Ndio hivyo kuna watu wanajua kabisa hali zao ila wanasukumwa na ubinafsi na roho mbaya kuwaambukiza wengine makusudiJirani yetu mwanaume alimleta mmama wakawa wanaishi wote kama mwaka
Juzi kati hapo huyo mama kapukutika uzuri wote kwishaa
Nikaenda kisimani nawasikia wamama wanapiga umbea wanamcheka eti "alikuja hata hajauliza historia, mwenzake kaungua kitambo"
Kumbe huyo baba ana ngoma kashamuambukiza mama wa watuπ₯Ή
Wananitisha huku π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯ΊπππKapime upate uhakika.....
π lazima uende likizo ya kukosa utulivu. Ikawaje?πππHuu uzoefu kila mtu anao , mimi nishapiga zaidi ya mara moja ,mtoto mbichi kabisa ,then nakutana na msela kaniambia kama haujapiga kimbia huyo kazaliwa nao , sijakaa vizuri nasikia mama yake kavuta πππππ
Uwoga uwoga tuuu ππππNimejifunza sana sio kidogo, ni bora nisiteleze kuliko niteleze kwa kuuza mechi.
π₯Ίπ₯Ίπ₯Ί Watu wana roho mbayaaaaaNdio hivyo kuna watu wanajua kabisa hali zao ila wanasukumwa na ubinafsi na roho mbaya kuwaambukiza wengine makusudi
Hamkupima kwani wakati mnaanza mahusiano na Hilo lishangazi??Wananitisha huku π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπππ
Haha im in my late 40s sina cha kuogopa!! Mind you life expectancy ya mtanzania ni 50 years,Acha uoga πππ
NATOA 10K KWA MTU ATAKAE NITUMIA TANGAZO LA UKIMWI KWENYE MIAKA YA 2003+ AMBALO LINAFANYIKA KANISANI HUKU MTOTO ANAZALIWA NA KUBATIZWA KANISANI NA MWISHONI KABISA MILANGO YA KANISA INAFUNGWA.Habarini,
Lilikuepo miaka ya elf 2 mwanzoni, kulikuwa likianza linaanza na wimbo wenye mistari hii
"Dada yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi,
Kaka yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi
Mama yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi "
Hili tangazo lilikuwa kwenye channel gani, maana nalitafuta
Nop alinipa mimi nauli nende hospitali akasema nikapime nilete vipimo..Hamkupima kwani wakati mnaanza mahusiano na Hilo lishangazi??
Mwaka 1 ndo apukutike hivo...?Ndio hivyo kuna watu wanajua kabisa hali zao ila wanasukumwa na ubinafsi na roho mbaya kuwaambukiza wengine makusudi
Mama aliwahi niambia "Kunguru mwoga hukimbiza mbawa zake"Uwoga uwoga tuuu ππππ
ππππππ Hawa ndo watu wa kukaa nao karibu..Haha im in my late 40s sina cha kuogopa!! Mind you life expectancy ya mtanzania ni 50 years,
ππ Nilikupenda sana πNop alinipa mimi nauli nende hospitali akasema nikapime nilete vipimo..
Yeye sijaweza kumuliza kuhusu vipimo niliona kama ataona namuhisi vibaya π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ktakulambaaa!! Shauri yakoo. LolWeeeeeeh dua la kuku hilo....
Nipo vizri...[emoji23][emoji23][emoji23]
Japo mara moja moja sikumbuki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naelewa sasa mi naruka tuuu show kali rahaaaaaa
Wewe tenaaππππππππ Hawa ndo watu wa kukaa nao karibu..
Huna mda wa kupoteza dadek et et life expectancy ni 50 alafu unakua muoga muoga...
Oaaa weee nimekua inspired na wewe mkuu π π π π π π
Nasemaje ni mwendo wa show show DO or DIE
ππππ Kavu kavu kavuMama aliwahi niambia "Kunguru mwoga hukimbiza mbawa zake"
Acha kunitisha it's seriously issue ujue.,π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίππ Nilikupenda sana π
Hizi ishu za UKIMWI nilianza kuchukulia serious mwaka 2009. Enzi nikiwa mdambi, Siku moja niko maeneo ya Njiro ile nafika geti dogo uhasibu nikakutana na manzi mmoja niliyekuwa nikimnunua sana pale Mrina. Nikamuuliza unafanya nini huku akajibu ametoka makaburini kumzika kahaba mwenzao. Ubaya ni kwamba marehemu kilichomuua ni ngoma na aliacha orodha ya watu anaojua kawaambukiza. Ile ishu ilileta mtikisiko mkubwa kwenye tasnia ya uzinzi Arusha. Wazinzi wengi wa wakati huo tuliweweseka. Tangu hiyo siku nikaanza kuacha habari za uzinzi hasa kununua malaya.Kuna uzi leo umeletwa kuwa almost asilimia 80 ya Watanzania wana HIV. Ni research imekuwa published kwenye journal moja huko Marekani.
Bahati mbaya naona JF wameufuta ule uzi uliletwa na Meneja Wa Makampuni labda atuwekee link ya hiyo journal.