Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, bf wake atakua zaidi ya hao ,na atakua vzr ktk financial ,ili Ku maintain muonekanoHahaaa. Ila nadhani tunatofautiana mawazo yetu huenda mdogo wangu Demiss hao ndio wanaomkosha yaani akiwaona tu hajiwezi.
hahahaha sasa unataka tumsifie mito ....
Yes yes, nisifieni bana[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Hii hali ya hewa tutaona mengi......Aiseeeeeeh !
Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (Wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam.
Yan mwanaume amebarikiwa jaman
Ngozi nyeus ya kuvutia kama chocolate
Macho ya kimahaba
Kifua mashalaaaah
[emoji216]wa wastan na kuteleza
Tabasamu lake sasa uwiiiiii
Akiwa kitandan ndo hata usiulize
Anapendeza pamba balaaa
Jaman na hii barid kwa kweli unaweza hata usihisi njaaa ukiwa na mwanaume kama huyuuu maana yeye ni shibe tosha.
Wanaume wazur wanafanana na chakula kizur ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.
Nyongeza:
Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesaa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.
[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377][emoji377]
Demiss(cha mdeko)
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] asante kwa kutia moyoHahahaaaaaa. Mie pia hao wanaume warembo hawajawahi nivutia raha ya mwanaume awe na sura ya kiume bana. Teh.
Kweli tumetofautiana mtoa posti anaapenda wanaume wazuri. Kidume hapa nikikutana na demu ana sura ngumu tena awe na machunusi kama limao huwa niko taabani tena awe na shape kama PAPAI ananimaliza kabisa si mchezo.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] endeleeni kututia moyo hivyohivyoDemiss ujue Mungu anakuona Ww[emoji23][emoji23][emoji23] yani Niko church nikasema hebu nichungilie jf kidogo dooh....hahahaha haya bhana ila wengine tunapenda kama akina wasira na remmy ongala
Hahahaha, we mchokozi ujue
Kweli wanawake wengine vipofu..!!Lipia kwanza nauli
Hahahaaa. Na hao wa hivyo kitanzania Tanzania ni wachache mno tena wengi wao ni wale wanamitindo au wasanii..[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] asante kwa kutia moyo
Goodmorning
Haha kweliHahahaaa. Na hao wa hivyo kitanzania Tanzania ni wachache mno tena wengi wao ni wale wanamitindo au wasanii..
Ila hawa wanaume wetu wa kweli walio wengi wako busy kupambana na maisha hivyo muda wa kuanza kupiga picha na kulegeza macho hata hawana.
Kama mimi alafu!Wanaume wa hivyo wanaringaga kuliko wanawake,alafu wachoyo balaa
Sema wengi wanakuaga wasafi Sana icho tu ndo nnachowapendea
Mpe darasa mdg wako,na hao wanaume warembo wakeHahaaa. Sina uchokozi na hata mdogo wangu Demiss ananijua.
Na kwa hili wala hawezi chukia hata kidogo. Sababu dada yake anapenda wanaume wa kawaida ila sio wanaume warembo. Teh.
Nakuona mzee wa skinny girls[emoji2] [emoji2]Mara ya mwisho lini kupigwa dudu inaonekana una ham sana