onlyalvira
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 1,499
- 3,113
Mm nilifundishwa na wazazi ukienda kwa mtu bila ya ahadi na ukakuta wanakula usile maana katika bajeti hujuwepo kabisa na ukiangalia ni sawa,mpaka leo hili nimeliweka kichwani.Hapana mkuu kutokana na hali halisi siku hizi hatutumii hilo neno, ni karibu chakula tugawane hivyo hivyo mapungufu tusameheane basi, hapo sasa wageni wanajiongeza wenyewe.
Tukienda kwao siku ya pili unaulizwa unarudi lini, nilishawai ulizwa na mke wa baba yangu mdogo, nilikuja kufanya interview, nilipita nikaitwa kazini Ila sikuja kufanya, wakati mmewe kakaa kwetu miaka na miaka.Watu wa Dar acheni uchoyo kwanini msipike chakula kingi?..ndo mana mnakufa kwa stress mana moyoni mmejaza kila aina za uchoyo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Watu wa dar wanajifanya wanajua sana bajeti..ila wakija mkoani wanataka wale kila kitu..na vingine wanataka waondoke navyo kwenda navyo dsm.Tukienda kwao siku ya pili unaulizwa unarudi lini, nilishawai ulizwa na mke wa baba yangu mdogo, nilikuja kufanya interview, nilipita nikaitwa kazini Ila sikuja kufanya, wakati mmewe kakaa kwetu miaka na miaka.
Mkuu mbona unatumia IQ kubwa sana kujibu Hoja!!!!!!../My dear Sky Eclat
Ndio maana siku zote wazazi huwa wanashauriwa kuwa wanakula meza moja na watoto wao ili wawafundishe TABLE MANNERS ikiwamo kuwafikiria wengine na hata namna ya kutafuna chakula.
Inawezekana hao wageni ndio wale waliopelekwa boarding wakiwa bado wadogo sana (darasa la tatu) wakakosa muda wa kufundishwa tabia njema na wazazi/walezi wao.
Sio lazima mle ugenini.Ilinitokea moja niko ugenini na mgen nilienda nae mimi wote tulikua wagen mgen alijaza wali mama mwenye nyumba akamkata jicho na mdomo ukakunjwa mimi ndio niliona jicho jamaa alikua anachekelea tu zamu yangu nikachota kias kidogo ila nikaona jamaa langu lilikosea unaenda kwa mtu bila miad alafu unskuta msosi usiku saa tatu hujui ratiba zao unajaza juuu mpala sahan inakua full hata ujiongezi
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ndio makosa madogo madogo tunayopuuzia baadae yanakuja geuka tabia mbaya na suguWakati wa likizo huu unapokea watoto wamekuja likizo. Asubuhi umezoea kuwakaangia watoto wako mayai manne lakini wenyewe umewafundisha kuwa ni lazima kila mtu apate.
Wanakuja watoto wageni wanamaliza mayai yote wanao wanabaki wanaangalia. Kama wangefundishwa wote wangegawana na wote wangepata hata kipande kidogo.
Huo sasa uroho.Kuna mtu kisa kakaribishwa kaambiwa jiskie uko nyumbani. Kakaanga mayai tisa toka kwny tray. [emoji23]
Naona umeamua kutusema sisi akina mabula na maduhu
Sasa wawepo , sasa unabajeti na familia yako, mgeni unakuja tena bila taarifa kwahiyo ulichokuta mnagawana na wenyeji, sasa uwiiiii mgeni anakuwa mwenyeji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu....na unawekaje samaki 8 exactly na idad ya wageni buana....weka misamaki yakutosha kama una wagen usibanie
Mi bi mkubwa wangu akiandaa meza aisee..mnaweza kula had mkatambaa
Hawajiongezagi mkuu anacheka cheka tu, Shem hata dagaa bamia mie nakulaga sichaguagi mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana mkuu kutokana na hali halisi siku hizi hatutumii hilo neno, ni karibu chakula tugawane hivyo hivyo mapungufu tusameheane basi, hapo sasa wageni wanajiongeza wenyewe.
Tulia bwanaaa,, amenipatiaaa shemeji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Sasa wawepo , sasa unabajeti na familia yako, mgeni unakuja tena bila taarifa kwahiyo ulichokuta mnagawana na wenyeji, sasa uwiiiii mgeni anakuwa mwenyeji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mmoja alisema nyie mnapenda kula nyama sana hakuna samaki? Cha ajabu kila anapokuja hata dagaa hawezi kuja nao wakati anaishi karibu na ziwa elf2 unapata hata kilo 10, ila nishamzoea namtizama nakumpotezea tu.Wenyewe chakula tunapima kama ni kipimo kipo akija mgeni mnaongeza chake na nyama ni vipande viwili ikizidi vitatu na samaki kipande kimoja ndio maisha tuliyoyazoea yeye aje apange yake kama ni Mimi yeye achukua vipande vitatu siongezi hadi aone kabisa wawili wamekosa ili kesho asirudie makosa
Kakupatia ulinunua? [emoji3][emoji3] Ukishacheza rafu unamuombe dua shemejio Mungu ambariki, kama ni Mimi naitikia tu sawa wala sitabasamuTulia bwanaaa,, amenipatiaaa shemeji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ungemwambia Baba mdogo kaishi kwetu miaka na mamiaka hatujawahi muuliza anaondoka lini!Tukienda kwao siku ya pili unaulizwa unarudi lini, nilishawai ulizwa na mke wa baba yangu mdogo, nilikuja kufanya interview, nilipita nikaitwa kazini Ila sikuja kufanya, wakati mmewe kakaa kwetu miaka na miaka.
Mkuu unaharibu, palepale Una muuliza ulileta hao samaki tukaacha kuwapika?Kuna mmoja alisema nyie mnapenda kula nyama sana hakuna samaki? Cha ajabu kila anapokuja hata dagaa hawezi kuja nao wakati anaishi karibu na ziwa elf2 unapata hata kilo 10, ila nishamzoea namtizama nakumpotezea tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli nimekupatia, halafu mie wa hivyo ninaye haaa haaa na kanizoea haswaTulia bwanaaa,, amenipatiaaa shemeji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]