Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafikiri unaomba pesa ,akijibu pumba namtukana piaDada zetu mbona mnatutenga sana sisi tusio na kitu? Sasa upwiru tutaupeleka wapi jamani?
Unakutana na mdada mzuri umevutiwa nae, kutokana na haraka alizonazo unaona bora niombe namba ya simu tutayajenga baada, majibu yake sasa.😀😀
View attachment 2868899
Ila namba zinaombwa wapi? Unadhani utapata nafasi ya kukutana Kila mahala?kuomba namba barabarani ni ushamba
We kwendraaaakuomba namba barabarani ni ushamba
Naomba namba LovelovieWe kwendraaaa
Ndio mana huwa mnapigwa na vitu vizito unawezaje kumtamani mtu kisa dp au umesahau kama tunatumia utambulisho fake humu?Ulivyosema kakuita mweusi mawazo yameenda mbali naona kama kakuonea maana hapa kwa I'd yako ni mweupe sana kijeiefu tukija pm yani tunarusha mistari tukitegemea ukikubali tutakutana na mtu mweupe kama huyo.
Japokua tunaweza kuokota dodo tukakutana na Black beauty
Rudia hoja yako kwanza maana naona hata hoja yako uliyoandika huijui maana unajipinga mwenyewe tu hapaSema hujui kuanzisha mahusiano. Kwahiyo ukikaa naye Mwendokasi ndio unarukia kuomba namba atagawia wangappi? Fikiri mara mbili. Eti binti anapita zake wewe unamwambia naomba namba zako. Akikupa ni malaya huo.
Kama hujui nenda kwa bibi @Faizafox akufundishwe namna ya kutongoza
Unreacha mambo ya kuomba namba unafanyajeHivi kwa sasa kuna mtu anapata shida kabisa kupata namba ya mwanamke? Kati ya kitu rahisi miaka hii kukipata basi ni namba ya mwanamke ila sasa unaweza kuiblock mwenyewe! Mimi sasa hivi nimeacha kabisa mambo ya kuomba namba!
Swali la msingiUmeonana nae kwabahati tu unauhakika gani kuna second time
Anadhani kuna sehemu special kumetengwa watu wanaenda kuombana namba, hakuna sehemu yoyote utayoomba namba ikawa Comfortable labda iwe penzi la kuunganishiwa.Ila namba zinaombwa wapi? Unadhani utapata nafasi ya kukutana Kila mahala?
Wewe ndio mshamba na aibu zako ,hata hivyo mbinu ziko nyingi Kwa watu kama.wewe mwenye aibu unanitajia nakariri kichwani.
Hapa tunaanza kwa kupenda avatar kwanzaNdio mana huwa mnapigwa na vitu vizito unawezaje kumtamani mtu kisa dp au umesahau kama tunatumia utambulisho fake humu?
[emoji23] Basi nikupe pole sana.Hapa tunaanza kwa kupenda avatar kwanza
Wewe huwa unatumia njia gani kumpata mtoto wa kike?Sema hujui kuanzisha mahusiano. Kwahiyo ukikaa naye Mwendokasi ndio unarukia kuomba namba atagawia wangappi? Fikiri mara mbili. Eti binti anapita zake wewe unamwambia naomba namba zako. Akikupa ni malaya huo.
Kama hujui nenda kwa bibi @Faizafox akufundishwe namna ya kutongoza
Asante😊[emoji23] Basi nikupe pole sana.
Bullies…. Tunakuwaga bullied here and there basi tu tunakomaa tutafanyeje?kuna jamaa yangu anatabia kama hiyo bas anaenda kwa upole jamaa: dada habari, dada:safi jamaa: kama nakufananisha hv we si ulikuwa unakaa kuleeeee dada:wapi? Jamaa:hapaa kwa kina nani hivi lucy unampata? dada kabla hajajibu jamaa tuache hayo unajua we ni mrembo yaan dah sijui nisemeje ooh hebu nisaidie kwanza namba yako ,, dada:mi nimeolewa namba yangu ya nini? Hadi hapo jamaa uvumilivu unamshindwa jamaa:hivi we mdada mbona unajiona sana cheki ulivyo miguu kama suria kudadek nilikuwa nakujaribu tu utanipeleka wap mtu kama wewe,, kwa aibu dada wa watu huyoo hapo jamaa ndio anazidi siku nyingn ukiniona upite mbali.. Nina hasira sana na ww dada umetangaza vita, na sio kwamba anatania, akimkuta tena kejel tena mara ya tatu ndio anaomba tena kwa woga wa dada anampa na akisha pewa hamtafuti
Na unaweza usitafutwe vile vile… maisha yana levels na hakuna kitu kizuri kama kuijua level yako na kuilenga.kisha nikashusha kioo cha gari na kumuuliza yule dada unaenda wapi? Twende nikusogeze. Akasema poa nikamdrop home then nikampa business card.
YEye ndiye alonitafuta.
ujumbe: tutafute hela, namba haiombwi Anatoa mwenyewe.
(Alisikika mzinzi mmoja)
Hadi nime cheka 😄😁, mdada mzuri una toa namba ya uongo.Namba ya uwongo nishatoa sana ila kuna wale mabaharia wa ngoja nikupigie kama hii namba uliyonipa ni yako kweli😁😁😁