza watuKuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa π― ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
MBOWEKuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa π― ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Kwa heshima ya muasisi wa taia hili hahawahi kutamka kauli kama hizo, hajawahi kukaa na watu wenye mizaha.Ihemi Kwa Chifu Mkwawa π
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa
Mbona ole sabaya alikuwa anatumia utambulisho wao kudhulumu bia huku mtaani?Mkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
P.