Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Yaani acha tu mara kwa anakuja tena bila taarifa, ukijibu hivyo hawachelewi kukuita mchoyo!Mkuu unaharibu, palepale Una muuliza ulileta hao samaki tukaacha kuwapika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani acha tu mara kwa anakuja tena bila taarifa, ukijibu hivyo hawachelewi kukuita mchoyo!Mkuu unaharibu, palepale Una muuliza ulileta hao samaki tukaacha kuwapika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimecheka. Halaf huyo mgeni hapo ana mandevu kidevu chote mpaka timbalendi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] amechonga na OKakupatia ulinunua? [emoji3][emoji3] Ukishacheza rafu unamuombe dua shemejio Mungu ambariki, kama ni Mimi naitikia tu sawa wala sitabasamu
We nae kama unaona mgeni atakumalizien chakula si mjiwekee shea yenu jikoni aargh.Wakati wa likizo huu unapokea watoto wamekuja likizo. Asubuhi umezoea kuwakaangia watoto wako mayai manne lakini wenyewe umewafundisha kuwa ni lazima kila mtu apate.
Wanakuja watoto wageni wanamaliza mayai yote wanao wanabaki wanaangalia. Kama wangefundishwa wote wangegawana na wote wangepata hata kipande kidogo.
Hahahahah yani mtu analalamika wee, mie kwetu mboga ni nyama au samaki. Unakula tani yako awe mgeni au mwenyeji. Uchoyo kwetu mwikoSijui ni ulafi au Uzungu, wewe kama umepika wachache si shida ni yako? kwanini usiweke kwenye sahani na mkashea hasa kwenye upande wa mboga? Hivyo vipande vitatu ni vya gram ngapi kila kimoja? Chakula cha manung'uniko bhana mwisho mtu anigwe na mfupa kisa jicho la usuda la kuchukua samaki mmoja (tena kagawanywa vipande vitatu) mwenye gram 400.
Kwani haufahamu siku hizi chakula ni mboga, YAANI MBOGA INAKUWA KUBWA ZAIDI YA WALI/UGALI?
Table Manners,kuna watu ni washenzi wanaongea na chakula mdomoni ,haya mambo lazima kufundishwa ukiwa na 4 yrs ,Unakaribishwa chakula kwenye familia, mabakuli makubwa ya chakula na mbogamboga yanawekwa katikati. Inakuja wakati kila mtu ajiwekee chakula anachopenda.
Mezani mpo nane. Wewe ni mtu wa tatu kujiwekea chakula, utamsikia shemeji leo umenipatia kweli, hawa samaki ndiyo ugonjwa wangu. Anachukua vipande vitatu pasi kufikiria watano wanaomsubiri watapata samaki.
Ustaarabu ni kuchukua chakula kidogo, subiri round ya kwanza iishe. Kama ulipenda sana samaki unaweza kujiongezea katika round ya pili kama watakuwa wamebaki. Wakati huo ndiyo unaweza kusema kama hakuna anaeongeza ninatongeza hawa samaki maana hiki ndiyo chakula ninachokipenda, leo shemeji umenipatia.
Kuna wengine anakula huku anashika smart phone yake mezani anaangalia messages. Jamani hao wanaokutumia hawawezi kusubiri mpaka umalize kula na wenzako? Kama una ujumbe wa muhimu sana deal la mahela unaweza kuwataarifu wenyeji wako kuwa kuna ujumbe ninautegemea lakini ni ustaarabu kuachana na simu wakati mko mezani.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sky Eclat, yaani umeamua kunisimanga JamiiForums, sawa tu, ukinialika ntakunywa hadi maji ya kunawa ndio mtie aibu
Sorry hata hapa nipo nakula restaurant lakn nachezea cmMy dear Sky Eclat
Ndio maana siku zote wazazi huwa wanashauriwa kuwa wanakula meza moja na watoto wao ili wawafundishe TABLE MANNERS ikiwamo kuwafikiria wengine na hata namna ya kutafuna chakula.
Inawezekana hao wageni ndio wale waliopelekwa boarding wakiwa bado wadogo sana (darasa la tatu) wakakosa muda wa kufundishwa tabia njema na wazazi/walezi wao.
Hii ni kweli kabisa mkuu, miaka kadhaa nyuma nilimkaribisha jamaa tuko naye kazini kwa lunch maana tulitoka wote vijijini... Wife alipika roast nyama ya nguvu lakini ni mboga ya kula mpaka jioni... Aisee jamaa alitukomesha huku akimwaga sifa kwa wife, alikomba nyama karibia pori liishe na wala haoni aibu.[emoji3][emoji3][emoji3] eti shemeji apo umenipatia hahahaa unautani nawatu! Halafu ukute hawajaoa !
Haaa haaa wapo wengi, unajua watu wanashindwa kuelewa mjini hakuna mashamba ukiendekeza kula bila utaratibu utashindwa hata kununua hata kijiko.Hii ni kweli kabisa mkuu, miaka kadhaa nyuma nilimkaribisha jamaa tuko naye kazini kwa lunch maana tulitoka wote vijijini... Wife alipika roast nyama ya nguvu lakini ni mboga ya kula mpaka jioni... Aisee jamaa alitukomesha huku akimwaga sifa kwa wife, alikomba nyama karibia pori liishe na wala haoni aibu.
Ni aibu Sana.Watu wengi wanatafuna Kama nguruwe sio mbuzi, mtu anatafuna mpaka nyumba ya nne wanasikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo ni sawa wao kuchokonoa pua mezani?Hao mnaowasema hivyo wengine ni dada, wajomba, baba wadogo zenu nk,
Mbona wazungu wanakaribishana chakula.Tungeiga tu utaratibu wa wazungu , nadhan wapo straight sana , mgeni hatarajii kukirimiwa na chakula anapomtembelea mwenyeji wake ,
Hii ya kulazimisha kulishana ilhali Hali hairuhusu ndio huanzisha masimango kwa jina la table manners.
Hii iliwahi nitokeaMmenikumbusha mbali kuna wageni wawili walikuja nyumbani sasa tuna utaratibu wa kupakua chakula cha wote mezani wacha wale ugali wote wa watu sita tena usiku ikabidi tuanze kupika mwingine tena
Bora tu umejichagulia utaratibu japo pia utasemwa jamaa kaona chakula chetu cha hovyo nini?+1
Mimi sili kabisa kwa watu , no matter what. Sana sana nitakunywa Maji,
Unakaribishwa chakula hapo hapo unakuwa under surveillance jinsi gani utakula, hapana