Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Picha yenyewe kaiba fbπ€Kwani siku zingine hua anapikaje mpaka leo ndio umeamua kupost hiyo picha?
Coz sioni cha ajabu hapo,pengine hicho chakula ni cha ajabu kwako kutokana na vyakula ulivyokua unakula kabla ya hicho chakula kilichokushawishi mpaka kukipiga picha na kukianzishia Uzi JamiiForums.
Wivu gani bhana, akati Jamaa kaiba Picha ya fb hukooππ
Jitahid uweze kupiga na wewe kama ilivyo hapo kwenye pichaNilistuka nilivyoona tittle nikajua unapigwa na mkeo
Picha ya ai hiyo, avha wenge we mrusi wa mchongoJitahid uweze kupiga na wewe kama ilivyo hapo kwenye picha
Ni nomaa kwahiyo tusimuaminiH
HAkuna cha shemeji wala shemegi,ni AI,mimi nimeiambia initengenezee,imetengeneza hizi picha ambazo hazina tofauti na za muleta hoja
π€£π€£Nilistuka nilivyoona tittle nikajua unapigwa na mkeo
Sawasawa.. nitajitahidi βΊοΈβΊοΈJitahid uweze kupiga na wewe kama ilivyo hapo kwenye picha
πππππ€£π€£
It's true bro...Kwani siku zingine hua anapikaje mpaka leo ndio umeamua kupost hiyo picha?
Coz sioni cha ajabu hapo,pengine hicho chakula ni cha ajabu kwako kutokana na vyakula ulivyokua unakula kabla ya hicho chakula kilichokushawishi mpaka kukipiga picha na kukianzishia Uzi JamiiForums.
Chaparara makini sana..Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano πππ
View attachment 2838429
Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano πππ
View attachment 2838429
Ukifanikiwa kujitahid nijulishe.Muhim sanaSawasawa.. nitajitahidi βΊοΈβΊοΈ
We jamaa hunipendi sana sijui nilikukosea nini Intelligent businessman ?. Huyu Leejay49 mimi na yeye ni washkaji tu !π π . Luwa na aman, avha wenge we mrusi wa mchongo
Mwanamke aliyepika yupo wapi pichani?Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano πππ
View attachment 2838429
Nyie watu mnaishi maisha gani na huwa mnakula nini?AI inaleta balaa mtaani.
Kila mtu anabuni anachokipenda na kusema ni vitu halisi vinavyoishi,kibongo bongo chakula kama hicho ili mke akipike anatakiwa ndani ya 4hrs asiwe na kazi ya kufanya otherwise atapika sikukuu tu na tena kuwe na wageni.
Naweza bhanaππUkifanikiwa kujitahid nijulishe.Muhim sana