Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

I see... Kweli ww Demiss
 
Ukiona hivo we hutongozw ndomana Una sema hvo au itakua we kijeba nn Kama kirikuu sio kwa povu hlo
 
Acha kabisaaa
Kwenye sifa alizoweka Demiss kwangu inaongezeka dimpoz..
Yaaan dimpoz ugonjwa wangu kabisa
Akitabasamu na dimpoz oooh nazimia kabisaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Tupo wengi
Kama wanaume wanavyogeuka wakipisha na mdada mwenye chura namm nikipisha na mkaka mwenye dimpoz naeza gongwa hata na gari
Hunifikiii mm yan namwangalia mpaka basiii mapigo ya moyo yanaongezekaaaa
 
Usibabaikie kwa picha wengi wao dizaini hizo ni bwabwa masenge sana tena
 
Kwa taarifa nilizonazo siku hizi unagawa sana hicho kitumbua,amen amen nakuambia punguza speed la sivyo mume wako atakaekuja kukuoa hatakuta kitu huko chini!!
Kwan kuna mtu ananibebea kitumbua wallah

Asante kwa povuuuuuuu nimelipata nitafulia vyup vilivyotoboka
 
I see... Kweli ww Demiss
Mm sibishanagi na watu wa mahesabu atajua wapi kubembeleza mpnz watu kama hawa kutwa kwenda kwa wanasaikolojia kutafuta solution anipishe hapa

Usimuone hivyo huwa anapita kimya kimya kusoma mada zangu leo atakuwa kavutaaa hiii[emoji377][emoji377][emoji377]kaamua kucoment

Akwendeee na Forex lake
 
Ukiona hivo we hutongozw ndomana Una sema hvo au itakua we kijeba nn Kama kirikuu sio kwa povu hlo
Mtoe huyo mwanao hapo kwenye avatar maana ningekupa povu mwenyewe ungekimbia chooon kuhara

Muone sura mbaya kama tako langu lililokataaa cream mxeeeew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…