Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Labda kutumia dawa ndio sababu wana pukutika?

Labda wasingetumia dawa wasingekuwa hivyo. Hebu msome Deception.

Mbona zamani walipata wakawa hawatumii dawa wakapukutika!
 
Miaka ya 2000 wahenga
Acheni kutufanya wafu sasa sisi wa miaka ya 50 πŸ˜„ 🀣
 
Mbona zamani walipata wakawa hawatumii dawa wakapukutika!
Inabidi kufanya uchunguzi na kusoma sana kuelewa mambo dear. Usipende kuchukulia mambo vaguely. Deception alikuwa na hoja zenye kuweza kumshawishi mtu kuelewa. Sema najua wewe mvivu kusoma. Nitakusomea usiku tukiwa wote uelewe.
 
Mkuu kama nilichomoka pale masandale kwa mama kibena unafikiri hii kitu unaweza ipata tena?πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
We wale wamama ulikua hupigi usingeponaπŸ˜‚ ulikua unadeal na wale madadaz wa ugelzini, Kuna sherehe flan tuliendaga wadada wengi hata hawakazi Mzee unadaka unabambia unaachia unadaka mwingn unabambia unaachia.....wanakijiji wakikuona unacheza nae tu hawana shida ila ukianza kumpanga wanakuita pembeni wanakwambia kijana hapo pamoto usiguse
 
We wale wamama ulikua hupigi usingeponaπŸ˜‚ ulikua unadeal na wale madadaz wa ugelzini, Kuna sherehe flan tuliendaga wadada wengi hata hawakazi Mzee unadaka unabambia unaachia unadaka mwingn unabambia unaachia.....wanakijiji wakikuona unacheza nae tu hawana shida ila ukianza kumpanga wanakuita pembeni wanakwambia kijana hapo pamoto usiguse
Kandoto girls nilishawahi kulala bwenini mwao zaidi ya wiki mbili mkuu , matron wao akija napiga sketi na ushungi 😁😁😁😁
 
Kandoto girls nilshawahi kulala bwenini mwao zaidi ya wiki mbili mkuu , matron wao akija napiga sketi na ushungi 😁😁😁😁
Sema kama ni mwanaharakati huwezi pita pale usimwagie ndani hata mtoto Moja wa pale kandotoπŸ˜‚wao wenyewe wanaonaga kama sifa kua na mshkaji kule uboyzn
 
Back
Top Bottom