Kuna wageni ambao hawana ustaarabu mezani saa ya chakula

Kakupatia ulinunua? [emoji3][emoji3] Ukishacheza rafu unamuombe dua shemejio Mungu ambariki, kama ni Mimi naitikia tu sawa wala sitabasamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimecheka. Halaf huyo mgeni hapo ana mandevu kidevu chote mpaka timbalendi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] amechonga na O
 
We nae kama unaona mgeni atakumalizien chakula si mjiwekee shea yenu jikoni aargh.
 
Hahahahah yani mtu analalamika wee, mie kwetu mboga ni nyama au samaki. Unakula tani yako awe mgeni au mwenyeji. Uchoyo kwetu mwiko
 
Table Manners,kuna watu ni washenzi wanaongea na chakula mdomoni ,haya mambo lazima kufundishwa ukiwa na 4 yrs ,
 
Sorry hata hapa nipo nakula restaurant lakn nachezea cm
 
[emoji3][emoji3][emoji3] eti shemeji apo umenipatia hahahaa unautani nawatu! Halafu ukute hawajaoa !
Hii ni kweli kabisa mkuu, miaka kadhaa nyuma nilimkaribisha jamaa tuko naye kazini kwa lunch maana tulitoka wote vijijini... Wife alipika roast nyama ya nguvu lakini ni mboga ya kula mpaka jioni... Aisee jamaa alitukomesha huku akimwaga sifa kwa wife, alikomba nyama karibia pori liishe na wala haoni aibu.
 
Haaa haaa wapo wengi, unajua watu wanashindwa kuelewa mjini hakuna mashamba ukiendekeza kula bila utaratibu utashindwa hata kununua hata kijiko.
 
Mambo ya mezani yabaki huko huko mezani, kwa sasa tujikite kwenye mitano...
 
Hayo ndio matokeo chanya ya watu wa mikoani.
Siku nyingine siku nyingine anaondoka na chupa la chai.
 
Hivi watu wanawezaje kufanya hivyo ugenini au ndo ucheshi na uchangamfu? sitasahau siku 1 nilipo karibishwa chakula mezan tuko watu 5 nilipakua chakula kidogo kuliko wenyeji na nikadanganya kuwa nimeshakula huko nilipo toka.
Baada ya dakika 10 akaingia mtt wao katoka shule akakuta chakula kimeisha alilia sana hata alipo ambiwa asubir apikiwe chake bado aliendelea kulia huku ananiangalia kwakweli nilijiskia vbaya sana, baba wa mtoto akamtandika mtoto wake kwa kosa la kutokua na adabu na Mimi nikiwepo ndo nikaendelea kukosa amani kabisa nikajiona Mimi ndo chanzo Cha yote.
Hadi leo hii nikiwa ugenini ukifika mda wa kula ndo muda ninao uchukia zaidi na ninaweza kukataa kula kabisa kama ikiwa tu ni sehem nilienda kusalimia na kupita
 
Tungeiga tu utaratibu wa wazungu , nadhan wapo straight sana , mgeni hatarajii kukirimiwa na chakula anapomtembelea mwenyeji wake ,

Hii ya kulazimisha kulishana ilhali Hali hairuhusu ndio huanzisha masimango kwa jina la table manners.
Mbona wazungu wanakaribishana chakula.
 
Mmenikumbusha mbali kuna wageni wawili walikuja nyumbani sasa tuna utaratibu wa kupakua chakula cha wote mezani wacha wale ugali wote wa watu sita tena usiku ikabidi tuanze kupika mwingine tena
Hii iliwahi nitokea
Niliweka ugali kwenye hotpot na mboga kwenye hotpot

Jamaa walikuwa wawili wakanawa wakasogeza hotpots zote wakapiga msosi nafika na visahani vyangu tukate ugali,
Shughuli imeisha
 
+1
Mimi sili kabisa kwa watu , no matter what. Sana sana nitakunywa Maji,
Unakaribishwa chakula hapo hapo unakuwa under surveillance jinsi gani utakula, hapana
Bora tu umejichagulia utaratibu japo pia utasemwa jamaa kaona chakula chetu cha hovyo nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…