Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

""....hivyo mameneja wote wa financial institutions zote ni ma Tiss.""
Naomba uthibitisho wa hili ...

Pascal Mayalla

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Uthibitisho ni sheria ya Ugaidi iliyopelekea tracking down illicity trade na money laundering, the report authority wa FIU ni bank managers, na sio hao tuu, maneneja wote wa makampuni ya mawasiliano ni ma Tiss, ndio wanaotoa access ya tapping na tracking kupitia ip ya simu yako hivyo kukujua uko wapi!. Wahudumu wote wa ndege zote za kimataifa ni vi Tiss, wakiona abiria hali chochote, hanywi chochote, on a long trip, wanakuripoti, mkitua tuu, unadakwa!. Balozi zote duniani zinawaweka wa Tiss wao the best undercover kama wanabalozi. Wale waendesha mahojiano ya viza ni ma tiss.

Steven Maselle alipomdakuwa jasusi fulani, nikashauri Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
P
 
Kumbe Sultani Mbowe nae ni TISS level ya informer? kwahiyo anatuuza Makamanda kwa ajili ya posho? Mangi ni Mangi tu kwenye shilingi.
Usitaje taje majina ya watu, viongozi wakuu wote wa vyama tishio wanakuwa recruited!.
Lissu hana kashfa ndio maana walipanga kumuua wajumbe twendeni na Lissu.
You cant tell!, hata mtu wao akigundulika amejulikana, they do away fasta na kumalizana nae, au uki defects, wanakuondoa!, kwani walimfanya nini aliyekuwa DGIS Imran Kombe!.
P
 
You cant tell!, hata mtu wao akigundulika amejulikana, they do away fasta na kumalizana nae, au uki defects, wanakuondoa!, kwani walimfanya nini aliyekuwa DGIS Imran Kombe!.
P
Ukimrecruit Lissu ni kujitafutia aibu tu, Lissu ni Mtanzania muwazi sana, hawezi kukaa na siri lazima atapanda jukwaani atugawie na sisi Watanzania wenzake.

Na kwaweli usalama ni wa wananchi sio usalama wa Vigogo wachache wa ccm.

Lissu akishinda uraisi tutamshauri aifanyie Reforms hii idara isiwe idara ya kulinda vigogo wa chama fulani.

tundu-lissu-the-presidential-candidate-of-tanzanias-main-opposition-chadema-party-speaks-to.jpg
 
Ukimrecruit Lissu ni kujitafutia aibu tu, Lissu ni Mtanzania muwazi sana hawezi kukaa na siri lazima atapanda jukwaani atugawie na sisi Watanzania.

Na kwaweli usalama ni wa wananchi sio usalama wa Vigogo wachache wa ccm.

Lissu akishinda uraisi tutamshauri aifanyie Reforms hii idara isiwe idara ya kulinda vigogo wa chama fulani.
Eti Lissu akishinda URAIS …amka usije ukajikojolea
 
Usitaje taje majina ya watu, viongozi wakuu wote wa vyama tishio wanakuwa recruited!.

You cant tell!, hata mtu wao akigundulika amejulikana, they do away fasta na kumalizana nae, au uki defects, wanakuondoa!, kwani walimfanya nini aliyekuwa DGIS Imran Kombe!.
P
Eti hata huyu mzee wa kwenye ile SACCOS ya familia aliyekuwa eliminated majuzi hapa baada ya kudabuliwa kutoka kwenye basi mchana kweupe. Mtu wa system tena ex mjeda aliyekula kila aina ya viapo halafu kageuka na kuwa sellout. Hell no!🤐
 
Mkuu Mundu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.

I can just imagine, kama sisi tuliajaliwa jicho la tatu, ma Tiss tunawajua kwa kuwaona tuu sura, je tungewataja ma Tiss wote tunaowajua, tungebaki salama?
Huwezi kutoboa boti mnayasafiria. Ikizama mnakufa wote!, au kulikata tawi la mti uliolalia!.

Kwa taarifa yako ma TISS ni wengi kuliko unavyodhania hata Sultani naye ni Tiss, hata Mkuu nanilii pia ni Tiss
Ila sio kila Tiss ni Tiss

Kuna Tiss wa aina 3.
  1. Staff hawa ni waajiriwa, wafanyakazi wa Tiss, ni watumishi wa mishahara, hawa staff wako wa aina mbili, kuna open staff, hawa wanajulikana kama DGIS na maofisa wote wa TISS wanaojulikana kama RSO, ma DSO etc, hawa kuwataja hakuna tatizo, ila kuna ma SS, secret service, hawa hawatakiwi kujulikana, na ikitokea ukawajua, huruhusiwi kuwataja!.
  2. Viongozi wote, wateuliwa wote na watendaji wote, hawa ni ma Tiss kwa mujibu wa positions zao, wakiwemo mabenki yote yana mtu wa kitengo cha FIU hawa ni ma TISS, taarifa ya FIU lazima ipite kwa bank manager hivyo mameneja wote wa financial institutions zote ni ma Tiss.
  3. Informers, hawa ni watu wa kawaida wanakuwa recruited kuripoti Tiss na kulipwa posho tuu, huku wakiendelea na shughuli zao.
NB. Mimi nina damu ya TISS kwenye veins zangu kwa wazazi wangu wote wawili, na tumezaliwa 8, haiwezekani sisi wote nane tukawamo!. Kunidhania mimi ni mmoja wao rukhsa na angalia hapa ninavyoisifia ofisi yangu TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Hapa namtishia bosi wangu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe

Na kunapotokea matishio ya kiusalama, badala ya kuripoti ofisini, mimi naripoti jf Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

P.
 
Ukimrecruit Lissu ni kujitafutia aibu tu, Lissu ni Mtanzania muwazi sana, hawezi kukaa na siri lazima atapanda jukwaani atugawie na sisi Watanzania.
Hawa m recruit kila mtu, wanamchunguza kwanza if is recruitable, ila wana mmonitor kila posible security threat, hata kama sio Lissu, dereva wake, mlinzi wake, msaidizi wake, mfanyakazi wake wa ndani, hata kimada wake, ndio maana niliwahi kusema hata dereva wa Lissu sio mchezo, watu walikuwa wawili kwenye gari, akalaza kiti, akamlaza Lissu kifudifiludi, zikamiminwa risasi 38, 16 zikampata Lissu, yeye haikumpata hata moja!, baada ya kumlaza Lissu akafungua mlango na kuingia chini ya gari!. Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?
P
 
Mkuu Mundu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.

I can just imagine, kama sisi tuliajaliwa jicho la tatu, ma Tiss tunawajua kwa kuwaona tuu sura, je tungewataja ma Tiss wote tunaowajua, tungebaki salama?
Huwezi kutoboa boti mnayasafiria. Ikizama mnakufa wote!, au kulikata tawi la mti uliolalia!.

Kwa taarifa yako ma TISS ni wengi kuliko unavyodhania hata Sultani naye ni Tiss, hata Mkuu nanilii pia ni Tiss
Ila sio kila Tiss ni Tiss

Kuna Tiss wa aina 3.
  1. Staff hawa ni waajiriwa, wafanyakazi wa Tiss, ni watumishi wa mishahara, hawa staff wako wa aina mbili, kuna open staff, hawa wanajulikana kama DGIS na maofisa wote wa TISS wanaojulikana kama RSO, ma DSO etc, hawa kuwataja hakuna tatizo, ila kuna ma SS, secret service, hawa hawatakiwi kujulikana, na ikitokea ukawajua, huruhusiwi kuwataja!.
  2. Viongozi wote, wateuliwa wote na watendaji wote, hawa ni ma Tiss kwa mujibu wa positions zao, wakiwemo mabenki yote yana mtu wa kitengo cha FIU hawa ni ma TISS, taarifa ya FIU lazima ipite kwa bank manager hivyo mameneja wote wa financial institutions zote ni ma Tiss.
  3. Informers, hawa ni watu wa kawaida wanakuwa recruited kuripoti Tiss na kulipwa posho tuu, huku wakiendelea na shughuli zao.
NB. Mimi nina damu ya TISS kwenye veins zangu kwa wazazi wangu wote wawili, na tumezaliwa 8, haiwezekani sisi wote nane tukawamo!. Kunidhania mimi ni mmoja wao rukhsa na angalia hapa ninavyoisifia ofisi yangu TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Hapa namtishia bosi wangu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe

Na kunapotokea matishio ya kiusalama, badala ya kuripoti ofisini, mimi naripoti jf Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

P.
Acha kumhukumu P!

Ameuliza swali.
 
walikuwa wawili kwenye gari, akalaza kiti, akamlaza Lissu kifudifiludi, zikamiminwa risasi 38, 16 zikampata Lissu, yeye haikumpata hata moja!, baada ya kumlaza Lissu akafungua mlango na kuingia chini ya gari!.
Dereva alikutana na wauwaji Vilaza, mimi naamini wanarecruit zaidi kutoka UVCCM, kwasababu hebu angalia Sativa alivyowaumbua au Sativa naye alikuwa ni mtu wa kitengo?
 
Back
Top Bottom