Yaani mimi binafsi,ninasomesha wanangu,shule za watoto ninatafuta mwenyewe,ninalipa bill zote nk.Yaani Sometimes huwa ninajiambia mimi ni mwanaume kasoro viungo vya jinsia tu.🤣🤣🤣🤣 Aisee eti kusaidiana katika majukumu🤣🤣🤣 kwenye marimba ya mdhungu mnachaoa kirahisi tuu njoo sasa kwenye reality ..utaingia mkenge.
Kuweni wakweli nyie wanawake katika kusaidia majukumu ni zero kabisa.
Mume anafanya nini? Kula mbususu tuu?Yaani mimi binafsi,ninasomesha wanangu,shule za watoto ninatafuta mwenyewe,ninalipa bill zote nk.Yaani Sometimes huwa ninajiambia mimi ni mwanaume kasoro viungo vya jinsia tu.
This is inappropriate! Kama mtu kwake kunafukuta hahitaji kuhamasisha na kwa wenzio kuungue!
Young girls hawatakiwi kuambiwa haya, wanatakiwa wafundishwe kuwa na uhuru wa kipato, na pia wajifunze kuwa wake wema kwa waume zao, is that too much to ask?
Lazima tuelewe kuwa kwa kufuata utamaduni ambao si wakwetu, tunajikomoa wenyewe, tunakomoa our own future!
Binafsi nawaza sana, yawezekana kabisa wazazi waliolea watoto wao vyema wanapata shida sana kuwaoza watoto wao kwa vijana ambao hawajui upbringing yao, imagine uoe binti wa huyo mama ambaye kwa bahati ambaya asiwe an independent thinker!
We are ignoring the elephant in the room!Tatizo makundi
Wataleban wako sahihi sana kule Afghanstan kuhusu wanawake.
Which is......We are ignoring the elephant in the room!
Tatizo Mwanamke akikutegemea kwa kila kitu na yeye ana kua na penzi la uwongo kisa njaa yake tu, siku shida zake zikiisha ndiyo utamjua tabia yake ya ukweli!!Hakikisha mkeo anakutegemea kwa Kila kitu hata chupi ununue wewe bro heshima utaipata.imagine mwanamke amenunua gari lake mda wowote anatimka kusiko julikana hapo huna mke utashuhudia dharau mpk bas.
Ndo akina Christina Shusho hawa, kujifanya utumishi kumbe takataka tupuNimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.
Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.
Shule hakuna hapo; ukiona hivo ujue ubongo wa panya, zero brainHuyo maza ni mpuuzi, mwanamke kuwa na hela haimpi sababu ya kutomuheshimu mumewe. Kuna wanawake wana hela lkn bado wanaheshimu waume zao sijajua kakwama wapi hadi kuongea alichokiongea.
Sent using Jamii Forums mobile app
gabrielle union kwan wade kakukimbia 😃Yaani mimi binafsi,ninasomesha wanangu,shule za watoto ninatafuta mwenyewe,ninalipa bill zote nk.Yaani Sometimes huwa ninajiambia mimi ni mwanaume kasoro viungo vya jinsia tu.
Mimi ni mjane.Mimi ni single parent.gabrielle union kwan wade kakukimbia 😃
Oooow mumeo alifariki pole 😦Mimi ni mjane.Mimi ni single parent.
Asante sana mwaya.Oooow mumeo alifariki pole 😦
Ingekuwa mimi huyo mwanamke akirudi tu anakutana na Talaka yake mlangoniNimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.
Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.
ni mpumbavu tu huyo mwanamke. kwanza mwanamke mwenye mume hawezi kuzungumza maneno kama hayo mbele za watu.Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?
USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.