Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
πππππ Leo wapi mkuu...Humu Kuna watoto wadogo sana π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ Leo wapi mkuu...Humu Kuna watoto wadogo sana π
Ngoja ifike mida ya jioni jioni saizi kichwani network hamnaπππππ Leo wapi mkuu...
Uelewi which is which πππππNgoja ifike mida ya jioni jioni saizi kichwani network hamna
Mkuu kama nilichomoka pale masandale kwa mama kibena unafikiri hii kitu unaweza ipata tena?ππππKwa hiyo walioona hilo tangazo saivi ndo wahenga? Kwa hali hii shakua mzee
Mbona zamani walipata wakawa hawatumii dawa wakapukutika!Labda kutumia dawa ndio sababu wana pukutika?
Labda wasingetumia dawa wasingekuwa hivyo. Hebu msome Deception.
Scientists found drug that can wake up dormant HIV to be killed
Wanasayansi wamegundua dawa yakutibu ulevi yaweza kutumika katika mkakati wa kuamsha virusi mfu vya VVU vilivyojificha na kuviua. Dawa hiyo waliyoiita 'Antabuse' walipatiwa wagonjwa 30 wa UKIMWI Marekani na Australia ambao walikuwa tayari kwenye dozi ya kupunguza makali ya UKIMWI, kulionekana...www.jamiiforums.com
Inabidi kufanya uchunguzi na kusoma sana kuelewa mambo dear. Usipende kuchukulia mambo vaguely. Deception alikuwa na hoja zenye kuweza kumshawishi mtu kuelewa. Sema najua wewe mvivu kusoma. Nitakusomea usiku tukiwa wote uelewe.Mbona zamani walipata wakawa hawatumii dawa wakapukutika!
Unaamini ngoma haipo?Inabidi kufanya uchunguzi na kusoma sana kuelewa mambo dear. Usipende kuchukulia mambo vaguely. Deception alikuwa na hoja zenye kuweza kumshawishi mtu kuelewa. Sema najua wewe mvivu kusoma. Nitakusomea usiku tukiwa wote uelewe.
We wale wamama ulikua hupigi usingeponaπ ulikua unadeal na wale madadaz wa ugelzini, Kuna sherehe flan tuliendaga wadada wengi hata hawakazi Mzee unadaka unabambia unaachia unadaka mwingn unabambia unaachia.....wanakijiji wakikuona unacheza nae tu hawana shida ila ukianza kumpanga wanakuita pembeni wanakwambia kijana hapo pamoto usiguseMkuu kama nilichomoka pale masandale kwa mama kibena unafikiri hii kitu unaweza ipata tena?ππππ
Mshua hakuvaa ndomuUsisahau na kosa la marehemu baba
Kandoto girls nilishawahi kulala bwenini mwao zaidi ya wiki mbili mkuu , matron wao akija napiga sketi na ushungi ππππWe wale wamama ulikua hupigi usingeponaπ ulikua unadeal na wale madadaz wa ugelzini, Kuna sherehe flan tuliendaga wadada wengi hata hawakazi Mzee unadaka unabambia unaachia unadaka mwingn unabambia unaachia.....wanakijiji wakikuona unacheza nae tu hawana shida ila ukianza kumpanga wanakuita pembeni wanakwambia kijana hapo pamoto usiguse
Sijasema hivyo. Tutasoma wote kisha tujadiliUnaamini ngoma haipo?
Na juzi tumeambiwa 80% ya idadi ya watu TZ wana maambukizi πHIV bado ipo na inaua ni kuwa makini tu mkuu ,kinga ni bora kuliko tiba .
Chaliifrancisco huyu mdogo wako vipi?π€Kandoto girls nilshawahi kulala bwenini mwao zaidi ya wiki mbili mkuu , matron wao akija napiga sketi na ushungi ππππ
Mungu atusaidie.Na juzi tumeambiwa 80% ya idadi ya watu TZ wana maambukizi π
Watu wanaongea mmoja akiwa Tierra del Fuego na mwingine akiwa Xinghua babe. Sembuse mimi nipo Masasi wewe Lindi.Nitakuonea wapi mimi nipo huku Lindi
Sema kama ni mwanaharakati huwezi pita pale usimwagie ndani hata mtoto Moja wa pale kandotoπwao wenyewe wanaonaga kama sifa kua na mshkaji kule uboyznKandoto girls nilshawahi kulala bwenini mwao zaidi ya wiki mbili mkuu , matron wao akija napiga sketi na ushungi ππππ
Hii naweza ikubali mkuu .Na juzi tumeambiwa 80% ya idadi ya watu TZ wana maambukizi π
Dah huyo namuuza. Taja tu bei gani nikiuza nikutumie hiyo hela π€£Chaliifrancisco huyu mdogo wako vipi?π€
Muuze bei ya kitimoto kilo 1Dah huyo namuuza. Taja tu bei gani nikiuza nikutumie hiyo hela π€£