Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
๐๐๐๐๐๐We shauri ako kama hutaki ngoja ntatafuta mwinginewapi wewe, unakuta una mtu wako ila unachuna wengine
nawajua vizuri๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐๐We shauri ako kama hutaki ngoja ntatafuta mwinginewapi wewe, unakuta una mtu wako ila unachuna wengine
nawajua vizuri๐
Feni tedoka shadrackAmri hizoo za kichaa wakomshamba_hachekwi ukionana na mtoto angu penseli mwambie anitag cz id yake mpya sijui ni nani.
๐๐๐๐๐๐๐๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณFeni tedoka shadrackAmri hizoo za kichaa wako
Haswaaa!Mshamba tu huyo jamaa.
ona hii keenge ๐Nita kupasua hicho kisogo๐
โMshamba tu huyo jamaa.
Huyo mshamba kweli kweli, na vyuoni wenye magari wanavimbaga haswa.Bulliesโฆ. Tunakuwaga bullied here and there basi tu tunakomaa tutafanyeje?
Mimi kuna kaka chuo alinitaka/aliniomba namba mara ya kwanza tu nilivyofikaโฆ mi nikapotezea, alooooh hamna sehemu nimeishi kwa shida kama chuoni, kuna siku aliniambia nitakujaga kukugonga na gari, ukiniona pita hivi ๐๐๐๐ mpaka nikawa nashauriwa nikashitaki, asa mi mkubwa mzima nishitaki shitaki vitu kama hivyo naona jau..
Oya weka location, maana una ongea Sana we nusu albinoooooo ๐คฃ๐คฃ๐คona hii keenge ๐
Makete moja hiyoOya weka location, maana una ongea Sana we nusu albinoooooo ๐คฃ๐คฃ๐ค
We nusu albino wa dodoma, tulia๐คฃ๐คMakete moja hiyo
Kumbe habari zangu unazo we kenge ๐We nusu albino wa dodoma, tulia๐คฃ๐ค
Wana sema we ni nyuki wa mashineni ๐คฃKumbe habari zangu unazo we kenge ๐
๐ kumbe wapo wengiWana sema we ni nyuki wa mashineni ๐คฃ
Tulia dbehhdeh๐ kumbe wapo wengi
Poleni ๐Tulia dbehhdeh
Tulia sasa nusu albino ๐คPoleni ๐