Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Umeonana nae kwabahati tu unauhakika gani kuna second timeUkitaka mwanamke akusumbue omba namba ya simu first time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonana nae kwabahati tu unauhakika gani kuna second timeUkitaka mwanamke akusumbue omba namba ya simu first time
Wapi sehemu special ya kuomba namba??kuomba namba barabarani ni ushamba
Kuna siku dada mmoja aliniuliza hivyo tuko kwenye lift wawili tu, natoka kazini.kuna jamaa yangu anatabia kama hiyo bas anaenda kwa upole jamaa: dada habari, dada:safi jamaa: kama nakufananisha hv we si ulikuwa unakaa kuleeeee dada:wapi? Jamaa:hapaa kwa kina nani hivi lucy unampata? dada kabla hajajibu jamaa tuache hayo unajua we ni mrembo yaan dah sijui nisemeje ooh hebu nisaidie kwanza namba yako ,, dada:mi nimeolewa namba yangu ya nini? Hadi hapo jamaa uvumilivu unamshindwa jamaa:hivi we mdada mbona unajiona sana cheki ulivyo miguu kama suria kudadek nilikuwa nakujaribu tu utanipeleka wap mtu kama wewe,, kwa aibu dada wa watu huyoo hapo jamaa ndio anazidi siku nyingn ukiniona upite mbali.. Nina hasira sana na ww dada umetangaza vita, na sio kwamba anatania, akimkuta tena kejel tena mara ya tatu ndio anaomba tena kwa woga wa dada anampa na akisha pewa hamtafuti
Ujanja kuomba wapiKabisa mzee mwenzangu,ni ushamba uliokithiri
Mwaya mi kuchambana ni huku kwenye mitandao tu, huku kwa real life mnyonge hata huko kuchamba siwezi 😩[emoji23][emoji23][emoji23] kwann nawee hukumchambaa? Kwan kutoa no ni lazima lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahMbona hujamalizia maana kuna humble halafu kuna humbolo...
Pole sana mkuusijawahi mimi....
naogopa
Kama umekutana nae barabarani unaombea wapi?kuomba namba barabarani ni ushamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee mwayaa.Mwaya mi kuchambana ni huku kwenye mitandao tu, huku kwa real life mnyonge hata huko kuchamba siwezi [emoji30]
Waijua humbolo weyee? 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
Funny fact kidogo😂😂Kama ndo unaomba namba kama hicho kibonzo huyo mwanamke atakaekupa namba nae akili zake hazijatimia maana atakua anampa namba chizi.
Epuka kujiongelesha sana toa Salam subiri jibu , ingiza neno lingine fupi subiri jibu jinsi anavyokujibu fanya calculation zako kichwani utagundua huyu ni mstaarabu au nae ni mapepe ukion ni mapepe jiandae kudhalilishwa au kupewa namba
Akiwa ni mstaarabu jiandae kupewa kistaarabu au kukataliwa kistaarabu na yote inabidi ukubaliane nayo akikataa usimlazimishe ikiwezekana mwambie samahani kwa usumbufu na umwambie kwaheri
Hapanaa, em nijuzee [emoji23][emoji23][emoji23]Waijua humbolo weyee? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni humble inayochangamka ikikutana na Ndombolo.Hapanaa, em nijuzee [emoji23][emoji23][emoji23]
hakuna, mimi naomba tukishaonana zaidi ya mara mojaWapi sehemu special ya kuomba namba??
Siombi.Kama umekutana nae barabarani unaombea wapi?
Huwa nikisha mfikisha mwanamke kwenye point kama hiyo siletagi njaa za pussy kabisa yeye atanipa akitakaMbona hujamalizia maana kuna humble halafu kuna humbolo...
Simba mwendapole, ndiye mla nyama...Huwa nikisha mfikisha mwanamke kwenye point kama hiyo siletagi njaa za pussy kabisa yeye atanipa akitaka
Ulivyosema kakuita mweusi mawazo yameenda mbali naona kama kakuonea maana hapa kwa I'd yako ni mweupe sana kijeiefu tukija pm yani tunarusha mistari tukitegemea ukikubali tutakutana na mtu mweupe kama huyo.Mimi niliwah ambiwa mtu mwenyewe mweusiii mbaya alafu unaringa 🤣🤣🤣 nikaangua kicheko hata kukasirika nilishindwa.