Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

sasa jee,siku akinuna kweli nyumbani mnajua baba kanuna leo hacheki na mtu sio hujui akiwa na hasira au amefurahi muda wote yuko yoriyori....hahahahha mwanaume machine buana[emoji13]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti "yori yori" we mwanamke wewe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaaaaa. Mie pia hao wanaume warembo hawajawahi nivutia raha ya mwanaume awe na sura ya kiume bana. Teh.
hehehe hebu nikajiangalie kwenye kioo vzuri, isije ikawa nina sura "yori yori" nitalia [emoji13] [emoji13]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mnapenda vifua eeeh? Ngoja nianze kunyanyua vyuma sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…