Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Wanawake wapumbavu ndo huamini wakishakuwa na pesa au madaraka ndio key ya kuitawala nyumba na mume.
Wakishaanza kulala na kuamka peke yao ndio huanza kuwachukia wenzao walioko kwenye ndoa na wanaopendwa kwa kuwaona ni kama wanaringa.
Hahahahahah wanateseka sana wakishaharibu na kuwa single na kuanza kupandikiza chuki kwa wanawake wenzao ili nao waharibikiwe. Ilo ndio lengo kuu la kikao kujimwambafy ila mwisho wa siku kuwa mume ndio ukamilifu wa taasisi ya familia. Shilole pamoja na uchizi wake ila sasa katuliza mawenge.
 
Na mbaya zaidi wanaume walioachana na wanawake aina hii hutoboa kimaisha maana wakishawaacha hawa magume huwa na hasira na kuisaka pesa tuu na hapo sasa aliyeharibu huanza kutaka kujirudisha kwa kasi.

Wajinga sana wakishakaa kwenye makundi yao huko. Pumba tupo wanashauriana na kuigana maana wote ni vipofu.
Na ndo maana wengi wanaliwa hovyo kwa tamaa ya pesa ili akawavimbie wenzie kwenye vikoba na vyama.
 
Humo lengo ni kujimwambafy so wengine hata kwa umalaya wanafosi mradi watimize malengo tu
 
Eeh wanaharibugi sana focus zetu. Mwanamke mkorofi anakula sana akili ya mwanaume. Unashindwa kuwazia mambo ya maana unaishia kufeli tu. Ila ukimchinja tu akili inakuwa free yani unawaza mambo kwa upana lazma utoboe tu.
 
Hahah mwanamke anayejitambua ni mtamu sana.
 
Fainali uzeeni, imagine anaachwa akiwa on late forties. Anaolewa mwenzio mtoto mbichi wa mid 20's. Lazma amalize waganga 🤣🤣🤣
 
Wazee wetu waliweza vipi kuishi na wake zao mpaka wanaagana duniani?
Yaani wakipendana hakuna chochote zaidi ya mapenzi.
Mzee akitoka huko kwa mchepuko atakuta menu mezani atazuga hapo vijiko viwili kashiba.
Huku sisi wanae tumekula mbawa na shingo za kuku.
Mi nilikua nasubiri tu aseme kashiba nachukua sinia namaliza kila kitu.
Kuna kipindi yule mdingi nikawa nawaza huyu anarudi na michanga mfukoni nini?
Maana tonge mbili anaanza kulalama chakula kina michanga sili🙈 wanaenda kuelewana na mkewe huko mi naondoka na sinia lake gheto nalichapa.
Aisee nilielewa bond badae.
Siku mzee amekufa huyu mama alikua anazimia na kuamka anauliza mume wangu yuko wapi?tunamwonyesha jeneza anazimika tena🥲
Mpk tunazika hajui,hajiwezi, haamini
kalia miaka 15.
Yale ndo yalikua mapenzi.
Sijui siku hizi hawa wanawake mnawatoa wapi wanawaendesha hivi.
 
Mwanamke mjinga akipewa nafasi ndio mambo yanakuwaga kama hivyo. Atanyanyasa watu na kutamba kama vile haendi chooni. Turning everybody into a doormat.
 
Mzee alikuwa baharia huyo anazuga na chumvi kumbe anaenda kula mzigo 🤣🤣🤣!!! Kijana unachekelea paja za kuku na kidali mama yako anaenda kuinjoy ndani 😀 wazee mabaharia wanapendwa sana. Sema sahizi hamna matoleo kama yale tumebakia mabaharia wachache sana.
 
Bora huyu haangwi, aisee wanaume wanateseka sana sema tu hawana pa kusemea hasa wale wasio na kipato ndani ya familia - huo unyumba tu unapewa mara moja kwa wiki tena kwa masharti usiweke ufundi.
NDoa nyingi zina changamoto kubwa mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…