Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π hivi kuna mtu hajawai kugoogle dalili za ukimwi?Google ya kingese sana....
Unaweza jichagulia uwe nao au laa
Mimi: """Je vipele ni dalili ya ukimwi"""
Google: Vipele ni moja ya dalili ya magonjwa ya ngozi yanayotokea sana kwa watu waishio na VVU au UKIMWI na huweza kuwa ishara ya kwanza ya maambukizi ya VVU.
Utajuta kuzaliwa πππππ
Duu mbona nomaHuo uzi uliletwa kweli midnight mimi nimekesha JF leo ngoja mhusika aje
Kama ni mtu wa harakati ni lazima mkuu..π hivi kuna mtu hajawai kugoogle dalili za ukimwi?
Ndio maisha yakishatokea yametokea.Mkuu acha tuu sasa na ugumu wa life hii alafu ukutane na zing zong ka hizo..
Daah unakuta mtu yupo very strictly ujui shida nn kumbe mwenzako kichwa kina mambo mengi mno aiseeee
Nini kilitokea APOSTO πNikiwa chuo nilipitaga na rafiki wa pisi yangu baada ya kuachana nae, alivyokuja kujua kuna siku nilikutana nae njiani akaniambia "utakuja kula hadi visivyolika kisa tamaa, utakufa mkavu mimi ndio namjua fulani umeshajimaliza, shauri yako bado hujapima?, kwaheri".
Moyo ukafanya paah! Nikakumbuka niliuza mechi tena sio mara moja. Mda ule ule nikaenda hospitali kupima.
Msitupangie maisha πππππππNyie vijana, ukiingia kwenye uhusiano mpya. Hakikisha mnapima wote kwanza. Mambo ya kujifanya mnatumia protection, siku 2,3 za mwanzoni. Baada ya hapo mnaaminiana kwa macho, utapigwa na kitu kizito.
Pima, kuwa mwaminifu kwa mpenzi mmoja, ukishindwa achana na kujigjig. Siyo chakula kusema utakufa lah ukale mbegu vichwa vyenu.
π acha tuzeeke tu, ujana mzuri lakini mbaya sana.Kama ni mtu wa harakati ni lazima mkuu..
Mi likija suala la kupima huwa mapigo ya moyo yanakua juu sana ...
Nakuta nabanwa na haja hapo hapo..
πππππππππππ
Kupima kwa macho ni mwiko, wasiposikia la mkuu basi ila bora umewaambia.Nyie vijana, ukiingia kwenye uhusiano mpya. Hakikisha mnapima wote kwanza. Mambo ya kujifanya mnatumia protection, siku 2,3 za mwanzoni. Baada ya hapo mnaaminiana kwa macho, utapigwa na kitu kizito.
Pima, kuwa mwaminifu kwa mpenzi mmoja, ukishindwa achana na kujigjig. Siyo chakula kusema utakufa lah ukale mbegu vichwa vyenu.
πkumbe ndo zakooUgopa sana umeichakata pisi mpaka akaomba maji,
Umenikumbusha andiko la jamaa mmoja anaitwa Deception kuhusu Ukimwi aseeARVs zimewadanganya wengi na wanahisi ukimwi haupo..., laiti wangeona ya miaka ya 2000 mwanzoni watu wangekua na heshima.
Kwani wewe hunaKuwa makini dear usilete nyumbani
Kuna mazungumzo mengine hayazungumzikiAngaza wataalam wa ushauri nasaha njoo tuzungumze
πππHuu uzoefu kila mtu anao , mimi nishapiga zaidi ya mara moja ,mtoto mbichi kabisa ,then nakutana na msela kaniambia kama haujapiga kimbia huyo kazaliwa nao , sijakaa vizuri nasikia mama yake kavuta πππππNikiwa chuo nilipitaga na rafiki wa pisi yangu baada ya kuachana nae, alivyokuja kujua kuna siku nilikutana nae njiani akaniambia "utakuja kula hadi visivyolika kisa tamaa, utakufa mkavu mimi ndio namjua fulani umeshajimaliza, shauri yako bado hujapima?, kwaheri".
Moyo ukafanya paah! Nikakumbuka niliuza mechi tena sio mara moja. Mda ule ule nikaenda hospitali kupima.
As far as I know na kwamajibu ya mwisho sina. Labda tukapime tena dearKwani wewe huna
πππππDaaah aiseee hiyo kitambo sana...π acha tuzeeke tu, ujana mzuri lakini mbaya sana.
Unatoka kwa pisi leo, kesho yake unaanza kuhisi maumivu ya koo ila unasahau kama ulibwia mabarafu. Akili inakumbuka tu ulizini π
Lazima ugugu
Zamani ,sasa hivi nishazeekaπππkumbe ndo zakoo
Acha uoga πππDuu mbona noma