Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Nita kupasua hicho kisogoππ we mtoto chizi kweli
Wewe huwa unatumia njia gani kumpata mtoto wa kike?
Situmii ubongo kwenye mapenzi hayo ni matumizi mabaya ya akili. Natumia helaRudia hoja yako kwanza maana naona hata hoja yako uliyoandika huijui maana unajipinga mwenyewe tu hapa
Jifunze kutumka ubongo
Nianze kukutongoza . Sio?Wewe huwa unatumia njia gani kumpata mtoto wa kike?
Duhh! Sawa.Situmii ubongo kwenye mapenzi hayo ni matumizi mabaya ya akili. Natumia hela
Mshamba tu huyo jamaa.Bulliesβ¦. Tunakuwaga bullied here and there basi tu tunakomaa tutafanyeje?
Mimi kuna kaka chuo alinitaka/aliniomba namba mara ya kwanza tu nilivyofikaβ¦ mi nikapotezea, alooooh hamna sehemu nimeishi kwa shida kama chuoni, kuna siku aliniambia nitakujaga kukugonga na gari, ukiniona pita hivi ππππ mpaka nikawa nashauriwa nikashitaki, asa mi mkubwa mzima nishitaki shitaki vitu kama hivyo naona jau..
toa namba upate babyPia kuna wanaume wana majibu mabaya sana tukiwanyima namba.
Mimi mwaka mpya tu hapa nimechambwa na mbaba ofisini sina hamu, nilikuwa mpoleeeee!
Hiyo ndio mbinu yangu pendwa, mpaka nimewahi kuumbuka mara kibao! Kuna mtu nilimpaga bwana, siku akaja sipo akaulizia namba ya ofisi akapewa... akakausha! Siku akaja akanikuta tena, akaniomba tena namba zangu huku akisisitiza nikamtajia, kuandika tu jina likaja la ofisi! Ilikuwa noma,aliniangalia akaondoka hakunisemesha chochote hadi leo naonaga aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imefikia stage mpaka wenzangu wakiona mtu ananiomba namba tu wanacheka hawana mbavu maana wanajua anapewa za ofisi!
ni kweli upo njiro ?ππ aloo
Hiyo mbinu ya miaka ya 90! Wenzio wanatuma hela na namba hawapati!Hakuna cha janja janja . Ujasusi ni hela. Namba utatoa mwenyewe bila kuombwa[emoji2089][emoji2089][emoji1787]
Unyanyasaji wa vilema na walio na pungufu maumbile au uwezo wa kibinadamu.Shida Wana kuona nusu albino, so Wana ogopa kuambiwa wame tamani ngozi yako [emoji23][emoji1787][emoji855]
π€£π€£π€£Hiyo mbinu ya miaka ya 90! Wenzio wanatuma hela na namba hawapati!
mimi mjanja, unakumbuka nilivopata yakoπ taratibu yaaniWe kwendraaaa
Au ndo ww hua unanipgia muda nimekumbatiwa na babe wangu Intelligent businessman πππππππππππmimi mjanja, unakumbuka nilivopata yakoπ taratibu yaani
Sema una kifua kizuriπ€£π€£πAu ndo ww hua unanipgia muda nimekumbatiwa na babe wangu Intelligent businessman πππππππππππ
Cha kutunza maneno na majambos au cha kutunza maziwa ya kukunyonyesha ww na mshamba_hachekwiSema una kifua kizuriπ€£π€£π
ningekua na hela ningeshakutafuta mchumbaAu ndo ww hua unanipgia muda nimekumbatiwa na babe wangu Intelligent businessman πππππππππππ
ππππTutakula ugali tembeleπππningekua na hela ningeshakutafuta mchumba
wapi wewe, unakuta una mtu wako ila unachuna wengineππππTutakula ugali tembeleπππ