Utaomba vipi namba ya mtu uliyezoeana naye?Si utakuwa na namba tayari.mimi siwezi omba namba ya mtu sijazoeana nae
nyie si mabaharia naelewa
Unaomba namba kwa mtu ambaye hamjazoeana ili mzoeane.
Ili kuna utaalamu wa kuomba namba sio kukurupuka tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaomba vipi namba ya mtu uliyezoeana naye?Si utakuwa na namba tayari.mimi siwezi omba namba ya mtu sijazoeana nae
nyie si mabaharia naelewa
Nipe hAlisi sio mkoja wapo wawili me na keHongera utampatia jina langu
Twins?Nipe hAlisi sio mkoja wapo wawili me na ke
Utapata tuu usijali, ila punguza makasiriko kwanza 😂Asante ila natafuta mchepuko kabla sijaenda hukoo
😂😂au ndo wanakwambia tuma hela ili nikusevu jina niliome kwa mpesa kwenye muamala😂😂me namba napewa ila sasa yanayofuata itabidi tu nizi block mwenyewe 😂
Hii ndo dalili ya utajiri😂😂😂jokesBinafsi hua siwezi kuomba namba tunapokutana Kwa mara ya kwanza labda kuwe na dili la kazi/pesa!!
Siku hz hata za wale watu wa karibu napo imekua kipengele kusave unakuta Nampa namba ananipigia lkn kusave sizingatii sana najikuta nshapuuzia
Mimi huwa namba napewa ila kila dem nayempata lazima ahame mkoa kama sio kusafiri,...sjui shida nini, yani hata nikimuomba namba Depal saivi utashangaa na yeye anasafiri.me namba napewa ila sasa yanayofuata itabidi tu nizi block mwenyewe 😂
acha tu, ukituma napo😂😂au ndo wanakwambia tuma hela ili nikusevu jina niliome kwa mpesa kwenye muamala😂😂
umerusha nyavu ki mkakati 😄Mimi huwa namba napewa ila kila dem nayempata lazima ahame mkoa kama sio kusafiri,...sjui shida nini, yani hata nikimuomba namba Depal saivi utashangaa na yeye anasafiri.
Sio kurusha nyavu tu hapo nimerusha baruti kabsaacha tu, ukituma napo
umerusha nyavu ki mkakati 😄
janja janja tu hizi kwani wewe na mwanaume wako mlianzia wapi....Ukaribu kwa nani? Mimi hiyo nafasi huwezi kuipata. Sinaga ukaribu na wanaume zaidi ya mwanaume wangu tu.
Pole.
Mm nataka pesa sitaki utajiriHii ndo dalili ya utajiri😂😂😂jokes
✊️💯Mm nataka pesa sitaki utajiri
Ukiweza kumtoa Depal Njiro nauli nitakulipia mimi. Wacha utani.Mimi huwa namba napewa ila kila dem nayempata lazima ahame mkoa kama sio kusafiri,...sjui shida nini, yani hata nikimuomba namba Depal saivi utashangaa na yeye anasafiri.
Mabaharia sasa😂Namba huwa inaombwa baada ya kumlala