Kuna wanawake ukiwaomba namba ya simu wanamajibu mabaya sana

Kuna wanawake ukiwaomba namba ya simu wanamajibu mabaya sana

Kimsingi tupia pendeza hata demu anaeza ingia kwa public transport sit nyingi zikawa empty lakin bado akaja kukaa na wewe kwanini usiombe namba kwenye situation kama hiyo, we pendeza tu,usibebe vitu vya kishamba iwe simu,saa,breslate,beg ,marashi, ingia garama kwenye vitu a man should look premium
 
Kimsingi tupia pendeza hata demu anaeza ingia kwa public transport sit nyingi zikawa empty lakin bado akaja kukaa na wewe kwanini usiombe namba kwenye situation kama hiyo, we pendeza tu,usibebe vitu vya kishamba iwe simu,saa,breslate,beg ,marashi, ingia garama kwenye vitu a man should look premium
😂😂😂👐💯
 
mimi siwezi omba namba ya mtu sijazoeana nae

nyie si mabaharia naelewa
Kishua inatakiwa upewe introduction kutoka kwa mtu anayewajua wote wawili.

Yani hutakiwi kumvamia mtu tu humjui.

Kwa mfano. Mwanamme una rafiki yako mwanamme kama wewe, ana girlfriend wake, yule girlfriend wa rafiki yako anakujua vizuri, anakujua uko single, na yeye ana rafiki yake anayemjua yuko single, halafu anaona kuna tabia fulani mnafanana mtafaa kuwa pamoja, basi huyo girlfriend wa rafiki yako anatoa mutual introduction mnajuana na huyo rafiki yake, halafu mnajiongeza wenyewe.

Yani hapo mna mtu ambaye anawajua wote katoa pande, huyo mtu si rahisi kutoa pande sehemu yenye lawama.

Ndiyo washua walivyofanya hivyo, yani kumvamia mtu barabarani ilikuwa kituko.

Siku hizi watoto wanepindua meza.
 
Hiyo ndio mbinu yangu pendwa, mpaka nimewahi kuumbuka mara kibao! Kuna mtu nilimpaga bwana, siku akaja sipo akaulizia namba ya ofisi akapewa... akakausha! Siku akaja akanikuta tena, akaniomba tena namba zangu huku akisisitiza nikamtajia, kuandika tu jina likaja la ofisi! Ilikuwa noma,aliniangalia akaondoka hakunisemesha chochote hadi leo naonaga aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Imefikia stage mpaka wenzangu wakiona mtu ananiomba namba tu wanacheka hawana mbavu maana wanajua anapewa za ofisi!
Uongo huna aibu[emoji23][emoji23][emoji23]mbna mi ulitoa namba yako halisi au niiweke hapa???
 
Pia kuna wanaume wana majibu mabaya sana tukiwanyima namba.
Mimi mwaka mpya tu hapa nimechambwa na mbaba ofisini sina hamu, nilikuwa mpoleeeee!
[emoji23][emoji23][emoji23] kwann nawee hukumchambaa? Kwan kutoa no ni lazima lol
 
Kishua inatakiwa upewe introduction kutoka kwa mtu anayewajua wote wawili.

Yani hutakiwi kumvamia mtu tu humjui.

Kwa mfano. Mwanamme una rafiki yako mwanamme kama wewe, ana girlfriend wake, yule girlfriend wa rafiki yako anakujua vizuri, anakujua uko single, na yeye ana rafiki yake anayemjua yuko single, halafu anaona kuna tabia fulani mnafanana mtafaa kuwa pamoja, basi huyo girlfriend wa rafiki yako anatoa mutual introduction mnajuana na huyo rafiki yake, halafu mnajiongeza wenyewe.

Yani hapo mna mtu ambaye anawajua wote katoa pande, huyo mtu si rahisi kutoa pande sehemu yenye lawama.

Ndiyo washua walivyofanya hivyo, yani kumvamia mtu barabarani ilikuwa kituko.

Siku hizi watoto wanepindua meza.
Mimi hiz siku za iv karibun nimeomba pisi kal tofaut tofaut no yaan wananipa namba zao kirais mpaka wanajionea aibu in public ,ninachohakikisha nn nakuwa premium siyo kimuonekano tu hata ghetto vitu ni latest, simple but classic,napenda kuwakaribisha home most of them wakiingiaga wanakuwa humble Sana
 
kuna jamaa yangu anatabia kama hiyo bas anaenda kwa upole jamaa: dada habari, dada:safi jamaa: kama nakufananisha hv we si ulikuwa unakaa kuleeeee dada:wapi? Jamaa:hapaa kwa kina nani hivi lucy unampata? dada kabla hajajibu jamaa tuache hayo unajua we ni mrembo yaan dah sijui nisemeje ooh hebu nisaidie kwanza namba yako ,, dada:mi nimeolewa namba yangu ya nini? Hadi hapo jamaa uvumilivu unamshindwa jamaa:hivi we mdada mbona unajiona sana cheki ulivyo miguu kama suria kudadek nilikuwa nakujaribu tu utanipeleka wap mtu kama wewe,, kwa aibu dada wa watu huyoo hapo jamaa ndio anazidi siku nyingn ukiniona upite mbali.. Nina hasira sana na ww dada umetangaza vita, na sio kwamba anatania, akimkuta tena kejel tena mara ya tatu ndio anaomba tena kwa woga wa dada anampa na akisha pewa hamtafuti
Huyo jamaa ni kichaa au.
 
Mimi hiz siku za iv karibun nimeomba pisi kal tofaut tofaut no yaan wananipa namba zao kirais mpaka wanajionea aibu in public ,ninachohakikisha nn nakuwa premium siyo kimuonekano tu hata ghetto vitu ni latest, simple but classic,napenda kuwakaribisha home most of them wakiingiaga wanakuwa humble Sana
Mbona hujamalizia maana kuna humble halafu kuna humbolo...
 
Back
Top Bottom